FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Umeajuaje?Na deliscious walitoka siku ya tatu kwa milioni tano. Watu walidhani wangekosa fedha za kulipa waozee huko. Wengine walishabikia kwamba wangeolewa huko jela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeajuaje?Na deliscious walitoka siku ya tatu kwa milioni tano. Watu walidhani wangekosa fedha za kulipa waozee huko. Wengine walishabikia kwamba wangeolewa huko jela.
unachekesha, eti shoga anayeijua katiba! Duh! Kumbe kuna mashoga wasomi wa sheria?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan Delicious mwenyewe alikua hajui namna ya kuwabana polisi. Wangekutana na shoga msomi na anayejua vizuri katiba angewafurahishaaaa mnoooo.
Mil 5 ilitoka km geresha tyuuh, hata km wangekaza kutotoa wangetoka nje tyuuh, kwa case ya ushoga hapa Bongo hakuna atae fungwaaa kamwee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni yatima tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ninayooo ila sihongii wanaume, naziweka ili baadae nilee vibenteni na Marioos.
Somizi ndo anaweza kuleaa vibenten bado yuko mbichii akuuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda kama anakulaga kinyeo kamtu kenyewe kembemba kinyaa tupu kachafu chafuWe unanijua kuliko yeye? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi vibinti vinaitana BFF kuwa makini sana... ukiwa mpenzi wa binti ambaye ana BFF wake wa kike na wanasikilizana sana basi kimbia hapo kuna hatari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeee kwa kutesekaaaaa.Labda kama anakulaga kinyeo kamtu kenyewe kembemba kinyaa tupu kachafu chafu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna utatesekaaaa sanaaaaa.Wewe ni yatima tu
Huyo ni NGAPUlila ndiyo maana anapenda sana mada za UGASHO na anazitetea to the maximum.
Lipo moja humu utalikuta liko busy kwny uzi wa kimasihara ukifatilia kwny message linaitana shost na username ya kike
Monalisa na uteja[emoji15]Kuna kitu ngoja nikiweke sawa kuhusu hili sakata na pengine kinaweza kutufunua kwamba pemgine mtoto hapaswi kulaumiwa
Monalisa alikuwa mke wa ndoa wa 'Tyson' Mkenya aliyekuwa kwenye industry ya filamu Tanzania, baadae alimpeleka Kenya kusomea zaidi mambo ya filamu lakini Mona akazingua na kupigwa chini wakiwa tayari na mtoto mmoja yule wa kike
Ikabidi arudi bongo na life likawa tough sana na stress za kutosha zilizompelekea kujiingiza kwenye madawa ya kulevya by then kituo chao kilikuwa shule ya uhuru pale mataa kwa nyuma
Huko ndio alikutana na baba huyu mtoto wote wakiwa mateja na kupeana ujauzito wa huyu kijana.. Kwahiyo utotoni mtoto akakulia mazingira ya uteja wa wazazi
Kufupisha story wote waliweza kuchomoka huko, sasa kama jamaa alikuwa na mke mwingine Zenji hilo sifahamu ila kuna maisha fulani ya kigeto mtoto aliwahi kupitia
Tofauti zake ni nini hapo?Tofautisha kulala na mwanamke na kulala na mwanaume mwenzako.
[emoji1787][emoji1787]Hata Lile To La Irene Uwoya Simuelewi. Alafu ana iPhone macho matatu
Naona hata ukinywa Maji waniona kwenye glassUmekuja na ID mpya?? Mariposa
Ningesema mengi hapo kwenye unafki wa Serikali ila sina Mwanasheria mie 🥲Serikali yenu ni wanafiki afadhali hata Uganda, Museveni ana kemea waziwazi.
Mnawakumbatia mashoga hakuna anayekemea that means wana watambua pamoja na haki zao.
Sema tu docta, tunao wanasheria wengi hapa jf😆😆.Ningesema mengi hapo kwenye unafki wa Serikali ila sina Mwanasheria mie 🥲