habari wadau.
natamani sana watoto wetu wa kizazi cha sasa wafundishwe huu ukweli mapema.. wasije kuwa kama sisi baba zao na babu zao.
mfano ghorofa limedondoka watu wamefukiwa.. watu wengi wanaamini sala na Mungu ndio atawanusuru. jiulize kama Mungu ana nia njema nao mbona Mungu hajazuia ghorofa lisidondoke na kuwafukia?
watu badala ya kuongeza nguvu na kushirikiana haraka kutoa vifusi. watu wanaleta story za Mungu na maombi .
natamani sana watoto wetu wa kizazi cha sasa wafundishwe huu ukweli mapema.. wasije kuwa kama sisi baba zao na babu zao.
mfano ghorofa limedondoka watu wamefukiwa.. watu wengi wanaamini sala na Mungu ndio atawanusuru. jiulize kama Mungu ana nia njema nao mbona Mungu hajazuia ghorofa lisidondoke na kuwafukia?
watu badala ya kuongeza nguvu na kushirikiana haraka kutoa vifusi. watu wanaleta story za Mungu na maombi .