Nilikua karembo sana so jamaa asingepindua mi kazi yangu ilikua kutoka taarifa na kuhakikisha upatikanaji ni WA uhakika. Hata hivyo ndoto yangu ilikua kuwa jambazi ikafeliUlikua sana mafia ehee??? Hapo kwenye kupeleleza hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulia lea familia.Nd
Ndoto yangu ilikua niwe jambazi mkubwa duniani nikakosa connection!!! Vp unaweza kunisaidis
Sawa,nitakuja kumuona.Uje home mbona yupo ๐
Jambazi anakufa mwema anakufa.Tulia lea familia.
Ujambazi una negative impact,usije kupelekwa futi sita na kuacha wanao peke yao wanateseka.
Bado ndoto unayo ? Maana niko hatua za mwisho za kukamilisha kakikundi kangu ili tuanze kumjambisha CamilliusNilikua karembo sana so jamaa asingepindua mi kazi yangu ilikua kutoka taarifa na kuhakikisha upatikanaji ni WA uhakika. Hata hivyo ndoto yangu ilikua kuwa jambazi ikafeli
Tuanzie hapa kwanza, wazazi wetu walitukosea sana ila je, wewe uliambiwa na mama yako amekuzaa leba au amekununua kwenye ndege?Natumaini mkopoa
Natamani kujua namna malezi ya watoto wenu yalivoleta changes kwenye maisha ya wazazi wengi
Nitaanza na mm story yangu ya kweli lakin nilisimuliwa na mamayangu pia Kwa kias baba japo baba hakuuwa msimuliaji nzuri
NB
Visa nilivopata Kwa muda tofaut tofaut mara nying nilikuwa nauliza maswali Kwa mama hiki vipi hiki sababu nn
Mamayangu ni mtu muwazi sana na
NAmi nimeviunganisha kuwa story fupi vipi maisha ya wazazi wangu yalibadilika baada ya kupata watoto
Ni true story
Sehemu ya 1
Mamayangu alichukuliwa na nduguzake kutoka mkoani kuja dar Kipindi hiko kutoka kijijini kuja mjini uwe na connections ya hali ya juu๐ sabbu ya umbali na barabara mbovu
Akafanikiwa kufika na kuanza Kuishi hapo
Jirani ya hayo maeneo kulikuwa na bar inasemekana baba ndo ilikuwa mitaa yake yupo hapo muda wote akitoka kazini
Mzee alikuwa mnywaji mzuri pia hakuwa na mke Wala mtoto alokuwa anaishi nae
Kuhus maisha yake ya nyuma
Alikuwa na mke na walipata mtoto mmoja wa kike ambae ni dadayetu miaka ya nyuma walikuwa wanaishi pamoja na huyo mama baada ya muda baba akapta safari kwenda kozi(sijui inaitwaje jina lingine ila wanajeshi wanaelewa)alkaa ka muda kidogo,alivorudi akakuta mkewe ameolewa na rafikiyake na wanaishi pamoja na mke ni mjamzito ana mimba ya yule rafikiyake
Ugomvi ulikuwa Mkubwa sana baba akaamua akamchukua mwanae akamuachia kilakitu yule mwanamke mtoto akampeleka Kwa wazaziwake
So akaamua kulea mwanae akiwa huko
Hivyo had anafikia umri wa miaka 41 hakuoa Tena Wala hakuwa na mtoto mwingine maisha yake Ilikuwa ni kazi na pombe
Tuendelee Sasa
Baada ya kukutana na mama
Mama akapata ujauzito wake wa kwanza ikawa ngumu sana sabbu alikuwa anaishi Kwa ndugu wakakubaliana wamrudishe kijijini Kwao ila baba akaamua kumchukua akajitambulisha na kuanza Kuishi nae na kulea mimba
Maisha yakaanza mzee alikuwa na kitanda kimoja Cha chuma nafikiria mnajua vile vitanda vya jeshin pamoja na vyombo vichache kipind chote Cha maisha yake hakuwa anafikiria chochote kuhus kuoa Wala kuwa na watoto Tena Ilikuwa akitoka kazini ni pombe
Mshahara ukitoka hakuna kinachofanyika had unaisha
Inaendelea ni fupi naimaliza soon
๐Daah!! Umenikumbusha habari za kuambiwa " mama kanunua mtoto".Tuanzie hapa kwanza, wazazi wetu walitukosea sana ila je, wewe uliambiwa na mama yako amekuzaa leba au amekununua kwenye ndege?
Niunge chapBado ndoto unayo ? Maana niko hatua za mwisho za kukamilisha kakikundi kangu ili tuanze kumjambisha Camillius
Fikiria kuhusu watoto na mumeo.Jambazi anakufa mwema anakufa.
