Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

😅😅😅 very interesting. Yaani Waislamu hawawezi kuishi na Myahudi, Mhindu, Budha, Mkristo lakini pia hawezi kuishi hata wao kwa wao. Zanzibar tu hapo kama sio mkono wa chuma (kuna suruali fupi na ndefu kule) lazima watapigana tu.
Ukianza dhambi ya ubaguzi, huwezi kuishia hapo, ni kama kula nyama ya mtu, utaendelea tu. By J. K Nyerere, August 1995 Kilimanjaro hotel( sasa Kilimanjaro Kempisk)
Vita vya Msalaba kati ya Wakristo wa Magharibi na Wakristo wa Mashariki

Mwaka: 1204

Maelezo: Wakati wa Msalaba wa Nne (Fourth Crusade), wanajeshi wa Kikristo wa Ulaya Magharibi walishambulia na kupora mji wa Kikristo wa Constantinople, mji mkuu wa Dola ya Byzantine (Orthodox). Tukio hili lilisababisha mpasuko mkubwa kati ya Wakatoliki na Waorthodoksi wa Mashariki.
 
Mgogoro wa Tigray, Ethiopia

Mwaka: 2020–2022

Maelezo: Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Tigray vilihusisha jamii nyingi za Kikristo, ikiwa ni pamoja na Waorthodoksi wa Ethiopia. Ingawa vita hivi vilikuwa vya kisiasa, baadhi ya makanisa ya Kikristo yalivutwa katika mzozo huu, yakisababisha mivutano na mauaji ndani ya jamii za Kikristo.
 
Hii dini sijui mwanzilishi wake aliwaza nini , sijawahi sikia mpagani kamuua mkiristo au muislamu
Mgogoro wa Tigray, Ethiopia

Mwaka: 2020–2022

Maelezo: Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Tigray vilihusisha jamii nyingi za Kikristo, ikiwa ni pamoja na Waorthodoksi wa Ethiopia. Ingawa vita hivi vilikuwa vya kisiasa, baadhi ya makanisa ya Kikristo yalivutwa katika mzozo huu, yakisababisha mivutano na mauaji ndani ya jamii za Kikristo.
 
Mapigano ya Dini huko Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR)

Mwaka: 2012

Ingawa mapigano ya CAR kumekuwa na makundi ya Kikristo kama Anti-Balaka ambayo yamejihusisha na ghasia dhidi ya Waislamu na hata Wakristo wenzao wanaoshukiwa kushirikiana
 
Vita vya Msalaba kati ya Wakristo wa Magharibi na Wakristo wa Mashariki

Mwaka: 1204

Maelezo: Wakati wa Msalaba wa Nne (Fourth Crusade), wanajeshi wa Kikristo wa Ulaya Magharibi walishambulia na kupora mji wa Kikristo wa Constantinople, mji mkuu wa Dola ya Byzantine (Orthodox). Tukio hili lilisababisha mpasuko mkubwa kati ya Wakatoliki na Waorthodoksi wa Mashariki.
Fatilia hi; Historia huaga ina kawaida ya kujirudia. Lini tena umewahi kusikia Wakristo wakapigana wenyewe kwa wenyewe? Uislam day 1 unaingia, vita ilianza. Mohammed pekee yake kapigana zaidi ya 10, halafu kuna hi inaitwa Ottoman empire, hilo ndio balaa kubwa. Nina doubt sana na ukweli wa vita vya msalaba, story nilionayo mimi na ulicho kiandika vipo tofauti.
 
Hujui dini ni dini ya amani au unajisahaulisha?

Kutoana kucha ndio dini ya Amani??
👇👇
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ

[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.

إِذْ يُوحِي رَبُّكَ إِلَى الْمَلَائِكَةِ أَنِّي مَعَكُمْ فَثَبِّتُوا الَّذِينَ آمَنُوا ۚ سَأُلْقِي فِي قُلُوبِ الَّذِينَ كَفَرُوا الرُّعْبَ فَاضْرِبُوا فَوْقَ الْأَعْنَاقِ وَاضْرِبُوا مِنْهُمْ كُلَّ بَنَانٍ

[ AL - ANFAAL - 12 ]
Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.

Sahih Muslim 2167
Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:

Do not greet the Jews and the Christians before they greet you and when you meet any one of them on the roads force him to go to the narrowest part of it.
حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، حَدَّثَنَا عَبْدُ الْعَزِيزِ، - يَعْنِي الدَّرَاوَرْدِيَّ - عَنْ سُهَيْلٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ لاَ تَبْدَءُوا الْيَهُودَ وَلاَ النَّصَارَى بِالسَّلاَمِ فَإِذَا لَقِيتُمْ أَحَدَهُمْ فِي طَرِيقٍ فَاضْطَرُّوهُ إِلَى أَضْيَقِهِ ‏"‏ ‏.‏
Reference : Sahih Muslim 2167a
In-book reference : Book 39, Hadith 16
 
