dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Sijui.Kwani sio Allah?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui.Kwani sio Allah?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo ndio verse?
Hapo lazima upo mkono wa USA na Israel
Hiyo ndio verse?
Wameuana wapakistan hapo uislamu inaingiaje? Jamii ya waarabu na wagiriki wanajulikana ni watu wa kukichafua sasa nyinyi matukio yao yote hata lazima Uislam uwekweUislamu na amani ni kama maji na mafuta.
Hao hawakosekani hapoAtalaumiwa Myaudi na Marekani.
Mudi bonge la mjanja aseee
Umechanganyikiwa wewe!View attachment 3160679
Antonio da Correggio, The Betrayal of Christ, with a soldier in pursuit of Mark the Evangelist, c. 1522
Mudi bonge la mjanja aseee
Umechanganyikiwa wewe!
Ndiyo yule kijana mbakaji.
Imagine akambaka mtoto wa miaka 9 na kisha kujiozesha kabisa
Ethiopia kuna dini nying na waislam kwa sasa ni wengi zaid akiwemo rais aliyeendesha vita bwana Ahmed ni Muislam bila yeye Ethiopia isiingeingia vitanMgogoro wa Tigray, Ethiopia
Mwaka: 2020–2022
Maelezo: Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Tigray vilihusisha jamii nyingi za Kikristo, ikiwa ni pamoja na Waorthodoksi wa Ethiopia. Ingawa vita hivi vilikuwa vya kisiasa, baadhi ya makanisa ya Kikristo yalivutwa katika mzozo huu, yakisababisha mivutano na mauaji ndani ya jamii za Kikristo.