Lambo jini
Senior Member
- Aug 28, 2018
- 198
- 235
Me as a man Kuna vitu sitakiwi kuvijua maana.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mbona kuna njia nyingine nyingi tu za kupata ukimwi zaidi ya ngonoMatokeo ya nyegezi mshindo...
Bali tufuate ushauri wa Mkumbo Kitilya !!! Halafu nani ataendeleza uwepo wa binadamu Duniani? Siungi Mkono wa hoja yako.Msifanye
Na tunaka bima kwa kila mtu. Huo mfuko...!Vitoto vya 2000 hadi 2007 vinafanya umalaya hatari, tena na watu wazima kutosha kuwaita baba, afu vimejaa UTI sugu haisikii hata powersef
Hamna bhana nyie ndio hampendi condom na mkivaa katikati mnavua.Sio kweli,wanawake ndio wagumu kuuliza labda awe dada poa/barmaid...
Ila hawa dada zetu wamtaa katika 10,atauliza mmoja "vipi unacondom"
Duh bado tunasafari ndefu sanaa...
mkuu mbona kuna njia nyingine nyingi tu za kupata ukimwi zaidi ya ngono
Niliponea chupuchupu sitaki hata kusikia hayo mambo
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
😂😂 KummkeMbona hiyo ni idadi ya kawilaya kamoja tu wakisema ukweli utaogopa hata kudindisha mkuyenge
Uko sahihi,zinaa imekuwa nje nje sana now days,na hakuna anayejali ni kama vile hakuna anayejua kuna UKIMWI duniani,inasikitisha sana kukuta visichana kuanzia 20yrs navyo viko bize kusaka wanaume.Ukienda kwenye sehemu za starehe huko ndio balaa kabisa,watu wakishapiga pombe hakuna anayejiuliza mara mbili...Watu wanajiachia sana , hasa hawa wadada wa 2000 hawaogopi kabisa .
Sisi wa miaka ya nyuma kidgo , kulikua na mapambano ya kujikinga na ukimwi , ikiwa pamoja na vijarida, mabango na filamu za kutisha za mtu alie athirika tukajengewa hofu fulani iv.Uko sahihi,zinaa imekuwa nje nje sana now days,na hakuna anayejali ni kama vile hakuna anayejua kuna UKIMWI duniani,inasikitisha sana kukuta visichana kuanzia 20yrs navyo viko bize kusaka wanaume.Ukienda kwenye sehemu za starehe huko ndio balaa kabisa,watu wakishapiga pombe hakuna anayejiuliza mara mbili...
du!! umenikumbusha kisa kimoja,,kuna mdada nilikutana nae arusha nikampenda,tukaanza ukaribu flan,,sasa siku moja 2ukiwa bar moja pale SAKINA tunakula nyama na vinywaji,nikamshauri,kabla ya kujaamiana ni vizuri 2pime ili tuwe salama manake hatujuani,,,alinipa jibu la kibabe sana mkuu!!! aliniambia"kwani nimekutuma unitongoze!! si minyege yako iliyokusukuma,,,,kama huniamini achana na mimi"..then akasimama na kucha kinywaji chake alaf akaachia bonge la SONYO kama ASHURA wa BUZA!! alaf huyooooo!!!!!...meza ya jirani kulikuwa na jamaa wanakunywa wakaniuliza"aisee ni aje tena?""" sikuwajibu nami nikasimama na kusepa kwa fadhaa!!Hii ni taarifa ya wizara ya afya ya leo.
Hiyo idadi ni waliopima tu.
Wakuu tupime tujue afya zetu na tuchukue tahadhari hali si hali
Sosi: Insta page ya Millard ayo
Pole yao sana...
Hee!! sa baby akivua katikati ýa mautam inakuwaje sasa?Hamna bhana nyie ndio hampendi condom na mkivaa katikati mnavua.
Happy new year, MAWEED
Na ndio ukweli wenyeweKuna walevi watakuja hapa kusema
Ngwengwe ni Nadharia za mzungu...
Yaani Mzungu Anabebeshwa Lawama,
Kuna mpuuzi juzi alisema eti chips ni chakula cha mzungu ili tukose nguvu za kiume.