Watu aliowasema Rais Samia kuhujumu Bwawa la Nyerere ni kina nani?

Watu aliowasema Rais Samia kuhujumu Bwawa la Nyerere ni kina nani?

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika awamu ya 5 chini ya Hayati Dk John Pombe Magufuli waliamua liwalo na liwe ila Bwawa la Nyerere lijengwe licha ya hujuma kubwa zilizofanyika na baadhi ya watu ili mradi huo usitekelezwe.

“Awamu ya tano tukasema liwalo na liwe lakini azma hii ya Mwalimu lazima tuitekeleze hatuwezi kuzungumzia mafanikio haya bila kutaja fikra za Mwalimu na aliyeanzisha utekelezaji wa mradi huu.”

“Nakumbuka mikiki mikiki iliyokuwepo wakati ule, nakumbuka sabotage zilizofanywa wakati ule lakini kwa umahiri na ukakamavu Marehemu” Rais Samia Suluhu Hassan 22 Disemba 2022# Uzinduzi Ujazaji maji Bwawa la Nyerere.

Kwa kuwa nchi yetu ni ya uwazi na ukweli ni muhimu tukawajua kwa majina watu waliokuwa wanakwambisha Mradi wa JNHPP usitekelezwe ambao Rais Samia amewasema.
 
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika awamu ya 5 chini ya Hayati Dk John Pombe Magufuli waliamua liwalo na liwe ila Bwawa la Nyerere lijengwe licha ya hujuma kubwa zilizofanyika na baadhi ya watu ili mradi huo usitekelezwe.

“Awamu ya tano tukasema liwalo na liwe lakini azma hii ya Mwalimu lazima tuitekeleze hatuwezi kuzungumzia mafanikio haya bila kutaja fikra za Mwalimu na aliyeanzisha utekelezaji wa mradi huu”

“Nakumbuka mikiki mikiki iliyokuwepo wakati ule, nakumbuka sabotage zilizofanywa wakati ule lakini kwa umahiri na ukakamavu Marehemu” Rais Samia Suluhu Hassan 22 Disemba 2022# Uzinduzi Ujazaji maji Bwawa la Nyerere

Kwa kuwa nchi yetu ni ya uwazi na ukweli ni muhimu tukawajua kwa majina viongozi waliokuwa wanakwambisha Mradi wa JNHPP usitekelezwe ambao Rais Samia amewasema
Too late to be trusted.
Ndimi mbili mbili ni hatari kwa uchaguzi 2025
 
Kamtaja nani? saidoo25 unajitukanisha mwenyewe
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika awamu ya 5 chini ya Hayati Dk John Pombe Magufuli waliamua liwalo na liwe ila Bwawa la Nyerere lijengwe licha ya hujuma kubwa zilizofanyika na baadhi ya watu ili mradi huo usitekelezwe.

“Awamu ya tano tukasema liwalo na liwe lakini azma hii ya Mwalimu lazima tuitekeleze hatuwezi kuzungumzia mafanikio haya bila kutaja fikra za Mwalimu na aliyeanzisha utekelezaji wa mradi huu”

“Nakumbuka mikiki mikiki iliyokuwepo wakati ule, nakumbuka sabotage zilizofanywa wakati ule lakini kwa umahiri na ukakamavu Marehemu” Rais Samia Suluhu Hassan 22 Disemba 2022# Uzinduzi Ujazaji maji Bwawa la Nyerere

Kwa kuwa nchi yetu ni ya uwazi na ukweli ni muhimu tukawajua kwa majina viongozi waliokuwa wanakwambisha Mradi wa JNHPP usitekelezwe ambao Rais Samia amewasema
 
WA KWANZA ALIKUWA NAPE NAUYE, MAKAMBA,WATUY WA KUZAISHA UMEME KWA GAS
Una ushahidi na Nape? mbona siku ya kuingiza maji nilimuona akishangilia na kupiga makofi mengi
 
Moderator iboreshe hiyo heading ya mkubwa saidoo25 angalau isomeke hivi 'Watu aliowasema Rais Samia kuhujumu Bwawa la Nyerere ni kina nani?'
Moderator ni sawa ukiiweka hivyo alivyoshauri huyu mdau
 
Moderator iboreshe hiyo heading ya mkubwa saidoo25 angalau isomeke hivi 'Watu aliowasema Rais Samia kuhujumu Bwawa la Nyerere ni kina nani?'
Much better mkuu, heading hii inaonyesha taswira ya hard thinker, sio ya hapo juu
 
Kwanini aSeme marehemu badala ya hayati..kichwani kwako tafakari chukua hatua
 
Hakuna aliyehujumu mradi wa JNHPP. Hizi ni porojo uchwara tu.
 
Back
Top Bottom