Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Kulikuwa na umuhimu gani kuandika ..."awataja waliohujumu mradi"...halafu hakuna aliowataja?
Rais Samia anawajuwa Wahujumu wa mradi lakini hawezi kuwataja kwani hao wahujumu wa mradi wapo ndani ya Serikali yake na yeye mwenywe amewapa vyeo vya Uwaziri. Na hao hao Wahujumu wa Mradi wameleta Majenereta ya umeme wanayauza ili wapate pesa .