Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

UONGO
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unahisi wee unanijua sanaaa eeeeh? Unajidanganyaa weyeee poleeeeee!!!!

Sasa huo ujasiri na uwezo au mindset km asipo fuata? Je?
 
Tukiamua kupambana na mashoga tupambane na wanaowafanya hivyo kwa sababu mtu hajifiri kuna anaemfira, bila ya hivyo haitosaidia chochote. Kila mtu atajifanya kukemea lakini tunayoyafanya nyuma ya milango yetu tunajua wenyewe!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Delicious alipokamatwaa, akasema nataka mabasha wangu wote niwatajeee waje hapa, mbna chapuuu aliachiwaaaaaa.

Makondaa nae sakata LA saka mashoga Dar, serikali ili mkana km haimjui vileee, ile Barua kila nikiisomaa huwa nachekaa hadi machozi. Woiiiiiih
 
Hii umetoa kali. By the way, kukukanya ndipo tunafanya kazi wenzio. Usidhani tunapoteza muda
Na haubadilishi chochote sasa, huoni unafanya kazi bureee??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
😁😁eti binamu!! Hapa kwakweli nami nashindwa kumuelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…