Watu 163,131 walikutwa na Maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI mwaka 2023 Tanzania

Watu 163,131 walikutwa na Maambukizi ya Virusi Vya UKIMWI mwaka 2023 Tanzania

Hizi ripoti zinafanya nikose nia, sababu na vigezo vya kuchapa za nje. 8,145,576 walipima, 163,131 wakaonekana kuukwaa, that's 2% ni kubwa sana!
hata hizo takwimu ujue sio halisi wanapunguza taharuki hawawezi kutaja idadi halisi.

na kuna wale kina sisi hatupimi mpaka Wake zetu wawe wajawazito.

ukijumlisha hio hesabu ujue sio ngoma ya kitoto
 
Wew ushaukwaa ukaona makali...waswahili mnashida gani 😂
Sasa hapa ndo umeandika nini mzee, Fikiria japo kidogo kabla huja-reply sio lazima mimi niukwae ndo nijue suffering yake... bali naweza nikawa na mtu wa karibu ambae nitajionea kupitia yeye. Fullish.
 
Vitoto vya 2000 hadi 2007 vinafanya umalaya hatari, tena na watu wazima kutosha kuwaita baba, afu vimejaa UTI sugu haisikii hata powersef
 
Tatizo siyo kuwa na ukimwi, Tatizo ninalo liona ni uwepo wa dawa za kupunguza makali ya ugonjwa imefanya ugonjwa usiwe tishio tena.

Halafu kupima siyo solution ya tatizo.

Watuambie hao waliopimwa wakakutwa na maambukizi wanawafanya nini?

Make hata tukipimwa nchi nzima then what?
 
Ukiona mwanamke anasema condom zinamuumiza au kumchubua sijui kuwasha na huku wewe na yeye hamjuani hali zenu za afya…..hata usisubiri uvae nguo ndio ukimbie, kimbia ukiwa unazivaa mbele kwa mbele.
Kwa sasa ukimwi sio tishio kivile, ilikuwa hivyo kabla ya dawa za kufubaza virusi hazijakuwepo na ilikuwa tishio pale ukimwi ulipokatisha maisha ya mtu ghafla lakni kwa sasa mtu anaenda 80yrs, na wapo wengi tuu wenye virus wenye umri huo wa 70 to 80, sasa mtu ataogopa ukimwi ili iweje? Kwa sasa karibia kila kaya kuna mwathirika kama sio baba na mama basi mtoto wao, chunguza.
 
Hii ni taarifa ya wizara ya afya ya leo.

Hiyo idadi ni waliopima tu.

Wakuu tupime tujue afya zetu na tuchukue tahadhari hali si hali

Sosi: Insta page ya Millard ayo
UKIMWI Ni Mchongo..
UKIMWI Ni pesa...
UKIMWI Ni ajira... TACAIDS watakula Nini bila UKIMWI.!?

UKIMWI hauwezi Isha... Umasikini Ni mbaya Sana.
 
Ukiona mwanamke anasema condom zinamuumiza au kumchubua sijui kuwasha na huku wewe na yeye hamjuani hali zenu za afya…..hata usisubiri uvae nguo ndio ukimbie, kimbia ukiwa unazivaa mbele kwa mbele.
Washukuriwe sana wale wenye upendo wakishajijua wameukwaa ukiwatongoza wanaelewa fika kuwa kweli umempenda lakini wanakubania ili kukuepusha kwa huruma zao.
 
Hivi kuna watu ambao ni rahisi kupewa virusi kama wanaume? Nyie huwa hamjali mtu akiwa na virusi anaweza ambukiza hata wanaume 100.
Sio kweli,wanawake ndio wagumu kuuliza labda awe dada poa/barmaid...
Ila hawa dada zetu wamtaa katika 10,atauliza mmoja "vipi unacondom"
 
Back
Top Bottom