Watu 163,131 walikutwa na Maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI mwaka 2023 Tanzania

 
Wanawake husema Condom zinawaumiza, wengine zinawachubua, wengine zinawawasha, but tu mradi wagongwe Kavu kavu, wanaona wakitumia Condoms Utamu unapungua ..!

AIDS is really ...!
Ukiona mwanamke anasema condom zinamuumiza au kumchubua sijui kuwasha na huku wewe na yeye hamjuani hali zenu za afya…..hata usisubiri uvae nguo ndio ukimbie, kimbia ukiwa unazivaa mbele kwa mbele.
 
Kwa idadi ya Watanzania wote hiyo namba ni ndogo sana
By percent ya maambuzi kwa hiyo namba ni 0.0065%
When approximated in one decima place ni 0.0, mathematically that is equal to zero

Tunamshukuru mama kwa kupunguza na kuondoa ukimwi Tanzania.
Kuna chawa mmoja alisikika[emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…