Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

Endeleeni kuchinjana huko Pakistan, Afghanistan, Somalia, etc mkidhani mnamtumikia mungu!
Mbona umesahau Kongo, Ukraina na hapa petu tunavyoelekea uchaguzi?
 
Watu 80 wauawa kati ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kati ya waislam wa madhehebu ya Shia na Sunni karibu na mpaka wa Afghanistan na Pakistan.

Mapigano hayo yalianza alhamis ambapo wanamghambo waislamu Sunni wenye silaha za moto walipovamia msafara wa waislam wa madhehebu ya Shia ambao walikuwa ukisafiri chini ya ulinzi wa polisi. Zaidi ya watu 40 waliuliwa na kusababisha wa Shia walipize kisasi.
====================

Pakistani authorities say they have negotiated a seven-day ceasefire after more than 80 people were killed in renewed sectarian violence in the north-west of the country.
Another 156 are said to have been wounded in three days of fighting in the tribal district of Kurram, near the Afghan border.

The violence began on Thursday, when gunmen attacked convoys of Shia Muslims travelling through the area under police escort. More than 40 died in that incident, which triggered revenge attacks.
Shia and Sunni Muslims have engaged in tribal and sectarian rivalries over land disputes for decades.

After negotiations on Sunday, government spokesman Muhammad Ali Saif said that both Shi'ite and Sunni leaders had agreed to halt the violence, Reuters and AFP news agencies reported.

On Sunday a local administration official told AFP: "The clashes and convoy attacks on November 21, 22, and 23 have resulted in 82 fatalities and 156 injuries." Speaking on condition of anonymity, he said that 16 of the dead were Sunni and 66 belonged to the Shia community.

Those killed in Thursday's attacks on convoys included women and children. Passenger Saeeda Bano described to BBC Urdu how she feared she would be killed as she hid under the car seats with her children.
Hundreds of residents fled amid escalating violence Friday and on Saturday.

A resident of a Sunni village said members of his family have fled to safety while he stays behind. “We’ve been hearing gunfire all night. I sent the women and children of my family to hide in the mountains," the man said.


View attachment 3160583
Waislam wa madhehebu ya shia na Sunni wanachukiana sana na kuuana Pakistan.

Source BBC.

Soma zaidi kwa kiingereza

Imani ni ileile
Mungu ni yuleyule
Lakini waamini wanagombana mpaka kuumizana na kuuana😭😭😭
Imani inapokuwa mzigo
 
Watu 80 wauawa kati ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kati ya waislam wa madhehebu ya Shia na Sunni karibu na mpaka wa Afghanistan na Pakistan.

Mapigano hayo yalianza alhamis ambapo wanamghambo waislamu Sunni wenye silaha za moto walipovamia msafara wa waislam wa madhehebu ya Shia ambao walikuwa ukisafiri chini ya ulinzi wa polisi. Zaidi ya watu 40 waliuliwa na kusababisha wa Shia walipize kisasi.
====================

Pakistani authorities say they have negotiated a seven-day ceasefire after more than 80 people were killed in renewed sectarian violence in the north-west of the country.
Another 156 are said to have been wounded in three days of fighting in the tribal district of Kurram, near the Afghan border.

The violence began on Thursday, when gunmen attacked convoys of Shia Muslims travelling through the area under police escort. More than 40 died in that incident, which triggered revenge attacks.
Shia and Sunni Muslims have engaged in tribal and sectarian rivalries over land disputes for decades.

After negotiations on Sunday, government spokesman Muhammad Ali Saif said that both Shi'ite and Sunni leaders had agreed to halt the violence, Reuters and AFP news agencies reported.

On Sunday a local administration official told AFP: "The clashes and convoy attacks on November 21, 22, and 23 have resulted in 82 fatalities and 156 injuries." Speaking on condition of anonymity, he said that 16 of the dead were Sunni and 66 belonged to the Shia community.

Those killed in Thursday's attacks on convoys included women and children. Passenger Saeeda Bano described to BBC Urdu how she feared she would be killed as she hid under the car seats with her children.
Hundreds of residents fled amid escalating violence Friday and on Saturday.

A resident of a Sunni village said members of his family have fled to safety while he stays behind. “We’ve been hearing gunfire all night. I sent the women and children of my family to hide in the mountains," the man said.


View attachment 3160583
Waislam wa madhehebu ya shia na Sunni wanachukiana sana na kuuana Pakistan.

Source BBC.

