Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

#HABARI: Watu zaidi ya 80 wamepoteza maisha yao huko nchini Pakistan baada ya kutokea ghasia za kidini maeneo ya kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

Mamlaka ya Pakistani inasema kuwa wameafikiana kusitisha mapigano kwa siku saba, baada ya vifo hivo.

Ghasia hizo zilianza siku ya Alhamisi, wakati watu wenye silaha waliposhambulia misafara ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wakisafiri katika eneo hilo chini ya ulinzi wa polisi.

Zaidi ya watu 40 walikufa katika tukio hilo, ambalo lilisababisha mashambulizi ya kulipiza kisasi.

Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni wamejihusisha katika mizozo ya kikabila na kimadhehebu kuhusu migogoro ya ardhi kwa miongo kadhaa.

Siku ya Jumapili afisa wa utawala wa eneo hilo aliiambia AFP: "Mapigano na mashambulizi ya msafara mnamo Novemba 21, 22, na 23 yamesababisha vifo vya watu 82 na majeruhi 156."

Akizungumza kwa sharti la kutotajwa majina, alisema kuwa watu 16 kati ya waliofariki ni Sunni na 66 ni wa jamii ya Shia.
Ndugu zangu waislamu mnalisemeaje hili?
 
Labda hao ni makafiri waprotestanti na wakatoliki ila wanajifanya waislam ili kuuchafua uislamu ambayo ndio dini ya mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema.
kwani ukisema ni dini ya shetani utapungukiwa nini?
 
Inaonekana tatizo ni la kiuchumi. Umiliki wa ardhi ila inatumika dini kutatua matatizo ya kiuchumi.
Chuki ni ya kidini tu toka enzi, hiyo ya ardhi inachochea tu. Jiulize mnamuabudu Mungu mmoja na waislam wanaitana ndugu katika imani. Na Pakistan na Afghanistan shia na Sunni hawaoani wala kuchanganyikana. Sunni wanawaota Shia makafir.

Adui ya uislamu ni waislam wenyewe.
 
Mbwa kala mbwa
Hii dini muarabu alikosea sana kuibuni, angeacha dini alizokuta ziendelee.
Yesu alitabiri ujio wa Hawa wote, mitume na manabii wa uwongo, hivyo akina Malaria 2 brazaj shtukeni kabla hamjakwenda jehanamu
 
Asili ya hiyo dini ni vita na kupigana.
Kumbuka siku ya kwanza mtume wao kukutana na kile kiumbe pangoni.
Alikabwa na kutandikwa Barabara hadi akaugua homa.
Alipo ulizwa na Waraqa na mkewe hadija kwamba nini kimekusibu huko pangoni ?
Alijibu
"nahisi kuzugwa na mashetani"
Vita ndio ikaanzia hapo.
Katika miaka yake kumi ya mwanzo mtume alipigana vita 83. vita alivyo vianzisha yeye.
 
Mwamedi alikubraiwash sana.Wewe unajua utaenda kwenye dangulo la allah
Walikuwepo makafiri wakubwa sana kuliko kafiri wewe na walikuwa na matusi na kejeli. Lkn ilipowadia pumzi zao kuzimwa walijuta sana
 
Back
Top Bottom