Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Watoto wa wasanii na ushoga! Kipenga kimepulizwa rasmi

Na sahv kila mtoto anataka awe msanii kama fulani au mtangazaj fulani

Ova

Sio kila mtoto anataka kuwa msanii na mtangazaji wa umbea wa redioni. Huyo atakuwa ni mtoto wa mtaani, school drop out, brown-headed step child, panya road.

Na mzazi ni illiterate and ignorant. Unalea mtoto anae aspire kuwa Giggy Money na Hamorapa !! Endangering the welfare of a child through willful neglect, criminal parenting.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Delicious alipokamatwaa, akasema nataka mabasha wangu wote niwatajeee waje hapa, mbna chapuuu aliachiwaaaaaa.

Makondaa nae sakata LA saka mashoga Dar, serikali ili mkana km haimjui vileee, ile Barua kila nikiisomaa huwa nachekaa hadi machozi. Woiiiiiih
Na deliscious walitoka siku ya tatu kwa milioni tano. Watu walidhani wangekosa fedha za kulipa waozee huko. Wengine walishabikia kwamba wangeolewa huko jela.
 
Anzieni kwa bibi yake, yule bibi alivyomlea mama mtoto mliona hayo ni malezi ya kawaida? Halafu si huyu mtoto tu, chunguzeni mienendo ya watoto wote wa mastaa wa kike wanaoishi bila waume ndio mtaona uvundo wa malezi. Kuna yule binti wa yule star wa ndoa za show off naye atakuwa kama mama yake tu. Halafu huyo binti azae mtoto wa kiume atamleaje wakati yeye mwenyewe kalelewa kinyoronyoro? Jani halianguki mbali na mti wake
 
Narudia kuandika tena, kuoa na kuolewa ilikuwa ni lazima katika jamii zetu. Usipooa au kuolewa wakati una sifa na utimamu wa akili na afya ya mwili unasimangwa na jamii yako mpaka unaoa au kuolewa tu. Makanisani ndoa zilisisitizwa hakuna mchungaji aliyependa kuwa na washirika wasio na ndoa isipokuwa wajane tu tena wenye umri mkubwa. Ndoa ilikuwa ndio chanzo cha maadili yote ya kijamii na kiroho. Siku hizi ndoa zinapuuzwa huku watu wakitaka kuzaa tu na kulea watoto peke yao bila baba matokeo yake ndio huu ushenzi. Wanawake wakiwa na uwezo wa kifedha hawaoni umuhimu wa kuishi pamoja na waliowazalisha, hawataki kuishi maisha ya ndoa kulea watoto pamoja. Wanawake wanaolewa na ajira zao badala ya mwanaume. Watoto wanatakiwa waone umama na ubaba, mtoto kike awe kama mama na wa kiume awe kama baba. Huko mbeleni tutaibua vyanzo zaidi vya malezi na makuzi mabaya ya watoto wanaolelewa bila baba. Kuna chanzo kingine cha mama kuishi bila mume, hili ni kundi jingine la wanawake wasomi na wafanyabiashara kuishi single
 
Unadhani hiyo inatosha, inaweza kusaidia yes ila ni kwa sehemu ndogo sana.

Ngoja nikupe hiki kisa...
Namfahamu ndugu mmoja, amezaliwa na kukulia kwenye familia very strict. Mama wakikurya hakutoa uhuru wowote kwa watoto, baba wakikurya hakudekeza mtoto yeyote.

Mlengwa ninayemzungumzia alisoma day until Advance level TUSIIME.

Kufupisha story, huyu kijana ni shoga wa kutupwa. Ananunua vijana wa chuo anawalipa kwa kazi moja tuu.

Mimi nimekaanae ofisini akiwa superior wangu, aisee nyie acheni tuu..
Alijitahidi ila mwisho wa siku aliniweka wazi tuu kua yeye ni wa vipi. Alimpangia nyumba kijana mmoja wa chuo, akamfungulia duka, na bado kila wiki anamtumia hela ya kula mpaka hela ya gym. Ofisi ilikua wilayani, so ikifika ijumaa jamaa huyoo. Kurudi ofisini ni jumatatu asubuhi.
Aseeehhhh.... Mtihani mnooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Narudia kuandika tena, kuoa na kuolewa ilikuwa ni lazima katika jamii zetu. Usipooa au kuolewa wakati una sifa na utimamu wa akili na afya ya mwili unasimangwa na jamii yako mpaka unaoa au kuolewa tu...
Zamani watu walikuwa wanaulizwa.. Hujaoa/hujaolewa mpaka sasa una matatizo gani?
 