Hongera sana๐Daah!! Umenikumbusha habari za kuambiwa " mama kanunua mtoto".
Binafsi sio mama lakini watoto wa ndugu zangu nimelea Lea ( yaani kukaa nao kwa muda kadhaa).
Katika kukaa nao nikagundua kumbe ulezi sio tu kuwapikia watoto, kuwafulia kama ambavyo nilikuwa nafikiriaga, kumbe ulezi unaenda mbali zaidi Hadi katika uchunguzi wa kitabia wa watoto. Lazima mzazi uwe mchunguzi wa tabia za watoto wako, ufatilie mienendo Yao ya Kila siku, kuanzia marafiki zake shuleni, Mtaani n.k.
Mpe mtoto nafasi ya kujieleza na kupima mambo, weka meza ya majadiliano nae / nao, pima uwezo wao wa kufikiri, isiwe ni amri tu kuanzia asubuhi Hadi jioni.
Kwahiyo nimejifunza baadhi ya mambo kutokana na kukaa nao kwa hizo nyakati.
Sio mpigaji wa watoto Kabsaa ila wakiniboa ntawafokea hataree!! Hilo najitahidi nibadilishe ili nikijaaliwa wakwangu nisifoke sanaa.
Ivi mwanamke anakaa mda gn ndoaisi dalili kwamb anamimbaNatumaini mkopoa
Natamani kujua namna malezi ya watoto wenu yalivoleta changes kwenye maisha ya wazazi wengi
Nitaanza na mm story yangu ya kweli lakin nilisimuliwa na mamayangu pia Kwa kias baba japo baba hakuuwa msimuliaji nzuri
NB
Visa nilivopata Kwa muda tofaut tofaut mara nying nilikuwa nauliza maswali Kwa mama hiki vipi hiki sababu nn
Mamayangu ni mtu muwazi sana na
NAmi nimeviunganisha kuwa story fupi vipi maisha ya wazazi wangu yalibadilika baada ya kupata watoto
Ni true story
Sehemu ya 1
Mamayangu alichukuliwa na nduguzake kutoka mkoani kuja dar Kipindi hiko kutoka kijijini kuja mjini uwe na connections ya hali ya juu๐ sabbu ya umbali na barabara mbovu
Akafanikiwa kufika na kuanza Kuishi hapo
Jirani ya hayo maeneo kulikuwa na bar inasemekana baba ndo ilikuwa mitaa yake yupo hapo muda wote akitoka kazini
Mzee alikuwa mnywaji mzuri pia hakuwa na mke Wala mtoto alokuwa anaishi nae
Kuhus maisha yake ya nyuma
Alikuwa na mke na walipata mtoto mmoja wa kike ambae ni dadayetu miaka ya nyuma walikuwa wanaishi pamoja na huyo mama baada ya muda baba akapta safari kwenda kozi(sijui inaitwaje jina lingine ila wanajeshi wanaelewa)alkaa ka muda kidogo,alivorudi akakuta mkewe ameolewa na rafikiyake na wanaishi pamoja na mke ni mjamzito ana mimba ya yule rafikiyake
Ugomvi ulikuwa Mkubwa sana baba akaamua akamchukua mwanae akamuachia kilakitu yule mwanamke mtoto akampeleka Kwa wazaziwake
So akaamua kulea mwanae akiwa huko
Hivyo had anafikia umri wa miaka 41 hakuoa Tena Wala hakuwa na mtoto mwingine maisha yake Ilikuwa ni kazi na pombe
Tuendelee Sasa
Baada ya kukutana na mama
Mama akapata ujauzito wake wa kwanza ikawa ngumu sana sabbu alikuwa anaishi Kwa ndugu wakakubaliana wamrudishe kijijini Kwao ila baba akaamua kumchukua akajitambulisha na kuanza Kuishi nae na kulea mimba
Maisha yakaanza mzee alikuwa na kitanda kimoja Cha chuma nafikiria mnajua vile vitanda vya jeshin pamoja na vyombo vichache kipind chote Cha maisha yake hakuwa anafikiria chochote kuhus kuoa Wala kuwa na watoto Tena Ilikuwa akitoka kazini ni pombe
Mshahara ukitoka hakuna kinachofanyika had unaisha
Inaendelea ni fupi naimaliza soon
So true, kuna push flani inapatikana especially wewe ndo msaada pekee kwa watoto wako. Alaf kuna fulfilment flani unaipata. Sina experience ila nahisi hii ndo inasababisha watu kubadilikaSehemu ya 3
Baada ya mdogo wangu kuzaliwa kasheshe zikaongeza watoto wawili nyumbani Tena wadogo wote ikabidi atulize mpira Sasa apambane na familia