Siyo dini sema uislam ni janga la Dunia

Kuwa mwisilam ni kuelekea motoni moja kwa moja

Ni laana kubwa sana
[/QUOT
Ukristo umemfanya amani kwa kuwauwa wenyeji wa Marekani, Canada, Australia, New Zealand
 
Fatilia hi; Historia huaga ina kawaida ya kujirudia. Lini tena umewahi kusikia Wakristo wakapigana wenyewe kwa wenyewe? Uislam day 1 unaingia, vita ilianza. Mohammed pekee yake kapigana zaidi ya 10, halafu kuna hi inaitwa Ottoman empire, hilo ndio balaa kubwa. Nina doubt sana na ukweli wa vita vya msalaba, story nilionayo mimi na ulicho kiandika vipo tofauti.
Vita vya Dini vya Ulaya

Miaka: 1524–1648

Maelezo: Hizi zilikuwa vita kati ya Wakatoliki na Waprotestanti zilizotokea baada ya Matengenezo ya Kanisa ya Martin Luther mwaka 1517.
 
Mgogoro wa Tigray, Ethiopia

Mwaka: 2020–2022

Maelezo: Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Tigray vilihusisha jamii nyingi za Kikristo, ikiwa ni pamoja na Waorthodoksi wa Ethiopia. Ingawa vita hivi vilikuwa vya kisiasa, baadhi ya makanisa ya Kikristo yalivutwa katika mzozo huu, yakisababisha mivutano na mauaji ndani ya jamii za Kikristo.
Pole sana rafiki yangu

Nakuonea huruma sana

YESU ni MWEMA njoo upate amani acha kulinda tamaduni za waarabu
 
😅😅😅 very interesting. Yaani Waislamu hawawezi kuishi na Myahudi, Mhindu, Budha, Mkristo lakini pia hawezi kuishi hata wao kwa wao. Zanzibar tu hapo kama sio mkono wa chuma (kuna suruali fupi na ndefu kule) lazima watapigana tu.
Ukianza dhambi ya ubaguzi, huwezi kuishia hapo, ni kama kula nyama ya mtu, utaendelea tu. By J. K Nyerere, August 1995 Kilimanjaro hotel( sasa Kilimanjaro Kempisk)
Mojawapo ya speech bora sana ambayo inamake sense sana katika masuala haya yanayoendelea hivi sasa

Dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana
 
Mapigano ya Dini huko Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR)

Mwaka: 2012

Ingawa mapigano ya CAR kumekuwa na makundi ya Kikristo kama Anti-Balaka ambayo yamejihusisha na ghasia dhidi ya Waislamu na hata Wakristo wenzao wanaoshukiwa kushirikiana
Huo Mfano ulioleta ni Dhaifu sana!
Tuwekee Ushahidi YESU Alipo AGIZA Wafuasi wake Wapigane!;
Kama maagizo haya ya muham mad aka allah!
👇👇
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ
qatiluu aladhin la yunun bilah wala bialyawm alakhir wala yuharimun maharam allah wala yadinun min alhaqi min aladhin 'uwtuu alkitab hataa yuetuu aljizyat ean y ad wahum saghiruna
(AT-TAWBA - 29)
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
 
Kutoana kucha ndio dini ya Amani??
👇👇
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ

[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.

إِذْ يُوحِي رَبُّكَ إِلَى الْمَلَائِكَةِ أَنِّي مَعَكُمْ فَثَبِّتُوا الَّذِينَ آمَنُوا ۚ سَأُلْقِي فِي قُلُوبِ الَّذِينَ كَفَرُوا الرُّعْبَ فَاضْرِبُوا فَوْقَ الْأَعْنَاقِ وَاضْرِبُوا مِنْهُمْ كُلَّ بَنَانٍ

[ AL - ANFAAL - 12 ]
Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.

Sahih Muslim 2167
Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:

Do not greet the Jews and the Christians before they greet you and when you meet any one of them on the roads force him to go to the narrowest part of it.
حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، حَدَّثَنَا عَبْدُ الْعَزِيزِ، - يَعْنِي الدَّرَاوَرْدِيَّ - عَنْ سُهَيْلٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ لاَ تَبْدَءُوا الْيَهُودَ وَلاَ النَّصَارَى بِالسَّلاَمِ فَإِذَا لَقِيتُمْ أَحَدَهُمْ فِي طَرِيقٍ فَاضْطَرُّوهُ إِلَى أَضْيَقِهِ ‏"‏ ‏.‏
Reference : Sahih Muslim 2167a
In-book reference : Book 39, Hadith 16
Kama haya maandiko yako kwenye "kitabu" then confirmed; hi dini SIO ya Mungu, dini hi ina uhusiano kabisa na alicho wahi kukiandika bwana mmoja anaitwa Salimin Rashidie. Wqzee wenzangu watamkumbuka, akindika kitabu kinaitwa "Aya za SHETANI"
 
Back
Top Bottom