Munambefu
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 2,811
- 7,200
Point yako ni nini? Unataka uone ICU ya MNH, au unataka umuone mgonjwa akiwa mahututi akiteseka au ni nini haswa kinakuwasha utamani kuona?Aisee hivi connection ilishindikana kabisa!??
Nifanyieni wepesi PM wakuu.
Kama shida yako ni wagonjwa nenda hospital huko wamejaa kawasalimie uwape na matunda
Wapuuzi kama Wewe hata ndugu yako akilazwa huendi kumsalimia lakini hapa unaomba video za mgonjwa