Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Humu kuna cocastic, King Kong III, allency. Wote Hawa wanasupport ushoga lakini admins hawachukui hatua yoyote

Kati ya watu wanaosupport ushoga wewe ni namba moja ,maana ukitofautiana na mtu kimawazo unamuita shoga ,jibu hoja usikimbilie kutukana.

Wewe inawezekana ukawa ni GASHO ndiyo maana Joan akakupiga chini japo hela unayo.
 
Na sahv kila mtoto anataka awe msanii kama fulani au mtangazaj fulani

Ova
 
Sasa huyo mh Samia si aanze kuweka mkwazo ktk hilo analosema, km kweli uwezo anao, sio anatoa maneno jukwaani huku utekelezaji zero.

Yeye ukweli ana ujua, ila ana wadanganyaa huku jukwaani. Mnapenda sana mikopo na misaada, mnadhani mnapewa bureee, lazima masharti yafuatweeee.

Ndyo Diapers zipo za kila size na watumiaji wapooo. Sasa mzazi wa shoga maumivu yake uyasikie wee inahusuuu?? Umevurugwaa wee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wasanii gani tena hao ?
Hawa wapumbafu wa hapa Bongo
Hawawezi kulea watoto katika maadili mazuri
Hata yule mtoto yule mwenyewe dimpozi lazima atakuja kua choks
 
Kuna yule mtangazaji wa mawingu aloyce kapigwa, ze dudu Ali mdeclare kwamba ni punga.

Pia bi 12 naye yumo according to ze dudu.
 
Nyie ni mapunga tu na tumewastukia.

Jiandaeni hapo mlipoweka centre yenu ya ushoga bagamoyo.

Kinachofuata ni kutiwa kiberiti tu hatutaki mtuaribie Taifa letu.

Shwaini nyie mliojificha kwenye kichaka cha kataa ndoa.
 
Usemacho ni ukweli kabisa.
Tatizo la Mona hajatulia, ame waste opportunities nyingi sana, alikua smart shule ila umapepe ulikua mbele.
Alizingua sana usichana wake, angekua vyema sana. Japo kwa sasa mambo yake yamemnyookea sana.
Kuhusu mtoto sijui hasa shida ilikua wapi mpaka mtoto kaharibikiwa, nadhani ni malezi ya kindezi na wazazi kukosa ukaribu wa kimalezi kwa watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…