Mna michezo ya hatari [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mzeee hujakutana na wehu wa magazeti bado,zamaniii nilikua napenda sana racing kuna mtu tuliwekeana dau kutoka ubungo mataa kabla ya hilo daraja to mwenge 25 seconds nikabisha haiwezekani aisee nikaambiwa ingia kwenye gari saa 5 usiku racing ikaanza hatari na nusu jamaa nililia kwa kihoro cha kufa kabisaaa na alitumia 23 seconds.
Hela yangu alikula na akaenda chini ya muda alioahidi sitak hata kusikia kujaribu tenaaa baada ya washikaj zangu kadhaa kufariki kwa maajali haswa alteza ziliwamaliza sanaaa
Kampuni ngapi zina ubavu wa kumiliki printing machines kila mkoa? Achilia mbali zones.?Gazeti likishakamilika linatakiwa kutumwa kwenye printing machine.......
ambapo kimsingi kila mkoa zinapaswa kuwepo
haya mambo ya kusafirisha magazeti yamepitwa na wakati kwa kweli
Ni hatari mkuu, nimetia nia kuwa hio ingekuwa mara yangu ya mwisho maana bi mkubwa alilalamika sana. Hio mwezi wa 9 nliongea na maza kwenye simu saa 3 usiku nikiwa dsm na akaongea na mjukuu wake maana huwa naenda kukacheki ka chalii kangu mjini. Asubuhi anashangaa nafungua geti home. Sa hivi nimeacha mzee maana maza kalalamika sana.Yaani hata MTU wa anayekwenda Arusha mmempita.nyie mmeshafika mbeya.[emoji16][emoji16][emoji16]
Tatizo watu wanadhani wana options ambazo hizo kampuni hawajafikiria.Gharama za usafiri biashara haitalipa
Zipo nyingi tu.Halafu huwa hazirudi zinakaa huko huko mbeya
Kweli jamaa mwongo sana eti mbeya to dar kapanda gari ya magazeti.
Sasa ina maana wanaishi kwenye magari.Zamaniii nilikua napanda gari za magazeti ya mwananchi,aiseee jamaa wanakimbiaaaaaa hakuna mfano, dar mnaondoka saa 4 au 5 usiku mbeya mnafika saa 12.30 asubuhi,saa 5 wanageuza saa 3 wapo dar saa 5 wanageuza mbeya tena
Saa 4 usiku una uwezo wa kusoma mwananchi ya kesho.Hakika mkuu haya magari wanakimbiza sana kwa kweli unakuta magazeti yanachapishwa Dar saa 7usiku na yanatakiwa yaende Iringa Mbeya ili alfajiri saa 11 yaanze kusambazwa we unafikiri inakuwaje hapo
mkuu wewe unazijua mashine za kuchapa magazeti au unaongea tu??Gazeti likishakamilika linatakiwa kutumwa kwenye printing machine.......
ambapo kimsingi kila mkoa zinapaswa kuwepo
haya mambo ya kusafirisha magazeti yamepitwa na wakati kwa kweli
Dar- mbeya ni wastani wa 800km tu mkuu, inawezekana kabisa. Mkeka wa iyovi mpaka igawa si mchezo mkuu jamaa anateleza tuu. Ilikua ni noah old model, kutoka dar anakwambia tuta la kwanza kwake lipo ruaha hayo mengine yote alifukia.Hio siamini mkuu mbeya mbali bana we! Labda kama wanalazaga mshale 180kph safari nzima
HahahaMimi sijawahi kusogelea hizo gari, nilijitahidi tu kupanda fuso la Posta... nalo linatembea balaa lakini sio kama hao vichaa
Mkuu sio rahisi hivyoSi bora wawe na Printer tu huko huko Mbalizi, mzigo unatumwa na email toka Dar kule wanaprint.
Jamana walijaribu lake zone wakaishia kufunga ofisiHaya ndiyo tunaita mawazo mbadala ambayo waafrika wengi hawataki kuyatumia. Tena angweza kuwepo mtu binafsi anaprint hayo magazeti ktk hizo kanda.
Inatoka dar saa 12 jioniYa saa ngapi mkuu
Dar,mbeya,tundumaNew force ya usiku kutoka wapi kwenda wapi?
nimepanda wiki iliyopitaSio kweli bhana New Force hana gari ya usiku,zaidi zaidi kuna coaster za hakuna kulala tu
Walikuwa wanakusubiri uongoze misa? Tujifunze kuriskNiliwai panda gari ya gazeti kuwai msiba, nilisali Njia nzima[emoji26]
Gazeti likishakamilika linatakiwa kutumwa kwenye printing machine.......
ambapo kimsingi kila mkoa zinapaswa kuwepo
haya mambo ya kusafirisha magazeti yamepitwa na wakati kwa kweli
Nchi hii ndege kubadilisha muda wake wa safari au kuharisha kabisa safari ni jambo la kawaida, kwa biashara ya magazeti kutumia ndege ni risk kubwa.Kuna ndege ya kwenda Mbeya saa 12 asubuhi.Kwa nini wasitumie huu usafiri?