Watoto wa Wasira waliojiunga CHADEMA watoa ufafanuzi juu ya uhusiano wao na Waziri Wasira

Watoto wa Wasira waliojiunga CHADEMA watoa ufafanuzi juu ya uhusiano wao na Waziri Wasira

Mkuu Ritz
Hivi kuna ajabu gani mtoto wa mganga wa kienyeji kurithi matunguri ya baba yake? Dr.Slaa amechanganikiwa kumbe watoto baba yao alikuwa ni mwasisi wa Chadema kumbe kulikuwa na ajabu gani wao kujiunga na Chadema? Dr.Slaa kazi hana anatakuwa kwenye magazeti kila haishi kulazimisha habari hata kama haina mshiko

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Asante sana Esther Wasira 0655 048797 kwa ufafanuzi

3.jpg
I like it Esther. Will you marry me?
 
...the same ordinary results of journalistic madness...! local media, covered with misleading information by editors, too uncaring, or unmotivated, or just plain LAZY, to make a call to prospect to ask for the original wording....
 
Mkuu Ritz
JF lazima iwe kokoro yupo mtu kama molemo yeye anachojua ni kumshangilia Dr. Slaa hata kama kajifunga goli mwenyewe yeye anashangilia Dr. Slaa kafunga goli sasa hapo si lazima iwe kokoro!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Ritz
Hivi kuna ajabu gani mtoto wa mganga wa kienyeji kurithi matunguri ya baba yake? Dr.Slaa amechanganikiwa kumbe watoto baba yao alikuwa ni mwasisi wa Chadema kumbe kulikuwa na ajabu gani wao kujiunga na Chadema? Dr.Slaa kazi hana anatakuwa kwenye magazeti kila haishi kulazimisha habari hata kama haina mshiko

Chama
Gongo la mboto DSM

Acha uzembe..Kila raia ana kipindi ch akuukana au kuukubali uraia.Kila azaliwaye na wazazi wakristu na kipindi cha kubatizwa.Na kila chipukizi wa CCM hupewa kaipo cha utii.Kuwa watoto wa muasisi haimaanishi by default ni wana CDM.
 
Acha uzembe..Kila raia ana kipindi ch akuukana au kuukubali uraia.Kila azaliwaye na wazazi wakristu na kipindi cha kubatizwa.Na kila chipukizi wa CCM hupewa kaipo cha utii.Kuwa watoto wa muasisi haimaanishi by default ni wana CDM.

Uzembe mnao nyie mlioshangilia mkidhani walikuwa ni watoto wa kuzaa wa Wassira sasa mmeujua ukweli mmbaki midomo wazi

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Uzembe mnao nyie mlioshangilia mkidhani walikuwa ni watoto wa kuzaa wa Wassira sasa mmeujua ukweli mmbaki midomo wazi

Chama
Gongo la mboto DSM

Nani kakuahakikishia hilo?Wewe ndiye ulihofu hadi hukuandika kiu hadi uliposikia hilo.CDm walikuwa na raha kuwa watoto wa muasisi wanaingi kundini rasmi kwa ridhaa yao wenyewe.

By the way hili povu la wassira kama la Mkapa litawatoa jasho sana mwaka huu.Km mbweha waliofungwa mioto mkiani na kuachiwa kondeni palipo na uoto mkavu.CDM wameona wakimwacha bila mweka busy ataleta shida.Hujawahi ona picture ya chimp,amefunga miguu na huku akisoma gazeti?pembeni kukiwa na maandisho "Don't sit idly do somethings"?
 
Nani kakuahakikishia hilo?Wewe ndiye ulihofu hadi hukuandika kiu hadi uliposikia hilo.CDm walikuwa na raha kuwa watoto wa muasisi wanaingi kundini rasmi kwa ridhaa yao wenyewe.

By the way hili povu la wassira kama la Mkapa litawatoa jasho sana mwaka huu.Km mbweha waliofungwa mioto mkiani na kuachiwa kondeni palipo na uoto mkavu.CDM wameona wakimwacha bila mweka busy ataleta shida.Hujawahi ona picture ya chimp,amefunga miguu na huku akisoma gazeti?pembeni kukiwa na maandisho "Don't sit idly do somethings"?

Aliyenihakikishia hilo ni Dr.Slaa; jiulize zaidi kutafuta publicity kulikuwa na umuhimu gani wa yeye kuwakabidhi kadi? Hao mabinti hakuna anayewajua na isitoseh hawajawahi kuwa makada wa CCM kama walikuwa ni wanachama walikuwa ni kawaida; alichotafuta ni umaarufu wa jina la Wassira zaidi hilo hakuna lolote. Wala halikunishtua nilishapost hao ni watu wazima na haki ya kufanya maamuzi yao ya kisiasa; CCM ni chama cha kidemokrasia si chama cha kisultani

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Ningekuwa mimi wasirra, ningesisitiza kuw kweli ni watoto wangu, maana ni watoto wa kakangu tumbo moja. Halafu unawaachia wenye akili wawafafanulie magoi goi. Siwezi kumkana mtoto wa mdogo wangu hadharani kwa ajili ya sihasa!
 
