Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Inabidi MTU atuletee Uzi kamiliKupotea kwa PM ni mmoja wa mikasa ya kusisimua ya karne ya 20.
Tena natamani kujua zaidiNi mkasa wa aina yake
Bana wee na hajapatikanaPM anapotea?? Hii kali
Mkuu Habib Hanga aliuawa huko zanzibar pembezoni mwa airport!! Nilisoma habari zake kwa kina tena zikiambatana na baadhi ya picha!! Mchonga naye hakuwa nyuma kwa kufagia njia!Point kabisa. Ndugu wa Kassim Hanga kule Zanzibar hadi kesho wanaulizia lilipo kaburi lake lakini ndio hivyo tena wanaishia kuzungushwa.
Halina sumu haliwezi kupoteaOk natamani jiwe lipotee kama hivo
Lipotee jiwe tena hiyo itakua bahati ya mtende[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ok natamani jiwe lipotee kama hivo
Utalikuta Mbinguni linakusubiri likuongoze tenaOk natamani jiwe lipotee kama hivo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Lipotee jiwe tena hiyo itakua bahati ya mtende[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23] jiwe linalopelekesha waashiUtalikuta Mbinguni linakusubiri likuongoze tena
[emoji23]Halina sumu haliwezi kupotea
hapo chunusi wamefanya yaoIla huyo waziri mkuu wa australia alipotea kizembe sana.
umemuona huyo namba nane ndio baba lao hapoBora ufe ndugu wajue kuliko hivi
Najua kidogo sana kiongozi, ningekuwa najua deep ningeandaa Uzi, ila amini tupo nao mitaani na ni watu maarufu sana, tena wao ndiyo waliyoanzisha mambo ya kuvaa miwani wakidanganya miwani ya jua kumbe lengo kuficha mboni, kwa kuwa wengi huwa wanakuwa maarufu sana na hutisha sana hivo huwavutia watu wengi na kuigwa ovyo, Nani hajawahi kuvaa miwani mieusi hapa tuliopo??
Unajua source, take care.
Zipi mkuu?Mbona wengi ni wamarekani?? Acheni hizo
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Una uhakika aisee...?
Direct translation "Mungu ni ajuaye kila kitu". Ni kama vile kutamka "You can't me" ukimaanisha "wewe huniwezi"God is knows everything
Zipi mkuu?
Nadhani ndio maana wanapoteaga ghafla....aka "watoto wa dawa"Nice to hear that bro.
Ila kiongozi hawa viumbe si zipo sign zao kama ukitaka kujua kuwa huyu ni binadam au sio bro...?
Na pia, naskia kuwa hawawezi kuna kwa muda mref sana wakawawakiwa kwenye umbo la binadam mkuu. Au...?