Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Sio wengi kama wanaopinga ndoaKuna group pia kubwa la walio ndoani wanaoliwa liko nyuma ya ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wengi kama wanaopinga ndoaKuna group pia kubwa la walio ndoani wanaoliwa liko nyuma ya ndoa
Unaweza kunitumia PM?
Mkuu em tuma link PM tuone[emoji41]
Wa kike au wakiume?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dume na liko serious kiasi ambacho ukikutana nalo kama hujapewa ushahidi unaweza kukataa na kukaa upande wake, ila kumbe....!
Isije tu ikawa ana watoto wako kwenye social media alafu wameona!!! 🙈Dume na liko serious kiasi ambacho ukikutana nalo kama hujapewa ushahidi unaweza kukataa na kukaa upande wake, ila kumbe....!
Muandiko wako unaeleza mengi kuhusu umri na tabia za mtu. Hakuna mtu wa chini ya 2000's, mwenye majukumu, mwenye kipato Cha uhakika na mwanaume rijali ambaye anaweza poteza muda wake kuendesha kampeni ya kipuuzi mtandaoni eti kataa ndoa. Inaonekana Bado unakula kulala Bure hapo kwa shem wako na huwa unaonekana JF Kila Alfajiri ikimaanisha unaamshwa hapo subuleni kwa shem ili akina uncle waende shule. Kwa muandiko wako inaonekana unapendelea kuvaa jinsi zinazobana na zilizochanika chanika magotini huku zimeandikwa "Chitaki" na T-shirt unazoshindia zimeandikwa mbele "Zuchu Baby" na nyuma "WCB Classic" maana ndio swaga zenu nyie kula kulala Bure kwa "meji"Jiheshimu mkuu sipo hapa kumvunjia heshima yeyote. Uo ni utoto sina haja ya kukuaminisha ni mkubwa/mdogo kiasi gani.
Kwahiyo Monalisa hatapata mkamwana?!Aiseee niliona picha Monalisa amemkumbatia Mwanae wa kiume tall kamzidi hadi mama yake ,kuna mdau akauliza mbona mama anamkumbatia mwanae wa kiume namna hiyo?
Kuna mdau mwingine akasema watakuja kulana ,mdau mwingine akapandia huyu mwanae si shoga? Ila kwa maelezo yako Mshana Jr means Mama yake alijua kwambwa mwanae ni Boflo ndiyo maana anamkumbatia kimahbamahaba kama ntu na ntuwe.
Inasikitisha sana.
Kwahiyo Monalisa hatapata mkamwana?!
Pole rafiki ndo naingia jf ushaiona?!!!Ntumie pm basi
Ova
Ana miuno balaaa mzenjiHao nadhani ni wehu yaani mental/bipolar ,wana matatizo ya akili....Kwanza utasisimka vipi kwa mwanamme mwenzako maana hana cha kukuvutia........si sura ,si inye ,si titi ,si haga ,ngozi ngumu.....lazima uwe chizi ili uweze kufanya huo ufirauni.
Hahahaha ana balaaa bwana afande kaahh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Polisi ameamua kuwaoneshaa jinsi ambavyo hamuwezi kudeal na ushoga.
Ila yulee kibokoo, hadi shanga na kikukuu mguuni. Uwiiiiii
Anavoukatikia sasa afu Ali ukalia, ndani ya gari. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha..mlongo hizi koneksheni ukiona Sina ujue haipo hyooo km ya nick ila km ingekuwepo nshaipata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu na connection mjiniii
Watakuja tena kucomment hapa eti "kataa ndoa" UPUMBAVU KABISAWazazi tuombeana sana. Na tuwaombee sana watoto wetu, vijana wetu.. Kuna walakini mkubwa sana kwenye ile kampeni ya wakataa ndoa. Tuwe karibu mno na vijana wetu wa jinsia zote wakike na wakiume .. Wote wanaharibika. Wote wanaharibikiwa jamii inaingia kwenye mtanziko mkubwa.. Kizazi kijacho kiko mashakani
Wasanii wetu ni role models wa vijana wetu. Vijana wetu, watoto wetu hutamani, huwa na ndoto za kuwa kama fulani, kuna hatari kubwa sana kupotosha na kupoteza wengi kama msanii ama mtu maarufuvakiongea kitu
Hapo mwanzo tulizoea vijana barobaro wakijitangaza mitandaoni kuwa wao ni mashoga..haikuwa mbaya sana kwakuwa hawakujulikana na wengi.. Leo hii anjitokeza kijana wa kiume wa msanii maarufu anajitangaza hadharani kuwa yeye ni shoga ana anajivunia (ushoga[emoji24]). Huyu ana followers wangapi Yarab toba!
Kipenga cha kujitangaza live kimepulizwa rasmi Tanzania, viongozi wanapiga kimya kama hawaoni.. Tunapoteza kizazi kijacho.
Ushoga umetamalaki nchini lakini mamlaka hazina nguvu hata chembe ya kukemea.. Madhara ya kukubali mikopo na misaada yenye masharti kificho
Lifestyle wanayowalea na kuwakuza watoto wao hawa tunaowaita wasanii maarufu Tanzania ni janga kubwa.. Hafundishwi kuwa wanaume kamili hawafundishwi ukakamavu.. Wanalelewa kuwa wanaume wa kike ama wanawake wa kiume... Wengi wakilelewa na mzazi mmoja.
Hakuna wa kukemea.. Zaidi ya sisi wapiga kelele mitandaoni. Tuhamasishane sisi wazazi wa huku kuwalinda vijana wetu, tuongee nao tuwe nao karibu tuwachunguze kwa karibu mienendo yao, marafiki zao nknk
Tunataka nasi tuache mbegu itakayomea na kuendeleza kizazi.. Tupunguze harakati za kimaisha tutenge muda wa kutosha kuwa na vijana wetu... Hali ni mbaya sana.
Kampeni ya kataa ndoa ni kampeni ya kishenzi, isipewe nafasi haina malengo mazuri kwa maisha ya kesho na wengi wameivamia kwa ujuaji tu wa kitoto. Hawajui matokeo yake!
Madhara ya hii kampeni ikiachwa imee yataonekana soon.. Huko mavyuoni hali ya ushoga na usagaji ni mbaya sana huko kwenye mitandao ya kijamii ndio usiseme.
Kijana anamaliza chuo ni msagaji, kijana anamaliza chuo ni shoga! Kuna familia tena hapo? Kuna ndoa tena hapo? Kuna future tena hapo?
Kama mtoto wa Monalisa kajitangaza akamewe wazi na awe ni wa mwisho. Hili likiachwa janga kubwa linakuja. Zamani tuhuma za aibu za ushoga zilikuwa maeneo ya mwambao .. Siku hizi mpaka chuga ni kama fasheni
Inauma sana!
Unamana gani Kuniquote?cocastic kimyaaaa