Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawaWatoto wanatakiwa wafundishwe Kiswahili toka vidudu mpaka phd. Watu wengi wanafeli sio kwasababu vilaza ila lugha ya Kiingereza inawavuruga
Sijui kama watakuelewa, lakini ni hoja nzuri, itamjengea mwanafunzi msingi wa lugha hiyo ambayo ndio itumikayo kwa masomo. Matokeo mabaya ya mitihani(mbali na kupanua magoli) tatizo ni lugha na si ugumu wa masomo.Wasalaam wakuu
Hivi ni kwanini watoto wetu wasifundishwe masomo kwa kiingereza toka wanapoanza nursery?
Huu mfumo wa kuwafundisha kwa kiswahili mpaka la saba halafu waanze tena kufundishwa kwa kiingereza kuanzia form one ni mgumu mno
Mtoto akifundishwa kwa kiingereza tokea nursery school inamjenga anakuwa na uwezo mkubwa wa kuongea na kuandika kiingereza vizuri tu.
Watoto wafundishwe kwa kiingereza toka nursery school, hicho kiswahili kama kina faida basi wafundishwe kwa kiswahili tokea nursery mpaka chuo.
Serikali inakwama wapi kubadili huu mfumo wa elimu?
Wanasemaga samaki mkunje angali mbichi
Au mnaonaje wananzengo?
Umahili wa kujibu maswali nacho kwa sasa si kipimo cha uelewa. Maswali mengi majibu ni ya kujaza vibox, hata mjinga awezae bahatisha.Ukitaka mtoto aongee na kuelewa kiingereza vizuri kwa mazingira ya elimu ya Sasa mpaka uwe na pesa,bila hivyo mtoto ataishia kuwa na umahiri wa kujibu maswali na siyo kuongea kimombo...
Kama haitaweza, tafuta tena. Kusomesha elimu bora ni gharama.Mkuu swala la kutafuta pesa ni Jambo jingine,unaweza tafuta pesa ukapata Ila isiweze kusomesha watoto wako tokea nursery shule za English medium
Fikiria Mara mbili mbili unapo changia mada
Pesa ya kutosha, elimu nzuri ni gharama. English medium primary, day, kwa mwaka gharama ya chini kabisa nchini ni kuanzia 1m. Boarding ni kuanzia 2m.Mkuu labda unamaanisha kiasi gani Cha pesa?
Mkuu kama pesa unayo je utashindwa nini kumpeleka kwenye shule nzuri?Mkuu swala la kutafuta pesa ni Jambo jingine,unaweza tafuta pesa ukapata Ila isiweze kusomesha watoto wako tokea nursery shule za English medium
Fikiria Mara mbili mbili unapo changia mada
mhn! watoto wanaelewa vizuri wakiwa wanafundishwa kwa lugha za mama zao! hata hivyo elimu si lazima kiingereza pekee yapo mambo mengine zaidi ya lugha ambayo mwanafunzi anahitaji kujifunza.Wasalaam wakuu
Hivi ni kwanini watoto wetu wasifundishwe masomo kwa kiingereza toka wanapoanza nursery?
Huu mfumo wa kuwafundisha kwa kiswahili mpaka la saba halafu waanze tena kufundishwa kwa kiingereza kuanzia form one ni mgumu mno
Mtoto akifundishwa kwa kiingereza tokea nursery school inamjenga anakuwa na uwezo mkubwa wa kuongea na kuandika kiingereza vizuri tu.
Watoto wafundishwe kwa kiingereza toka nursery school, hicho kiswahili kama kina faida basi wafundishwe kwa kiswahili tokea nursery mpaka chuo.
Serikali inakwama wapi kubadili huu mfumo wa elimu?
Wanasemaga samaki mkunje angali mbichi
Au mnaonaje wananzengo?
Na kuhusu lugha hasa ya kuzungumza na kujieleza inapatikana primary (English) misingi yote ipo umo.Nilishajiuliza hili swala sana
Kuna faida gani ya kuanza na kiswahili alafu akifika form 1 anakutana na lugha ingine kabisa?
Na ndo mana unakuta form 4 wengi wanafeli ishu huku serikali tofauti na private,ishu sio tu walimu bali lugha ni mtihani
Unataka mtoto aandike essay aelezee kitu fulani,hiyo lugha ya kuandika hiyo essay amejifunza wapi wakati kwenye msingi amesoma kiswahili?
Elimu yetu ni kama ipo msukuleni vile[emoji1]
Yes! wataalam wanakwambia lugha mtoto anafundishwa na kuimaster miaka 7 ya mwanzoni toka azaliwe,Na kuhusu lugha hasa ya kuzungumza na kujieleza inapatikana primary (English) misingi yote ipo umo.