Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Habari ndugu zangu
Mimi ni kijana mdogo miaka 26 nilimpa ujauzito mwanamke na nilimkana sijawahi kutembea nae na ilipelekea mpaka akaenda kumpa mtu mwingine kwamba ndio baba wa lile tumbo.
Sasa roho inanisuta watoto walikua wanafanana na Mimi cha ajabu yule baba feki amekubali kulea na anajua ni wanae.
Sasa roho inanisuta watoto wanafanana na Mimi Bora wasinge fanana aisee mpaka njia nimeacha kupita.
Mnanishauri nifanyaje? Aisee nimebadili njia.
Mimi ni kijana mdogo miaka 26 nilimpa ujauzito mwanamke na nilimkana sijawahi kutembea nae na ilipelekea mpaka akaenda kumpa mtu mwingine kwamba ndio baba wa lile tumbo.
Sasa roho inanisuta watoto walikua wanafanana na Mimi cha ajabu yule baba feki amekubali kulea na anajua ni wanae.
Sasa roho inanisuta watoto wanafanana na Mimi Bora wasinge fanana aisee mpaka njia nimeacha kupita.
Mnanishauri nifanyaje? Aisee nimebadili njia.