Wakanunua kiwanja wakaanza ujenzi taratibu. Hatimaye tukahamia
Akawa haendi Tena kunywa anasubir mwisho wa mwez Huwa wanapewa vinywaji kazini na nyama bas atarudi navyo hivo na bia atabeba ila chache na atanywea nyumbani na siiss tutapewa soda Zetu
Hadi nafika miak 11 sikumuona baba akirudi usiku mwing wala kumuona amelewa,
Akiwa Hana kazi weekend ni kutupigisha story huku tunamsaidia kubrush viatu vyake
bia zikiwa ndani zikiisha haongezi zingine ikafika wakat akawa harud na bia Tena ni Malta na soda tu akaamua kuacha pombe km alikuwa anakunywa bas Kwa Siri sana
Mabadiliko yake yalikuwa makubwa na yalifanya wakapiga hatua sana alikuwa anashukurun sana kuzaliwa kwangu na mdogowangu maana bila kupachika yule bint mimba ๐angeishi maishayake yote akiwa hivo na Hana maendeleo yoyote
NAmi nashukuru sana alikuwa babayang am proud of him a lot
Imeisha natamni tuone experience zenu baada ya kuwa wazazi tujifnze ๐๐
Hii chorus ya "inaendelea" itakuja kusababisha mtu apigwe bakoraNatumaini mkopoa
Natamani kujua namna malezi ya watoto wenu yalivoleta changes kwenye maisha ya wazazi wengi
Nitaanza na mm story yangu ya kweli lakin nilisimuliwa na mamayangu pia Kwa kias baba japo baba hakuuwa msimuliaji nzuri
NB
Visa nilivopata Kwa muda tofaut tofaut mara nying nilikuwa nauliza maswali Kwa mama hiki vipi hiki sababu nn
Mamayangu ni mtu muwazi sana na
NAmi nimeviunganisha kuwa story fupi vipi maisha ya wazazi wangu yalibadilika baada ya kupata watoto
Ni true story
Sehemu ya 1
Mamayangu alichukuliwa na nduguzake kutoka mkoani kuja dar Kipindi hiko kutoka kijijini kuja mjini uwe na connections ya hali ya juu๐ sabbu ya umbali na barabara mbovu
Akafanikiwa kufika na kuanza Kuishi hapo
Jirani ya hayo maeneo kulikuwa na bar inasemekana baba ndo ilikuwa mitaa yake yupo hapo muda wote akitoka kazini
Mzee alikuwa mnywaji mzuri pia hakuwa na mke Wala mtoto alokuwa anaishi nae
Kuhus maisha yake ya nyuma
Alikuwa na mke na walipata mtoto mmoja wa kike ambae ni dadayetu miaka ya nyuma walikuwa wanaishi pamoja na huyo mama baada ya muda baba akapta safari kwenda kozi(sijui inaitwaje jina lingine ila wanajeshi wanaelewa)alkaa ka muda kidogo,alivorudi akakuta mkewe ameolewa na rafikiyake na wanaishi pamoja na mke ni mjamzito ana mimba ya yule rafikiyake
Ugomvi ulikuwa Mkubwa sana baba akaamua akamchukua mwanae akamuachia kilakitu yule mwanamke mtoto akampeleka Kwa wazaziwake
So akaamua kulea mwanae akiwa huko
Hivyo had anafikia umri wa miaka 41 hakuoa Tena Wala hakuwa na mtoto mwingine maisha yake Ilikuwa ni kazi na pombe
Tuendelee Sasa
Baada ya kukutana na mama
Mama akapata ujauzito wake wa kwanza ikawa ngumu sana sabbu alikuwa anaishi Kwa ndugu wakakubaliana wamrudishe kijijini Kwao ila baba akaamua kumchukua akajitambulisha na kuanza Kuishi nae na kulea mimba
Maisha yakaanza mzee alikuwa na kitanda kimoja Cha chuma nafikiria mnajua vile vitanda vya jeshin pamoja na vyombo vichache kipind chote Cha maisha yake hakuwa anafikiria chochote kuhus kuoa Wala kuwa na watoto Tena Ilikuwa akitoka kazini ni pombe
Mshahara ukitoka hakuna kinachofanyika had unaisha
Inaendelea ni fupi naimaliza soon
Movie za kina Cynthia rothrock zilikuingia kwny kichwa...Nd
Ndoto yangu ilikua niwe jambazi mkubwa duniani nikakosa connection!!! Vp unaweza kunisaidis
Hongera wii ๐๐Mimi mtoto wangu wa kwanza amenibadilisha nisiwe napuyanga kwenye mitandao ya kijamii, yaani hata kushika simu najionea uvivu nimepunguza kwa kiasi kikubwa.
