Watu 14 washikiliwa kwa tuhuma za kurekodi video mgonjwa akiwa ICU Muhimbili

Watu 14 washikiliwa kwa tuhuma za kurekodi video mgonjwa akiwa ICU Muhimbili

Huyu Mange watanzania tunamchukia sana kwa sababu alimdhihaki Dkt Magufuli, yaani asije kurudi Tanzania.
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) linamshikilia ALLEN SAMWEL MHINA, Miaka 31, Mbondei, Mkurugenzi wa Mtandao wa kijamii wa U-turn Collection mkazi wa Temeke Mwembeyanga na wenzake 13 kwa tuhuma za kusambaza video katika mitandao ya kijamii kinyume na sheria.

Katika video hiyo imemuonyesha mmoja wa wagonjwa aliyekuwa amelazwa wodi ya ICU Hospitali ya Taifa ya Muhimbili suala lililoleta taharuki kwa Hospitali hiyo na wafanyakazi wake.

Watuhumiwa hao walikutwa na vifaa mbalimbali vya kieletroniki vya kiuchunguzi ambavyo ni Kamera, Kalamu, Saa Funguo, Miwani, Kofia, Laptop, Memory Card ambavyo vyote vinachunguzwa.

Kitendo kinachotuhumiwa kufanywa na watuhumiwa hao kililenga kudhalilisha, kutia hofu au kuleta taharuki suala ambalo linalazimisha mamkala hizi mbili za kisheria kuchunguza kwa kina suala hilo. Uchunguzi ukikamilika watafikishwa kwenye vyombo vingine vya kisheria.

Imetolewa na
MULIRO J MULIRO– ACP
KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM
DAR ES SALAM.


======

Hivi karibuni kuliibuka skendo ya msanii na mwanasiasa Profesa Jay kupigwa picha akiwa chumba cha ICU, Muhimbili, tukio ambalo lilizua taharuki na kusababisha kutolewa kwa matamko kadhaa, ikiwemo kufanyika kwa uchunguzi kuhusu tukio hilo.

Pia soma;

1). Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

2). Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa
Tofauti na app ya mange hio video ya prof Jay inapatikana kupitia platform ipi?
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) linamshikilia ALLEN SAMWEL MHINA, Miaka 31, Mbondei, Mkurugenzi wa Mtandao wa kijamii wa U-turn Collection mkazi wa Temeke Mwembeyanga na wenzake 13 kwa tuhuma za kusambaza video katika mitandao ya kijamii kinyume na sheria.

Katika video hiyo imemuonyesha mmoja wa wagonjwa aliyekuwa amelazwa wodi ya ICU Hospitali ya Taifa ya Muhimbili suala lililoleta taharuki kwa Hospitali hiyo na wafanyakazi wake.

Watuhumiwa hao walikutwa na vifaa mbalimbali vya kieletroniki vya kiuchunguzi ambavyo ni Kamera, Kalamu, Saa Funguo, Miwani, Kofia, Laptop, Memory Card ambavyo vyote vinachunguzwa.

Kitendo kinachotuhumiwa kufanywa na watuhumiwa hao kililenga kudhalilisha, kutia hofu au kuleta taharuki suala ambalo linalazimisha mamkala hizi mbili za kisheria kuchunguza kwa kina suala hilo. Uchunguzi ukikamilika watafikishwa kwenye vyombo vingine vya kisheria.

Imetolewa na
MULIRO J MULIRO– ACP
KAMANDA WA POLISI KANDA MAALUM
DAR ES SALAM.


======

Hivi karibuni kuliibuka skendo ya msanii na mwanasiasa Profesa Jay kupigwa picha akiwa chumba cha ICU, Muhimbili, tukio ambalo lilizua taharuki na kusababisha kutolewa kwa matamko kadhaa, ikiwemo kufanyika kwa uchunguzi kuhusu tukio hilo.

Pia soma;

1). Hospitali ya Taifa Muhimbili yafafanua kuhusu video ya Joseph Haule (Profesa J) iliyosambazwa mitandaoni

2). Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa
We knew b4.. kwa jinsi huduma ya hko alichoanzisha isingefika kokote.. hii ni africa sio ulaya wala marekan... Huwez ongea ongea tu watu wakuache
 
Serikali iwachukulie hatua, wafungwe kabisa hao kunguni
 
We huwajui polisi wewe. Kawaulize Makomandoo ilikuwaje wakasign document bila kuisoma. Sasa hao wala Chipsi wala haihitaji nguvu kubwa kama makomandoo. Ni vijana wa depo tu wanapewa kazi baada ya dakika tano wanasema mpaka walivyotungishwa mimba.
Hawa vijana itakuwa video wametumiwa na mange sasa mange ndio kasema hasemi alipoitoa
 
Huyu Mange watanzania tunamchukia sana kwa sababu alimdhihaki Dkt Magufuli, yaani asije kurudi Tanzania.
Alisema hata maiti yake isirudi tz kwahiyo hana mpango wa kurudi tz. Inabidi akatekwe kulekule usa
 
polisi wako makini sana.. wamesema funguo, kalamu, miwani hadi saa navyo vinachunguzwa..
pigeni kazi polisi,
wale wanaosema polisi hawajui kufanya investigation wanaduwaa sasa
Ila kalamu nyingine huwa na camera mkuu
 
Back
Top Bottom