G.T.L JF-Expert Member Joined Jul 15, 2012 Posts 1,254 Reaction score 2,519 Feb 8, 2025 #21 Kwamba hao ndio Malaika wako hapa Duniani?
M MAKULUGA JF-Expert Member Joined Jan 21, 2011 Posts 7,828 Reaction score 10,527 Feb 8, 2025 #22 Shadow7 said: Gwajima yupi? Yule mchungaji?? Click to expand... Aka mkono wa baunsa!
T Tiro47 Member Joined Apr 19, 2022 Posts 14 Reaction score 7 Feb 8, 2025 #23 Naenda na Dotto Makonda Mpina Naongeza na PM Kassim Majaliwa... Bashungwa naona wa kawaida sana. Gwajima porojo nyingi Bashiru siasa kali anaonekana ana balaa.
Naenda na Dotto Makonda Mpina Naongeza na PM Kassim Majaliwa... Bashungwa naona wa kawaida sana. Gwajima porojo nyingi Bashiru siasa kali anaonekana ana balaa.