Zamani watu walikuwa wanaulizwa.. Hujaoa/hujaolewa mpaka sasa una matatizo gani?
mkuu hii zamani ninayoiandika bado ipo mpaka sasa japo inapita kwa kasi kutokana na mitindo ya maisha jamii inayoishi.

Kuna jamii bado zinakomalia ndoa. Ukichelewa kuoa/kuolewa lazima utaulizwa tu una tatizo gani? Mwaka jana nimeshuhudia kwaya fulani iliyofanya ziara ya uimbaji sehemu fulani katika kanisa walikoenda kuimba huko robo tatu ya wanawake hawana ndoa japo wengine wana watoto wakijitangaza waziwazi kuwa jimbo liko wazi.

Cha ajabu mchungaji wao nae aliwapigia debe wapate waume wa kuwaoa angalau wawili waolewe mahali pale pale walikoenda kuimba.

Hoja kama hizi wanawake masingo wanaoishi peke yao na watoto wao wajitokeze kujibu hoja ni kwa nini wanalea watoto peke yao wakati wanaume wapo, hata kama si baba halisi wa mtoto atatosha kulea hao watoto wa kiume kibabababa.

Tatizo hao wamama kwa kuwa wana fedha wamejawa na dharau hawataki mwanaume suruali wanasema
 
Suluhisho jamii ithamini ndoa, mila na dini zikazie maadili ya ndoa, isiwe kawaida mtu kuishi bila ndoa wakati mwili na akili yake ni timamu.

Kama mwanamke ana uwezo mkubwa wa kifedha aishi tu na mwanaume aliyemzidi fedha. Fedha hazitaweza kukidhi malezi ya watoto. Mtoto anatakiwa aone tofauti ya mama na baba.

Kama mwanamke anataka kuzaa watoto basi akubali kuishi na mwanaume kwa ajili ya kubalansi malezi ya watoto.

Kama wanaume ni wachache hata baba wa mchongo anatosha kuja kulea watoto kuliko mama alee peke yake. Malezi na makuzi ya watoto yabalansiwe kati ya mama na baba
 
Kwa watu wanaotunza kumbukumbu vizuri watakumbuka mona alivyokuwa anaishi na mama yake, enzi hizo mona binti mmbichi. Ile style ya maisha waliyoishi na mama yake hatashangaa matokeo haya.

Na kama mona angekuwa mtoto wa kiume hii story ingekuwa kubwa zaidi. Nasema tena, chunguzeni mitindo ya maisha ya mastaa wanaishije na watoto wao bila baba, majibu mtapata
 
Kuna tv moja maarufu huwa ina kipindi cha kunyukana kwa hoja, mjadala kama huu wa kuporomoka kwa malezi ya watoto hawauandai.

Kwenye kipindi chao kingine cha redio nako wanazungumzia masuala ya familia kila jumapili. Ingefaa mjadala kama huu wa malezi ya watoto uwekwe mezani watu wanyukane kwa hoja ijulikane tatizo liko wapi
 
Hii ni agenda kutoka kuzimu.
hawa wenye kuendesha kampeni ya kataa ndoa ni wapuuzi na washenzi, ukiwauliza kuhusu uzazi na malezi hawajibu. Hawa washenzi ndio hao waliolelewa na kukua bila baba. Hawa watakuwa ni mashoga na wasagaji. Eti wanadai ndoa ni kifungo, hoja ya kipuuzi sana hii
 
hawa wenye kuendesha kampeni ya kataa ndoa ni wapuuzi na washenzi, ukiwauliza kuhusu uzazi na malezi hawajibu. Hawa washenzi ndio hao waliolelewa na kukua bila baba. Hawa watakuwa ni mashoga na wasagaji. Eti wanadai ndoa ni kifungo, hoja ya kipuuzi sana hii
Haina shaka hao ni mashoga.

Kubishana nao jua unabishana na lishoga...mwenye maumbile ya kawaida hawezi kukashifu na kukejeli ndoa kwa kiasi wanachokejeli hawa mashoga
 
Haina shaka hao ni mashoga.

Kubishana nao jua unabishana na lishoga...mwenye maumbile ya kawaida hawezi kukashifu na kukejeli ndoa kwa kiasi wanachokejeli hawa mashoga
Wamekuja na shambulizi kali dhidi ya ndoa, vijana wasipochekecha wataharabiwa na kampeni hiyo, maana hoja wanazojenga zina mashiko kulingana na jinsi maadili ya ndoa yalivyoshuka kwa kasi ya kutisha. Ni kampeni nzito inayopaswa kupingwa kwa nguvu zote ili kulinda jamii isiangamizwe na ushenzi huo
 
Back
Top Bottom