Watu 14 washikiliwa kwa tuhuma za kurekodi video mgonjwa akiwa ICU Muhimbili

Watu 14 washikiliwa kwa tuhuma za kurekodi video mgonjwa akiwa ICU Muhimbili

Cha ajabu amezalishwa.
Dada simpendi kwa roho yangu yote.
Kuzalishwa washangaa!
Watu wengine kuzalisha mwanamke hutumia fursa hiyo kama kukomoa ama kutweza utu.

Tendo la mapenzi lina sura mbili, kufurahisha ama kukomoa na kudhalilisha.
 
polisi wako makini sana.. wamesema funguo, kalamu, miwani hadi saa navyo vinachunguzwa..
pigeni kazi polisi,
wale wanaosema polisi hawajui kufanya investigation wanaduwaa sasa
Usisahau na kofia pia iko kwenye list ya vifaa vinavyochunguzwa.
 
Kashasema hata wauliwe hawasemi video wamepataje nayeye kakunja nne US.
Shetani la mguu mmoja limekunja nne
Baada ya kuwsunguza wenzie👍
We huwajui polisi wewe. Kawaulize Makomandoo ilikuwaje wakasign document bila kuisoma. Sasa hao wala Chipsi wala haihitaji nguvu kubwa kama makomandoo. Ni vijana wa depo tu wanapewa kazi baada ya dakika tano wanasema mpaka walivyotungishwa mimba.
 
Kiumbe katili kuliko wote Duniani ni Binadamu na kiumbe mwenye huruma kuliko Wote Duniani ni binadamu

Mtu anaeweza kuchinja Mtoto au Mkewe au kumtilia sumu Mumewe atashindwa kurekodi tu tukio la Mtu maarufu tu asiemhusu?
Dah!
 
Wanataka kuamsha mashetani ya yule Dada wa amerika.

Hii nchi upuuzi unapewa kipaumbele sanaaaa
 
Mange alikuwa zamani sasa hivi anatumia nguvu nyingi yeye angendelea na udaku na skendo za mastaa. Mambo mengine ni udhalilishaji.
Hata hao mastaa inabidi achuje umbea,anakurupuka Yule!Kuna Dada kazaa na Moses Iyobo,we alicharuka baada ya Mange kudai Mose katelekeza mtoto!dada kakwambia weeeee usimletee balaa mwanangu akaja kosa matunzo,au nikuletee miamala anayohudumiwa?niakasema Bora huyu kamshuashua
 
We huwajui polisi wewe. Kawaulize Makomandoo ilikuwaje wakasign document bila kuisoma. Sasa hao wala Chipsi wala haihitaji nguvu kubwa kama makomandoo. Ni vijana wa depo tu wanapewa kazi baada ya dakika tano wanasema mpaka walivyotungishwa mimba.
Tunabishana nini,bosi wao ndio kasema ulichoquote.
Unaquote kitu hujaelewa?
Rudia reply yangu kulee☝️
 
Hata hao mastaa inabidi achuje umbea,anakurupuka Yule!Kuna Dada kazaa na Moses Iyobo,we alicharuka baada ya Mange kudai Mose katelekeza mtoto!dada kakwambia weeeee usimletee balaa mwanangu akaja kosa matunzo,au nikuletee miamala anayohudumiwa?niakasema Bora huyu kamshuashua
Joannah:
Ukweli ni anakurupuka.... sikuwahi kumfatilia, inachochea kushuka kwa maadili yetu.
 
Leo naona yupo na Lukamba na familia nzima, anatukana kuanzia mtoto mpaka wazazi.

Nilichoshangaa zaidi ni kusikia kaonyesha hadi sehemu za siri za yule ndugu yake Dai...[emoji47]
Yule si mzima mana hiyo tabia yake si ya kawaida kabisa...
 
Back
Top Bottom