Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Humu ndani watu kwa unafki tu hawajambo, huyo dogo kwenye bio yake kaandika "Allah first" ila ndio kashajitangaza kuwa yeye ni Shoga

ila kuna kundi Fulani la watu wameuchuna kimyaaaa kama hawajaona vile, laiti kama hapo kwenye Allah first ingekuwa pameandikwa "Jesus is Lord"

dhamira nzima ya huu Uzi ingekufa na tungeingia kwenye issue za UDINI, jamani kama mmeamua vita za kupinga ushoga basi wekeni udini pembeni na kuokoa vijana wenu

Hizi dini zilipofikia ni kuwagawa na kufanya msahau kama nyie wote ni ndugu, kinachofanya mwingine ni Muslim na mwingine ni Christian inategemea na amezaliwa katika ukoo upi, sehemu gani

Mnafanya watu wasioamini katika Dini kuongezeka kila siku, maana Dini zenu hazihubiri upendo tena bali ni chuki na uadui
View attachment 2532512
Hatari sana

Ova
 
Huku unakemea mtoto wa monalisa kua shoga, huku unamwambia Shoga wa JF akutafute ASAP. Mshana vipi mzee?

Unamuita mjukuu?

Hii vita mbona tumeshindwa mapema sana mazee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachukulia serious kiasi hiki?? Mbna utashindwa kufanyaa yakooo, poleeeeeeeeh
 
Huyo ni NGAPUlila ndiyo maana anapenda sana mada za UGASHO na anazitetea to the maximum.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa ukichukia na kupingaa wee inatoshaaa, kila mtu ana uhuru wa kuchagua anacho kiamini.
 
Kuna lishoga humu ni limaarufu na linajitangaza kabisa ila mod wameliacha yani ukisoma mwandiko wake harufu ya mavi hii hapa, walipe life ban
Tumeshaandika sana humu kuwa hata hizi mada za ushoga zisiruhusiwe kuwepo, zifutwe !!!!

Ila bado zinapostiwa tu
 
Humu kuna cocastic, King Kong III, allency. Wote Hawa wanasupport ushoga lakini admins hawachukui hatua yoyote
Wee Nick hebu tulizana, huo mda wa kufuatilia kuhusu mie,.si ungekua buzzy kuombana msamaha na mama zurii.

Ndo maana umeachwaaa, unaacha yanayo kuhusu Una hangaika na ya wengine mxxxxieeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pengine kuna mengi siyajui naweza kuwa nakutetea kumbe naonekana nauma na kupuliza mjukuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nae babuuu, sasa JF inakuweka serious hvyoo??

Yaan wabongo sijui wakojeee, hope unajua lakini how about me. Japo sio sanaa.

Yaan wanataka wote tuchukie, sasa mie inahusu nn mtu kaamua kutumia mwili wake atakavyo
 
Wee Nick hebu tulizana, huo mda wa kufuatilia kuhusu mie,.si ungekua buzzy kuombana msamaha na mama zurii.

Ndo maana umeachwaaa, unaacha yanayo kuhusu Una hangaika na ya wengine mxxxxieeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmh...[emoji3064][emoji848][emoji2827]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nae babuuu, sasa JF inakuweka serious hvyoo??

Yaan wabongo sijui wakojeee, hope unajua lakini how about me. Japo sio sanaa.

Yaan wanataka wote tuchukie, sasa mie inahusu nn mtu kaamua kutumia mwili wake atakavyo
Basi mjukuu ngoja ibaki vile nikujuavyo 'japo sio kivile'
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa ukichukia na kupingaa wee inatoshaaa, kila mtu ana uhuru wa kuchagua anacho kiamini.

Sawa wewe endelea kuamini kwenye USODOMA na GOMOLA ,Uzuri Diapers zipo hadi za wakubwa! Inahuzunisha kwa mzazi kuwa na mtoto shoga! Hadi Mh Samia juzi alikemea mambo ya upinde ,alikuwa anawahasa wanafunzi kwamba waige mambo mengine ya nje kama mavazi ,tech etc lakini sio kuiga u-rainbow.
 
Wasanii wetu ni role models wa vijana wetu. Vijana wetu, watoto wetu hutamani, huwa na ndoto za kuwa kama fulani....

Wasanii ni role model wa watoto wetu, how ????

Mzazi gani ana mtoto anae aspire kuwa Monalisa ?? Mara muigizaji, mara teja, mara kazaa kule mara kazaa huku....

Ukiwa na mtoto mwenye aspirations za kuwa msanii hilo ni kosa lako mzazi, na utakuwa labda husomeshi, maana huoni uchungu wala umuhimu wa kusomesha, na wewe mwenyewe labda hukusoma. Kwa saab unakubalije mtoto awe na role model illiterate ?

Wasanii hawapaswi kukubalika kuwa role model wa mtoto wa mtu.
 
Back
Top Bottom