Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Utoto tu unakusumbua!


Na I swear ...ukikua utaacha na maneno yangu haya utakuja kuyakumbuka japo hutakuwa na moyo wa kuja kunishukuru hapa.
Hakuna lolote tafuta hela acha kusikiliza upuuzi wa vizee vyako vya kijijini.kama ushaoa it's fine na tunaheshimu machaguo ya maisha yako .ila heshima hiyo ni pande mbili .ni ukosefu wa heshima kuhusisha KATAA NDOA na ushoga maana pia mashoga kama lokole pia wameoa( na tunawajua kibao wanaoliwa na wanafamilia zao) .mashoga ni vita ya kijamii nzima wapo hata mashoga viongoz wa dini .
 
Wasanii wanawatumia mashoga mpaka kwenye video,si mchezo
Naona bongo ushoga ruksa

Ova
Serikali haijaamua kuwa serious .ukitaka maliza ushoga usiumalize kwa kufanya vya sheria .umalize kihuni we mtu ka juma lokole anajibinua kila siku na anapost yule alitakiwa aibukiwe n'a wazee wa kazi biti moja matata n'a kichapo.
 
First of all!

Wewe huna sifa za kuni-ispire mimi kwamba nitafute hela kwa sababu umepungukiwa sifa ya kuwa kiongozi wa familia/huna familia unayoiongoza so majukumu wewe huna pili siwezi kukosa heshima kwa wazee wa kijijini kwetu as long as wamenilea wameniongoza na hata sasa nawasikiliza shida wewe huwasikilizi wazee wako unawadharau ndo maana umejikuta kwenye group jinga lisilojitambua la kataa ndoa.

Ukinisoma maandishi yangu ktk uzi huu hakuna niliposema wasiotaka ndoa ni mapunga wewe unajistukia tu.

NB;next time unapoongea na mtu kuhusu masuala ya familia yake weka heshima siyo busara kuita mke wa mtu ”huyo malaya”.
 
Nimtake radhi mkeo maana yeye hajanikosea heshima .yy ni mke wa mtu n'a hakupaswa kuingizwa kwenye ukosefu wa maadili wa mmewe .ila kuhusu wewe rejea comment yako ya kwanza umeniacuse kuwa mm na wenzangu wa KATAA NDOA ni mashoga .hakuna namna kuu ya kumtusi mwanaume kama kumuita shoga .malipo yake kwenye kurevenge atatumia siraha yeyote kukuumiza (mm nkatumia mkeo) maana hata mm ni ni kaka wa watu.mdogo wa watu.mjomba wa watu etc nastahili heshima kama anayostahili shemeji yetu
 
Misquoted mkuu.

Member othuman dan fodio ndiye aliyeandika maneno hayo mimi nimeanzia ulipomtukania mkewe hakuna nilipogusia masuala hayo.
 
Sisi hatukukwambia uoe huyo malaya .hao unaowaita mapunga ndo tunamla tigo mkeo tatizo sisi KATAA NDOA tunapata muda wa mazoezi na kupumzika tukikamata mkeo anakiona.KATAA NDOA
Yani mwandiko wako tu unaonesha wewe ni wakala wa sir Elton John[emoji3061]
 
Nawajua watu waliolelewa kimafia wakulima wa shamba kula yenyewe ya shida lakini ni homosexual

Haya mambo ni hatari mkuu ni kuomba yasiikute Familia yako


Naendelea kuamini “hisia” kwamba hili jambo ni la kiroho zaidi na zaidi.
 
For really
 
Kwani basata kazi imewashinda? Nipo kwenye basi naskia wimbo wa singeli mtu anaimba et naheshimu madanga ya mke wangu!

Hivi wanetu watajifunza nini kwenye wimbo kama huu?
Kwanza nyimbo za singeli zingepigwa marufuku kabisa, mimi hua naona aibu sana wa mama wanavyocheza, pili maudhui ya hizo nyimbo ni upumbafu mtupu, sijui hata tunajenga jamii ipi jamani.
 
Kwanza nyimbo za singeli zingepigwa marufuku kabisa, mimi hua naona aibu sana wa mama wanavyocheza, pili maudhui ya hizo nyimbo ni upumbafu mtupu, sijui hata tunajenga jamii ipi jamani.
Aliegundua mziki wa singeli peponi moja kwa moja [emoji3575]
 
Wasanii wanawatumia mashoga mpaka kwenye video,si mchezo
Naona bongo ushoga ruksa

Ova
Serikali imekuwa kimya sana, watu wanajinika.

Ukatoka wimbo wenye maudhui ya kishoga, basata walivyomuita mhusika, wasanii wakaandika sana akiwemo Naibu Waziri, mwisho serikali ikakunja mikono
 
Hahaha.. Nimecheka bila kupenda. Yaan mwandiko wako wenyewe tu ni mgumu. Mpaka ulainishe. Sijui viganja vya mikono, ngozi, sura nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…