KUmbe kitambooooo mulikua CHADEMA ilaya juzi ni uthibitisho tu na kutaka umaarufu.....
 
Ni habari gani iliyopotoshwa? walichosema ni cha kweli, George Wasiria alifariki, anayewale ni Steve Wasira! sasa yeye hataki nini?

Biashara ya kuuza habari (magazeti ) nayo imechangia kupotosha hii habari..
 
Steven Wasira anajua kuwa CDM sio dhambi, kwani hata yeye aligombea ubunge 1995 kupitia NCCR Mageuzi, na alimshinda Warioba
 
Ni habari gani iliyopotoshwa? walichosema ni cha kweli, George Wasiria alifariki, anayewale ni Steve Wasira! sasa yeye hataki nini?
Walipaswa/mlipaswa kuandika hayo unayotuambia sasa.
 
Haya ndio matatizo ya gutter politics... Katika haya mambo ya kisiasa msingi wa familia yoyote ni mshikamano hasa wakati wa kashfa mbali mbali ziwe za kweli ama uongo. Sielewi uhusiano wa hao mabinti na Waziri Wassira, ila ukweli utabaki lazima kutakuwa na kidoa kimeingia sababu tu ya baadhi ya waandishi waliandika habiri katika misingi ya ushabiki!

Imekuwa ni sifa kutaja watoto wa mkubwa fulani kajiunga CDM nadhani in a way kama kuonesha kuwa watoto hawawakubali wazazi wao na vyama vyao (mara nyingi kutoka CCM). Ile habari ya juzi kuhusu hao mabinti ilielezwa in the lines ya kuonesha Waziri Wassira kana kamba ni baba yao mzazi, kumbe NDIO ni ndugu lakini sio baba yao Mzazi.

Nam support Wassira kuliweka wazi kuwa wale sio wanawe na kwamba wa ndugu yake... ingawa kauli yake inaonesha wazi ni namna gani amekereka; na nawapongeza pia akina binti Wassira kuliweka hili wazi na kulipa ufafanuzi na kutowa upande wao wa shillingi. Haya mambo hayatakoma, yataendelea tu ili mradi ushabiki wa majina makubwa katika siasa yakiendelea kushobokewa... Mambo ya aibu basi tu.

Bilasahaka Wasira kuna jambo pia analificha kuhusu hawa mabinti, lakini kuna haja kuvuta subira, tunaweza kupata kilichojfisha nyuma ya pazia.
 
Mercyless labda kama unabisha kwa ajili tu ya ubishi na sio kuelewa... Katika Siasa ni nani at present anakulikana kwa jina la Wassir? Unaposema kuwa watoto wa Wassira kama kweli one in madau na mwanaharakati wa Siasa unadhani ni nani atadhaniwa anamaanishwa?

Nakubali kuwa Waziri Wassira hakupaswa kuchukizwa na hio habari sababu mwisho wa siku sio kwamba hao watoto ni wa mbali, ni watoto wa karibu na hata wanapaswa kumuita yeye baba yao. Wassira ana mapungufu yake, lakini haina maana kuwa he is the one to take all the blame katika huu mkanganyiko. Watoto wana haki ya kulaumiwa asmuchas wanahabari.

Ashadii kwa hiyo ulitaka wale watoto wabadili majina yao kisa wanajiunga chadema? Wasira ni jina la ukoo,so kama steven anafeel hilo jina halikupaswa kuonekana kwenye orodha ya wanachama wa chadema,yeye ndio abadili jina aondoa wasira abaki na steven sijui nani.
 
Andrewk! Hivi mzee George Wasira alifariki lini? Kumbukumbu zangu yungali hai, ana kikampuni cha uwakili bado na mmoja wa wakurugenzi wa bodi ya pamba.Tujuze tafadhali DSM kubwa.
 
isije ikawa wako" undercover" wana mission to accomplish.CHADEMA BEWARE!
 
Crucial Man, nalizungumzia hili swala kwa karata zilizopo mezani... Kama umenisoma post zangu zote humu utanipata vema kwa nini nimezungumzia hivyo. Sio kwamba haitakiwi watoto watumie hilo jina la Wassira, na wala haina maana kuwa sio watoto wake (ingawa sio wa kuwazaa mwenyewe); ila nalaumu kuwa hii yote imetokana na jinsi habari ya hao mabinti kupewa uzitow kujiunga kwao CDM...

Labda nikuulize Crucial Man; wewe unadhani wangekuwa ni mambinti wa kawaida tu hawana jina la Wassira hio habari ingepewa uzito uliopewa? Unadhani kuwa kuna uwezekano ule ule wa kwamba Dr. Slaa ndio ange kabidhi kadi? Na unadhani vyombo vya habari wangeitwa ili kuona na kuandika habari kuhusu kujiunga kwa akina binti Wassira? 'Wassira' kwa Waziri linaweza lisiwe ni jina lake na kwamba hana monopoly over the name, ILA ukweli unabaki kuwa yeye waziri ndio kafanya hilo jina la Wassira liwe na Uzito...
 
Back
Top Bottom