Watoto wafundishwe masomo kwa kiingereza toka wanapoanza nursery school

Watoto wafundishwe masomo kwa kiingereza toka wanapoanza nursery school

Elimu yetu inahitaji maboresho sana, lugha ikiwa ni moja wapo....English inakuja kuwa lugha ngeni kwa mwanafunzi kujifunza na kuiweza kuimudu , aongee na aandike English iliyonyooka sio kazi rahisi ilitakiwa aanze tangu nursery.

Kuna mwanafunzi wa form four nilikua nampa a,b,c za kusoma kwa ajili ya practical, nikamuelekeza akasome baadhi ya specimen kama maize seed and bean seed ambazo tayari walikua washafundishwa, baada ya dakika akarudi kuniuliza kati ya maize na beans ipi ni maharage...
Sijajua bado huyu shida ni lugha tu au kuna mengine.
Dah!! Ona Sasa mwanafunzi wa form 4 anashindwa kutofautisha Kati ya maize na beans [emoji848]
 
Jamii zetu zinajulikana zilivyo,hilo ulilosema ni mtu mmoja Kati ya watu mia ndo hufanya hivo, ni familia chache tu ndo zinazoelewa hilo,familia nyingi tena hizo hizo za wasomi hakuna kitu wanafanya Cha maana ili kumsaidia mtoto Kila kitu anaachiwa mwalimu afanye...
Na ndo hapo tunakwama
Maybe sio culture yetu
Lakini nchi za wenzetu wanafanya sana hence utamaduni unarithishwa from generations to generations
 
Kiswahili shule Ibaki kama somo level zote nursery,primary ,sekondary, vyuo vya kati na vyuo vikuu, kifundishwe vyombo habari tv, radio kila mahali tanzania ka lugha ya taifa ndio uzalendo. Lakn masomo mengine nje ya kiswahili yafundishwe kwa kingereza english. Mtaala ubadili kiswahili kifutwe kwenye maarifa ya jamii(social science) na sayansi asilia(natural science) kiswahili kiftwe kwa sayansi matumizi, tehama, hesabu zote zifundishe kwa english
 
Kiswahili shule Ibaki kama somo level zote nursery,primary ,sekondary, vyuo vya kati na vyuo vikuu, kifundishwe vyombo habari tv, radio kila mahali tanzania ka lugha ya taifa ndio uzalendo. Lakn masomo mengine nje ya kiswahili yafundishwe kwa kingereza english. Mtaala ubadili kiswahili kifutwe kwenye maarifa ya jamii(social science) na sayansi asilia(natural science) kiswahili kiftwe kwa sayansi matumizi, tehama, hesabu zote zifundishe kwa english
Wazo zuri
 
Kiswahili shule Ibaki kama somo level zote nursery,primary ,sekondary, vyuo vya kati na vyuo vikuu, kifundishwe vyombo habari tv, radio kila mahali tanzania ka lugha ya taifa ndio uzalendo. Lakn masomo mengine nje ya kiswahili yafundishwe kwa kingereza english. Mtaala ubadili kiswahili kifutwe kwenye maarifa ya jamii(social science) na sayansi asilia(natural science) kiswahili kiftwe kwa sayansi matumizi, tehama, hesabu zote zifundishe kwa english
Nadhani mtaala wa kufundisha kingereza upo na kiswahili upo n kuamua tu shule zianze kufundisha kingereza. Kuna shule baadhi za serikali zinafundisha kwa kingereza.
Watanzania wameridhika na huu mfumo vinginevyo ungeshafutwa kitambo sana.
 
Nadhani mtaala wa kufundisha kingereza upo na kiswahili upo n kuamua tu shule zianze kufundisha kingereza. Kuna shule baadhi za serikali zinafundisha kwa kingereza.
Watanzania wameridhika na huu mfumo vinginevyo ungeshafutwa kitambo sana.
Hizo shule za serikali zinazofundisha kwa kingereza ni zipi mkuu?
 
Labda yeye mwenzetu ana pesa za kuwasomesha watoto wake English medium
Ila English medium zipo hadi za laki 9 hata chini ya hapo....ni mind tu tumeziset kwamba English medium ni ghali, zishakua nyingi nyingine zinawezekanika unajikuna mkono unapofika
 
Wasalaam wakuu

Hivi ni kwanini watoto wetu wasifundishwe masomo kwa kiingereza toka wanapoanza nursery?

Huu mfumo wa kuwafundisha kwa kiswahili mpaka la saba halafu waanze tena kufundishwa kwa kiingereza kuanzia form one ni mgumu mno

Mtoto akifundishwa kwa kiingereza tokea nursery school inamjenga anakuwa na uwezo mkubwa wa kuongea na kuandika kiingereza vizuri tu.

Watoto wafundishwe kwa kiingereza toka nursery school, hicho kiswahili kama kina faida basi wafundishwe kwa kiswahili tokea nursery mpaka chuo.

Serikali inakwama wapi kubadili huu mfumo wa elimu?

Wanasemaga samaki mkunje angali mbichi

Au mnaonaje wananzengo?
Swala la masoma kwa shule zetu ni mzigo kwa watoto madaftali wanayobeba ni mzigo zamani yalikua masomo hayazidi saba..au 8 leo mh
 
Ila English medium zipo hadi za laki 9 hata chini ya hapo....ni mind tu tumeziset kwamba English medium ni ghali, zishakua nyingi nyingine zinawezekanika unajikuna mkono unapofika
Hiyo laki 9 bado hujajikimu na maisha,Yani hapo mfumo ubadilike tu Itakua rahisi Sana hata kwa ambao vipato vyetu ni vidogo
 
Sio tu pesa,hata nyumbani kama mnaongea kiingereza mtoto anaweza kucatch up,mie nimesoma kayumba ila mzungu hanitoi jasho,bibi alihusika sana home kunikomalia kila nikitoka shule
Alikua ananikazania na story books na kunisemesha mpaka tukaanza kuelewana
Hili ndio wengi hawajui. Mm mwenyewe nimejua kimombo sababu nyumbani wazazi walikua hawaongei kiswahili. Ukiongea kiswahili hakujibu chochote na yeye anakutuma kwa kimombo. Japo nilisoma kayumba. Hadi TV ilikua marufuku kuangalia vipindi vya kiswahili, hadi leo mm huwezi ukanikuta nafatilia vipindi au habari za kiswahili
 
Hili ndio wengi hawajui. Mm mwenyewe nimejua kimombo sababu nyumbani wazazi walikua hawaongei kiswahili. Ukiongea kiswahili hakujibu chochote na yeye anakutuma kwa kimombo. Japo nilisoma kayumba. Hadi TV ilikua marufuku kuangalia vipindi vya kiswahili, hadi leo mm huwezi ukanikuta nafatilia vipindi au habari za kiswahili
Kwenye kuandika je,walikufundisha?
 
Back
Top Bottom