Soma zaidi kwa kiingereza

So sad
 
Watu 80 wauawa kati ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kati ya waislam wa madhehebu ya Shia na Sunni karibu na mpaka wa Afghanistan na Pakistan.

Mapigano hayo yalianza alhamis ambapo wanamghambo waislamu Sunni wenye silaha za moto walipovamia msafara wa waislam wa madhehebu ya Shia ambao walikuwa ukisafiri chini ya ulinzi wa polisi. Zaidi ya watu 40 waliuliwa na kusababisha wa Shia walipize kisasi.
====================

Pakistani authorities say they have negotiated a seven-day ceasefire after more than 80 people were killed in renewed sectarian violence in the north-west of the country.
Another 156 are said to have been wounded in three days of fighting in the tribal district of Kurram, near the Afghan border.

The violence began on Thursday, when gunmen attacked convoys of Shia Muslims travelling through the area under police escort. More than 40 died in that incident, which triggered revenge attacks.
Shia and Sunni Muslims have engaged in tribal and sectarian rivalries over land disputes for decades.

After negotiations on Sunday, government spokesman Muhammad Ali Saif said that both Shi'ite and Sunni leaders had agreed to halt the violence, Reuters and AFP news agencies reported.

On Sunday a local administration official told AFP: "The clashes and convoy attacks on November 21, 22, and 23 have resulted in 82 fatalities and 156 injuries." Speaking on condition of anonymity, he said that 16 of the dead were Sunni and 66 belonged to the Shia community.

Those killed in Thursday's attacks on convoys included women and children. Passenger Saeeda Bano described to BBC Urdu how she feared she would be killed as she hid under the car seats with her children.
Hundreds of residents fled amid escalating violence Friday and on Saturday.

A resident of a Sunni village said members of his family have fled to safety while he stays behind. “We’ve been hearing gunfire all night. I sent the women and children of my family to hide in the mountains," the man said.


View attachment 3160583
Waislam wa madhehebu ya shia na Sunni wanachukiana sana na kuuana Pakistan.

Source BBC.

Soma zaidi kwa kiingereza

Religous stupidity
 
Waislamu hao wanachukiana kuliko hata Wayahudi na Wapalestina niliwahi kuwa nao karibu mmoja Sunni na mwingine Shiha daah aisee kwanza hawakai eneo moja la biashara mmoja akija mwingine anahama wale Shiha waliokua wanauza magari Durban wote wamekimbilia Gaborone baada ya Sunni kuvamia pale ni kama movie fulani hivi ila ndio ukweli..
 
M
Mumepata cha kusema. John akibaka mnasema kabaka John, Abdulrahman akibaka kabaka muislam. Mtakufa ni kiroho chenu cha moyo
My friend, if something bad that is associated with your religion happens you should just admit and condemn it instead of lodging senseless excuses aimed at defending your religion when it deserves condemnation.

The truth is that, believers of the Islamic religion have frequently been involved in terrorist acts while often defended by their fellow Muslims who see these terrorists as martyrs fighting for their religion and their god whom they refer to as allah. This is satanic.
 
#HABARI: Watu zaidi ya 80 wamepoteza maisha yao huko nchini Pakistan baada ya kutokea ghasia za kidini maeneo ya kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

Mamlaka ya Pakistani inasema kuwa wameafikiana kusitisha mapigano kwa siku saba, baada ya vifo hivo.

Ghasia hizo zilianza siku ya Alhamisi, wakati watu wenye silaha waliposhambulia misafara ya Waislamu wa madhehebu ya Shia waliokuwa wakisafiri katika eneo hilo chini ya ulinzi wa polisi.

Zaidi ya watu 40 walikufa katika tukio hilo, ambalo lilisababisha mashambulizi ya kulipiza kisasi.

Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni wamejihusisha katika mizozo ya kikabila na kimadhehebu kuhusu migogoro ya ardhi kwa miongo kadhaa.

Siku ya Jumapili afisa wa utawala wa eneo hilo aliiambia AFP: "Mapigano na mashambulizi ya msafara mnamo Novemba 21, 22, na 23 yamesababisha vifo vya watu 82 na majeruhi 156."

Akizungumza kwa sharti la kutotajwa majina, alisema kuwa watu 16 kati ya waliofariki ni Sunni na 66 ni wa jamii ya Shia.
 

Attachments

  • 1732523757428.jpg
    1732523757428.jpg
    337.8 KB · Views: 4
Back
Top Bottom