Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Dume na liko serious kiasi ambacho ukikutana nalo kama hujapewa ushahidi unaweza kukataa na kukaa upande wake, ila kumbe....!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dume na liko serious kiasi ambacho ukikutana nalo kama hujapewa ushahidi unaweza kukataa na kukaa upande wake, ila kumbe....!
Isije tu ikawa ana watoto wako kwenye social media alafu wameona!!! 🙈
 
Vichocheo ni vingi sana kwa watoto kufata hii tabia ya u-gay na kupelekea mtoto kuwa gay wazazi tuwe makini sana kabla hatujapoteza watoto wa kuwa mashoga au wasagaji
 
Dume na liko serious kiasi ambacho ukikutana nalo kama hujapewa ushahidi unaweza kukataa na kukaa upande wake, ila kumbe....!
Halafu hapo mahali ni kama sokoni au stand kwenye yale mabanda.. Mwana anabanduliwa[emoji24]
 
Jiheshimu mkuu sipo hapa kumvunjia heshima yeyote. Uo ni utoto sina haja ya kukuaminisha ni mkubwa/mdogo kiasi gani.
Muandiko wako unaeleza mengi kuhusu umri na tabia za mtu. Hakuna mtu wa chini ya 2000's, mwenye majukumu, mwenye kipato Cha uhakika na mwanaume rijali ambaye anaweza poteza muda wake kuendesha kampeni ya kipuuzi mtandaoni eti kataa ndoa. Inaonekana Bado unakula kulala Bure hapo kwa shem wako na huwa unaonekana JF Kila Alfajiri ikimaanisha unaamshwa hapo subuleni kwa shem ili akina uncle waende shule. Kwa muandiko wako inaonekana unapendelea kuvaa jinsi zinazobana na zilizochanika chanika magotini huku zimeandikwa "Chitaki" na T-shirt unazoshindia zimeandikwa mbele "Zuchu Baby" na nyuma "WCB Classic" maana ndio swaga zenu nyie kula kulala Bure kwa "meji"

Ndoa ni taasisi iliyobora Bora na ya thamani iliyoanziahwa na Mungu mwenyewe. Hivi wanawake wote wazuri Hivi wenzio marijali tunatamani tuone hata 10 ila dini zinabana tu. Hivi ni raha namna Gani kwa mwanaume kutoka kwenye shughuli zako then unapokelewa na Mwanamke aliyevaa kanga Moja amekuandalia chakula mezani na maji ya kuoga huku anatangulia mbele wewe kidume upo nyuma. We acha wewe wenzio tunafaidi ila dogo Mmoja aliyelelewa na single mother au kutoka kwenye familia zenye migogoro, asiye na kipato, Wala asiye rijali anahamasisha watu wasioe kwa kutumia fake ID. Hahaaaaaaa, yaani nimuache Mama Manka mnyamwezi wangu wa Kipalapala kisa puuzi Moja linalopumuliwa?

Dogo kubali au kataa ila Nina wasiwasi na uanaume wako🤪😆🥴😔🥺😜😬😁
 
Kwahiyo Monalisa hatapata mkamwana?!
 
Hahahaha ana balaaa bwana afande kaahh

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Watakuja tena kucomment hapa eti "kataa ndoa" UPUMBAVU KABISA
 
Endeleeni kufanywa nyie wanaume ila tukizipata koneksheni tutazuangalia hatutaacha maana Mungu ana njia ya kuumbua watu Kwa namna nyingi ukiishi nyumba ya vioo acha ugomvi wa mawe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…