Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Utoto tu unakusumbua!


Na I swear ...ukikua utaacha na maneno yangu haya utakuja kuyakumbuka japo hutakuwa na moyo wa kuja kunishukuru hapa.
Hakuna lolote tafuta hela acha kusikiliza upuuzi wa vizee vyako vya kijijini.kama ushaoa it's fine na tunaheshimu machaguo ya maisha yako .ila heshima hiyo ni pande mbili .ni ukosefu wa heshima kuhusisha KATAA NDOA na ushoga maana pia mashoga kama lokole pia wameoa( na tunawajua kibao wanaoliwa na wanafamilia zao) .mashoga ni vita ya kijamii nzima wapo hata mashoga viongoz wa dini .
 
Wasanii wanawatumia mashoga mpaka kwenye video,si mchezo
Naona bongo ushoga ruksa

Ova
Serikali haijaamua kuwa serious .ukitaka maliza ushoga usiumalize kwa kufanya vya sheria .umalize kihuni we mtu ka juma lokole anajibinua kila siku na anapost yule alitakiwa aibukiwe n'a wazee wa kazi biti moja matata n'a kichapo.
 
Hakuna lolote tafuta hela acha kusikiliza upuuzi wa vizee vyako vya kijijini.kama ushaoa it's fine na tunaheshimu machaguo ya maisha yako .ila heshima hiyo ni pande mbili .ni ukosefu wa heshima kuhusisha KATAA NDOA na ushoga maana pia mashoga kama lokole pia wameoa( na tunawajua kibao wanaoliwa na wanafamilia zao) .mashoga ni vita ya kijamii nzima wapo hata mashoga viongoz wa dini .
First of all!

Wewe huna sifa za kuni-ispire mimi kwamba nitafute hela kwa sababu umepungukiwa sifa ya kuwa kiongozi wa familia/huna familia unayoiongoza so majukumu wewe huna pili siwezi kukosa heshima kwa wazee wa kijijini kwetu as long as wamenilea wameniongoza na hata sasa nawasikiliza shida wewe huwasikilizi wazee wako unawadharau ndo maana umejikuta kwenye group jinga lisilojitambua la kataa ndoa.

Ukinisoma maandishi yangu ktk uzi huu hakuna niliposema wasiotaka ndoa ni mapunga wewe unajistukia tu.

NB;next time unapoongea na mtu kuhusu masuala ya familia yake weka heshima siyo busara kuita mke wa mtu ”huyo malaya”.
 
First of all!

Wewe huna sifa za kuni-ispire mimi kwamba nitafute hela kwa sababu umepungukiwa sifa ya kuwa kiongozi wa familia/huna familia unayoiongoza so majukumu wewe huna pili siwezi kukosa heshima kwa wazee wa kijijini kwetu as long as wamenilea wameniongoza na hata sasa nawasikiliza shida wewe huwasikilizi wazee wako unawadharau ndo maana umejikuta kwenye group jinga lisilojitambua la kataa ndoa.

Ukinisoma maandishi yangu ktk uzi huu hakuna niliposema wasiotaka ndoa ni mapunga wewe unajistukia tu.

NB;next time unapoongea na mtu kuhusu masuala ya familia yake weka heshima siyo busara kuita mke wa mtu ”huyo malaya”.
Nimtake radhi mkeo maana yeye hajanikosea heshima .yy ni mke wa mtu n'a hakupaswa kuingizwa kwenye ukosefu wa maadili wa mmewe .ila kuhusu wewe rejea comment yako ya kwanza umeniacuse kuwa mm na wenzangu wa KATAA NDOA ni mashoga .hakuna namna kuu ya kumtusi mwanaume kama kumuita shoga .malipo yake kwenye kurevenge atatumia siraha yeyote kukuumiza (mm nkatumia mkeo) maana hata mm ni ni kaka wa watu.mdogo wa watu.mjomba wa watu etc nastahili heshima kama anayostahili shemeji yetu
 
Nimtake radhi mkeo maana yeye hajanikosea heshima .yy ni mke wa mtu n'a hakupaswa kuingizwa kwenye ukosefu wa maadili wa mmewe .ila kuhusu wewe rejea comment yako ya kwanza umeniacuse kuwa mm na wenzangu wa KATAA NDOA ni mashoga .hakuna namna kuu ya kumtusi mwanaume kama kumuita shoga .malipo yake kwenye kurevenge atatumia siraha yeyote kukuumiza (mm nkatumia mkeo) maana hata mm ni ni kaka wa watu.mdogo wa watu.mjomba wa watu etc nastahili heshima kama anayostahili shemeji yetu
Misquoted mkuu.

Member othuman dan fodio ndiye aliyeandika maneno hayo mimi nimeanzia ulipomtukania mkewe hakuna nilipogusia masuala hayo.
 
Wakataa ndoa wengi ni fuata upepo hawajui nini wanatetea na wanachokitaka wao hawaelewi. Kisa alikua kwenye mahusiano flani mambo hayakwenda vizuri anaanza kuwashawishi wenzake wasioe. Wengine bila aibu wanasema we zalisha tu watoto watakuja kukusaidia badae. Comments kama hizo nimekutana nazo nyingi sana

Madhara yake wengi hawayaoni sasa hivi au uwezo wa kuchanganua mambo umekua mdogo sana.
For really
 
Kwani basata kazi imewashinda? Nipo kwenye basi naskia wimbo wa singeli mtu anaimba et naheshimu madanga ya mke wangu!

Hivi wanetu watajifunza nini kwenye wimbo kama huu?
Kwanza nyimbo za singeli zingepigwa marufuku kabisa, mimi hua naona aibu sana wa mama wanavyocheza, pili maudhui ya hizo nyimbo ni upumbafu mtupu, sijui hata tunajenga jamii ipi jamani.
 
Kwanza nyimbo za singeli zingepigwa marufuku kabisa, mimi hua naona aibu sana wa mama wanavyocheza, pili maudhui ya hizo nyimbo ni upumbafu mtupu, sijui hata tunajenga jamii ipi jamani.
Aliegundua mziki wa singeli peponi moja kwa moja [emoji3575]
 
Wa mama na WA zee wa zamani walikuwa wanaweza simamia watoto wao hata kama Mmoja wao hayupo ila sio haya mapuuzi akina Mama na Baba Junior. Eti mtoto wa kiume analelewa kama Yai. Mtoto wa kiume analelewa kiugumu. Mtoto wa kiume analelewa kimafia. Mtoto wa kiume anaandaliwa kuwa mwanaume na uanaume una gharama na sio kuvinyoa viduku na kuvaa visuruali vinavyobanana kudekezwa.
Hahaha.. Nimecheka bila kupenda. Yaan mwandiko wako wenyewe tu ni mgumu. Mpaka ulainishe. Sijui viganja vya mikono, ngozi, sura nk.
 
Back
Top Bottom