Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

Hiyo ndio verse?


1732476824720.jpeg


Antonio da Correggio, The Betrayal of Christ, with a soldier in pursuit of Mark the Evangelist, c. 1522
 
Uislamu na amani ni kama maji na mafuta.
Wameuana wapakistan hapo uislamu inaingiaje? Jamii ya waarabu na wagiriki wanajulikana ni watu wa kukichafua sasa nyinyi matukio yao yote hata lazima Uislam uwekwe
 
Mudi bonge la mjanja aseee

Baada ya hayo, Yesu alizunguka Galilaya, akikusudia kukaa mbali na Yudea kwa sababu Wayahudi walikuwa wakingojea kumwua. Sikukuu ilipokaribia, ndugu zake Yesu wakamwambia, "Imekupasa kuondoka hapa uende Uyahudi, ili wanafunzi wako wapate kuona miujiza unayofanya. kwa kuwa unafanya mambo haya, jionyeshe kwa ulimwengu." Maana hata ndugu zake hawakumwamini.

Kwa hiyo Yesu akawaambia, "Wakati wangu haujafika bado; kwa maana ninyi wakati wowote unafaa. Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini wanichukia mimi kwa sababu mimi nashuhudia kwamba matendo yake ni maovu. Ninyi nendeni kwenye sikukuu. mimi siendi bado kwenye Sikukuu hii, kwa sababu wakati wangu uliofaa haujafika bado.” Baada ya kusema hayo, alikaa Galilaya.

Hata hivyo, baada ya ndugu zake kuondoka kwenda kwenye Sikukuu, yeye pia alienda, si hadharani, bali kwa siri. ( Yohana 7:1-10 )

Ni Wakristo wangapi wamepuuza mstari huu? Maelezo ya chini kuhusu Yohana 7:8 yanasema

"Baadhi ya maandishi ya awali bado hayana". Neno ‘bado’ liliongezwa kwa maandishi ya baadaye ili kuficha uwongo huo.
 
Religion is a drug religious leaders are the dealers their followers are the addicts.
 
Imani zingine ni ngumu sana, ni kiongozi gani anatoa mafundisho ya kuuana kinyume na mapenzi ya Mungu?
 
Imagine wote ni vijukuu vya Moh vinauana hivii je ingekua ni wafuasi wa Issah?
 
Mgogoro wa Tigray, Ethiopia

Mwaka: 2020–2022

Maelezo: Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Tigray vilihusisha jamii nyingi za Kikristo, ikiwa ni pamoja na Waorthodoksi wa Ethiopia. Ingawa vita hivi vilikuwa vya kisiasa, baadhi ya makanisa ya Kikristo yalivutwa katika mzozo huu, yakisababisha mivutano na mauaji ndani ya jamii za Kikristo.
Ethiopia kuna dini nying na waislam kwa sasa ni wengi zaid akiwemo rais aliyeendesha vita bwana Ahmed ni Muislam bila yeye Ethiopia isiingeingia vitan
 
Kuna muislam mwenye itikadi ya Wastani Lakini hakuna Uislam Wenye Itikadi ya Wastani, Uislam ni Dini ya uaribifu na uuaji... Utaona hii post itakashambuliwa na kutukanwa

Waislam walianza kupigana wenyewe kwa wenyewe siku Mtume alipokufa hata kabla ya kumzika, Hadi Leo hawana Amani miongoni mwao
 
Back
Top Bottom