Watoto wako walibadilisha vipi maisha Yako...!

Pole Mungu ni mwema mtoto anakua itafika wakat atajua ukweli ni upi na uongo ni upi
 
Hahah km nakuona mkuu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ ilivokuwa unazunguka kubembeleza
 
Pole Mungu ni mwema mtoto anakua itafika wakat atajua ukweli ni upi na uongo ni upi
Namuombea kwa mungu apate kujua ukweli, ila nae akikuwa na akili akameza sumu za mama yake kuwa baba mbaya, shauri yake.

Mungu anajua dhamira na upendo mkubwa nilionao moyoni mwangu juu yake
 
ERoni
Ushimen
Grahams
binti kiziwi
Kalpana
Liverpool VPN πŸ˜„mje mtupe experience zenu baada ya kupata watoto
Kweli nimezidi kuzeeka Babu yenu, yaani kuniita kote kule nilikuwa sijasikia 😜

Turudi kwenye mada,

Ujio wa watoto wetu na Bibi yenu ulininibadirisha baadhi ya mambo hususani mtazamo juu ya maisha Kwa ujumla

Kila nikifanyacho nimekuwa nikifanya huku nawafikiria wao zaidi

Nipo radhi nisile, ila wao na Mama yao nahakikisha wamekula kwanza

Nikipata shilingi laki 1, basi nitahakikisha elfu 80 imeenda kwao na shilingi elfu 20 ndiyo nabaki nayo Mimi

Nimejikuta nafanya Uwekezaji mwingi hasa kiuchumi Kwa kujinyima kwaajili ya kuwaandalia wao kesho yao

Naweza kukaa miezi 6 bila kununua shati jipya ili niwanunulie wao
 
Sijui ni kwa nini, yani kuna Me hata kumshika mtoto dk2 hawezi. Labda ni tumeumbwa tofauti.
Huwezi kujua ila yakikukita utajua! Kama mwanaume anapenda sana K, na hana mchepuko, raha yake aioge K. Ujio wa mtoto unaweka limit ya kupata K. Hapo ndipo mtanziko unapotokea. Hivi unajua mwanamke akikunyima k hata ndugu zake, nguo zake etc unavichukia! Ndiyo maana tunasema, michepuko inaokoa ndoa.
 
Mwanamke akishika ujauzito had akiifungua Huwa na mabadiliko mengi kihisia sabbu ya madadiliko ya homoni mwanaume mjinga pekee ndo atafanya hiyo ni sabbu ya kuchukia mtoto
 
Haiwezi kuwa sababu ya kutopenda kukaa/kumshika mtoto. Hayo ni mambo mengine tofauti kabisa.

Kwamba kwa vile wife anakunyima K unakuwa na hasira hadi hutaki mtoto?
 
Mwanamke akishika ujauzito had akiifungua Huwa na mabadiliko mengi kihisia sabbu ya madadiliko ya homoni mwanaume mjinga pekee ndo atafanya hiyo ni sabbu ya kuchukia mtoto
Huwezi kubadili kila nafsi ya mtu. Tupo hapa kuelimisha na kuelimisha ni pamoja na kujua chimbuko la tatizo. Mabadiliko ya mwanamke si wakati wa mimba hata kulea kunaleta mabadiliko pia.
 
Haiwezi kuwa sababu ya kutopenda kukaa/kumshika mtoto. Hayo ni mambo mengine tofauti kabisa.

Kwamba kwa vile wife anakunyima K unakuwa na hasira hadi hutaki mtoto?
Ndiyo maana unakuta wanaume wengine wajinga wanaua watoto wa kambo. Roma na Snura waliimba K ni K. Achana na nguvu ya K wakati Abdallah amechachamaa hasa kwenu vijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…