Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Humu kuna cocastic, King Kong III, allency. Wote Hawa wanasupport ushoga lakini admins hawachukui hatua yoyote

Kati ya watu wanaosupport ushoga wewe ni namba moja ,maana ukitofautiana na mtu kimawazo unamuita shoga ,jibu hoja usikimbilie kutukana.

Wewe inawezekana ukawa ni GASHO ndiyo maana Joan akakupiga chini japo hela unayo.
 
Wasanii ni role model wa watoto wetu, how ????

Mzazi gani ana mtoto anae aspire kuwa Monalisa ?? Mara muigizaji, mara teja, mara kazaa kule mara kazaa huku....

Ukiwa na mtoto mwenye aspirations za kuwa msanii hilo ni kosa lako mzazi, na utakuwa labda husomeshi, maana huoni uchungu wala umuhimu wa kusomesha, na wewe mwenyewe labda hukusoma.

Wasanii hawapaswi kukubalika kuwa role model wa mtoto wa mtu.
Na sahv kila mtoto anataka awe msanii kama fulani au mtangazaj fulani

Ova
 
Sawa wewe endelea kuamini kwenye USODOMA na GOMOLA ,Uzuri Diapers zipo hadi za wakubwa! Inahuzunisha kwa mzazi kuwa na mtoto shoga! Hadi Mh Samia juzi alikemea mambo ya upinde ,alikuwa anawahasa wanafunzi kwamba waige mambo mengine ya nje kama mavazi ,tech etc lakini sio kuiga u-rainbow.
Sasa huyo mh Samia si aanze kuweka mkwazo ktk hilo analosema, km kweli uwezo anao, sio anatoa maneno jukwaani huku utekelezaji zero.

Yeye ukweli ana ujua, ila ana wadanganyaa huku jukwaani. Mnapenda sana mikopo na misaada, mnadhani mnapewa bureee, lazima masharti yafuatweeee.

Ndyo Diapers zipo za kila size na watumiaji wapooo. Sasa mzazi wa shoga maumivu yake uyasikie wee inahusuuu?? Umevurugwaa wee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wasanii gani tena hao ?
Hawa wapumbafu wa hapa Bongo
Hawawezi kulea watoto katika maadili mazuri
Hata yule mtoto yule mwenyewe dimpozi lazima atakuja kua choks
 
Kuna yule mtangazaji wa mawingu aloyce kapigwa, ze dudu Ali mdeclare kwamba ni punga.

Pia bi 12 naye yumo according to ze dudu.
 
Kwa niaba ya mwenyekiti wa taasisi ya KATAA NDOA tunatoa onyo la mwisho likiambatana n'a karipio kali dhidi ya anaefahamika kama Mshana Jr .Ifahamike KATAA NDOA haijihusishi kwa namna yeyote na ushoga na nikinyume cha misimamo ya taasisi yetu na tunaunga mkono upingaji wa ushoga na viashiria vyake .Kuhusisha ushoga na motto wetu "KATAA NDOA " si tu kumetukosea heshima wanachama hai bali kumeweka dosari kwenye misingi ya utaifa wetu wa kuvumiliana .KATAA NDOA ni msimamo wa kutoingia mkataba wa kudumu kimahusiano ila hii haimaanishi wajumbe hawana mahusiano na wanawake suala ni kutowaoa tuu .aidha msimamo wetu ni mkali zaidi kwa single mothers hao tunakoelekea tutakuja na msimamo hata wa kutotembea nao.
Imetolewa
27.02.2023
THE ONLY,
Katibu tawi la kawe,
KATAA NDOA.
Nyie ni mapunga tu na tumewastukia.

Jiandaeni hapo mlipoweka centre yenu ya ushoga bagamoyo.

Kinachofuata ni kutiwa kiberiti tu hatutaki mtuaribie Taifa letu.

Shwaini nyie mliojificha kwenye kichaka cha kataa ndoa.
 
Kuna kitu ngoja nikiweke sawa kuhusu hili sakata na pengine kinaweza kutufunua kwamba pemgine mtoto hapaswi kulaumiwa
Monalisa alikuwa mke wa ndoa wa 'Tyson' Mkenya aliyekuwa kwenye industry ya filamu Tanzania, baadae alimpeleka Kenya kusomea zaidi mambo ya filamu lakini Mona akazingua na kupigwa chini wakiwa tayari na mtoto mmoja yule wa kike
Ikabidi arudi bongo na life likawa tough sana na stress za kutosha zilizompelekea kujiingiza kwenye madawa ya kulevya by then kituo chao kilikuwa shule ya uhuru pale mataa kwa nyuma
Huko ndio alikutana na baba huyu mtoto wote wakiwa mateja na kupeana ujauzito wa huyu kijana.. Kwahiyo utotoni mtoto akakulia mazingira ya uteja wa wazazi
Kufupisha story wote waliweza kuchomoka huko, sasa kama jamaa alikuwa na mke mwingine Zenji hilo sifahamu ila kuna maisha fulani ya kigeto mtoto aliwahi kupitia
Usemacho ni ukweli kabisa.
Tatizo la Mona hajatulia, ame waste opportunities nyingi sana, alikua smart shule ila umapepe ulikua mbele.
Alizingua sana usichana wake, angekua vyema sana. Japo kwa sasa mambo yake yamemnyookea sana.
Kuhusu mtoto sijui hasa shida ilikua wapi mpaka mtoto kaharibikiwa, nadhani ni malezi ya kindezi na wazazi kukosa ukaribu wa kimalezi kwa watoto.
 
Back
Top Bottom