Nimeipenda hii!Hawa watoto wamenibadili tabia nashukuru Mungu.
Picha liko hivi nilikua na tabia mbaya zooote kasoro umalaya..... Safari kila siku madili yanayofaa na yasiyofaa ndio yalikuwa mahali pake hapa,,, wanaume sikuwa nawawzia sana nikaja kumpata huyu baba l nilimsumbua sana akaniambia utatulia tu labda sio Mimi!! Nikapata ujauzito lakini sikuwa na dalili yoyote na sikuwahi kutapika Wala kuumwa!!!!!!
Sasa ikatokea nikapewa Dili la kumpeleleza tapeli mmoja nikapewa details kwa muda huo alikua geita alitapeli madini kwa wabongo huko Kongo mi kazi yangu kumuweka kwenye target mengine wanamaliza wenyewe. Basi safari mpaka geita na mimba yangu nisiyoijua nilikaa pale kama wiki nikajua alipo kwenye hoteli aliyopo na mimi nikaenda kuchukua chumba mule nikaweka sawa mawasiliano kazi yao waje kumaliza wenyewe.
Sitasahau ilikua siku ya jumapili saa 7 mchana Niko namseduce tapeli tukiwa tumekaa kwenye kaunta ya hiyo hoteli police waliingia kwa kuruka kuna walioruka juu ya paa wakaingia, walioruka geti wakaingia tukazingirwa wote pale..... Tapeli alikua anaijfanya hajui kiswahili anaongea french na English kwa tabu!!! Lakini baada ya kuzingirwa pale akajifanya m mbishi akapigwa ya mguu pale pale nilisikia iiiiii whagoshya mayo Nene mpka police walicheka.
Wote tulikamatwa kwa mahojiano na nikiwa police ndo nilijua nina mimba maana kule nilianza kusikia harufu mbalimbali nilivyotoka hapo nilienda hospital nikahakiki.
Tapeli alisaidiwa atoke na aliowatapeli na alivyotoka walimshughulikia akiwa uraiani.
Nilivyojua nina ujauzito nilikosa raha kabisa niliwaza maisha yataendaje???! Kumwambia baba watoto alifurahi sana mimba haikunifanya nitulie na niligoma kwenda klinic sikuhudhuria hata mara moja na mimba haikuwahi kunisumbua na sikuipenda niliona kama naharibu maisha yangu...... Ilipofika miezi 8 nilitulia kidogo baba l ananilazimisha niende clinic staki kitumbo kilikua na muundo kama papai nimekaa kama wiki tatu siku hiyo nikaamka sijielewi nasikia napigwa shoti ya umeme mwili mzima nikatoka nikaenda kunywa supu kumbuka hapo nimepanga lakini sipiki ndani nilikuwa silali hiyo nyumba nilipngia panya na mende.... Nafika hapo hoteli nakumbuka niliagiza supu ya samaki. Nilivyoanza kunywa ule mchuzi nilipigwa na shoti Kali niliruka nivunja bakuli samaki tupa kule Kuna mama mmoja akanifata akaniambia una uchungu wewe twende hospitali.... Sikujiandaa kwa lolote nikampigia simu mama angu mdogo akaja akanichamba kwanza akaenda kunifungia nguo kanga na baadhi tulinunua!!! Kufika hospitali kasheshe likaanza nilichambwa leba wakanikataa sina kadi huku na huku nikamuita nesi nikamwambia hela ipo nizalishe akamfata daktari pale nikawapiga hela za kutosha nilishindwa kujifungua kawaida njia ilikua haifunguki nikafanyiwa operation saa moja kamili January 2014 nikapata watoto mapacha aisee mwanzo nilivyowaona niliogopa nililia siku amini nikapata Hali flani hivii siwezi kueleza baba l alifurahi sana......
Nikaanza kuwaza sasa namuuliza baba l tunafaanyaje sasa .
Maisha yalibadilika nikaanza kutulia na ilibidi tuchange hela tukanunua nyumba weka fanicha maisha yakaanza full raha mahaba ya baba na watoto tabia mbaya nikapunguza japo pombe sijaacha!!!
Sasa hivi mimi ni mama nilishaongeza wengine Mungu anajua kukomesha sisi ambao hatujatulia akanipa mapacha watatu full kulea yani ni mama alietulia nafanya kazi Kuna muda siamini.
Baba l huwa ananiambia nilikwambia utatulia tu!.
Acha yaani kama ile ya komando kipensi na Rambo IIIMovie za kina Cynthia rothrock zilikuingia kwny kichwa...