Watu 23 wa Israel wameuawa kufuatiwa kupigwa risasi na raia wawili wa Palestina

Watu 23 wa Israel wameuawa kufuatiwa kupigwa risasi na raia wawili wa Palestina

Raia wawili wenye silaha wanaodaiwa kuwa wametoka Palestina wamewapiga Risasi watu 23 raia wa Israel apo Jana usiku kati kati ya mji mkuu wa Israel Tel Aviv.

Vyombo vya habari vya Israel vimethibitisha.

Wakati huo huo Iran imerusha makombora aina ya ballastic yapatayo 300 leo usiku kama kujibu kisasi cha kuuawa kwa Kamanda Mkuu wa Hezbollah Hassan Nasralaah hapo juzi.

Jijini Tel Aviv ving'ora vimesikika huku taaruki ikiwa imetanda. Iran pia imetishia kujibu kwa vikali iwapo Israel itajibu mashambulizi yake ya leo ya makombora ya ballastic.
Muwe munasoma munaelewa kabla ya kupost, hivi hata namba unashindwa kuzisoma 200 unapita 300 elimu, elimu, elimu
 
Freedom fighters anauwa raia hovyo mtaani? Na ndiyo walivyokuwa wanafanya kina Che, Nyerere, na Mandela.
Yes Mandela amefanya hivyo sana tatizo watoto hamjui historia.

View: https://youtu.be/JtjTIS1NOJI?si=Y5DPj_ozfCfxt7D9

Hapo walikua wanalipua mabomu yaliua wazungu na raia weusi wasio na hatia. Kwenye freedom fighting lazima utumie violence kufikisha ujumbe. Mlidhani kina Mandela ni malaika? Hata kina Karume waliua watu zaidi ya elfu 50 huko zanzibar wasio na hatia kwenye mapinduzi.
 
Yes Mandela amefanya hivyo sana tatizo watoto hamjui historia.

View: https://youtu.be/JtjTIS1NOJI?si=Y5DPj_ozfCfxt7D9

Hapo walikua wanalipua mabomu yaliua wazungu na raia weusi wasio na hatia. Kwenye freedom fighting lazima utumie violence kufikisha ujumbe. Mlidhani kina Mandela ni malaika? Hata kina Karume waliua watu zaidi ya elfu 50 huko zanzibar wasio na hatia kwenye mapinduzi.

Basi Israel wapo sahihi
 
Basi Israel wapo sahihi
Yaani Mandela alifanya ugaidi kama njia moja wapo ya ku protest. Naye aliua wasio na hatia kwahiyo kama Mandela mnamuitaga mpigania uhuru basi na Hamas nao ni wapigania uhuru wa palestina huru.

Ila kama hamas ni gaidi basi Mandela ni gaidi pia. Acheni unafiki

Kingine gaidi ni pale tu ukiwa kinyume na US. Mfano marekani ilimsupport Savimbi kuangusha serikali ya Angola ila hakuitwa gaidi ila pale freedom fighter akiwa againt maslahi ya US anaitwa gaidi mfano Castro, Che Guevara n.k
 
Magaidi wa kiislam hao. Call a spade a spade and not a big spoon 🥄
Oooh kwahiyo Kipindi Mandela analipua mabomu maghorofa huko Afrika Kusini alikua gaidi au mpigani uhuru? Unajua kuna watu hamjitambui kabisa?

USA ilimpa silaha Taliban ili apambane na Urusi mbona hawakuitwa magaidi? Ila Taliban walipojitawala wakaitwa magaidi.

Same to Savimbi alipewa silaha na USA akaitwa mpigania uhuru ila alipowageuka USA akaitwa muasi na gaidi!!

Na wewe naomba utupe definition ya gaidi ni nani? Au unasubiri USA ndio ikwambie?
 
Mungu wa wakristo upo wapi mbona wakristo wanauwawa? Mungu wa waislamu upo wapi mbona waislamu wanauwawa?
 
Gaidi ni nani? Hao ni freedom fighters kama tu TANU au ANC!! Acheni brainwashing za magharibi.
Mkuu makristo ya jf mengi malofa yaani makondoo cjui shuleni walienda soma nn
 
Raia wawili wenye silaha wanaodaiwa kuwa wametoka Palestina wamewapiga Risasi watu 23 raia wa Israel apo Jana usiku kati kati ya mji mkuu wa Israel Tel Aviv.

Vyombo vya habari vya Israel vimethibitisha.

Wakati huo huo Iran imerusha makombora aina ya ballastic yapatayo 300 leo usiku kama kujibu kisasi cha kuuawa kwa Kamanda Mkuu wa Hezbollah Hassan Nasralaah hapo juzi.

Jijini Tel Aviv ving'ora vimesikika huku taaruki ikiwa imetanda. Iran pia imetishia kujibu kwa vikali iwapo Israel itajibu mashambulizi yake ya leo ya makombora ya ballastic.
Mtungo inapendeza zaidi, ukichimama nchale, ukimung'unya nchale na ukikimbia nchale. Hahahaha......, team Israel mpooo..,..au mmejificha kwenye maandaki?
 
Back
Top Bottom