Watu ambao dunia haitawasahau

Watu ambao dunia haitawasahau

Orenthal James Simpson (O.J. SIMPSON)


simpson-oj-31.jpg



la-et-mn-sundance-oj-made-in-america-espn-20160122.0.0.jpg


O.J._Simpson_1990_%C2%B7_DN-ST-91-03444_crop.JPEG


o-j-simpson-stolen-heisman-trophy-solvedjpg-f583f8b448b7ea11.jpg
 
Mashujaa akina mama wote wanaolea watoto pekee yao.
Baada ya ndoa kuvunjika,wajane,waliopigwa mabao ya kuvizia au madada poa? maana hili group la mwisho ukiwaita nao ni mashujaa ili mradi tu wanalea peke yao sita kuelewa.
 
Binafisi naamini hapa duniani kila mtu anajambo alilowahi kulifanya na kupelekea jamii yake kubaki ikimkumbuka daima.

Jambo linaweza kuwa jema au baya,lakini bado atakumbukwa kwa hilo.binafsi kwa hapa tanzania ukitoa baba wa taifa anayefata kwa sasa ni Ngoyai LOWASA, ndugu huyu katuonesha kwa vitendo anavyoweza kujisimamia mwenyewe katika kila kitu.

Tuachane na hapa kwetu, je unajua kina hitller ,musolin,dagama,newton,faraday,erenest eisday,laberty ni baadhi ya mashujaa wa hii dunia?

Naomba muniongeze wengine ambao dunia inawatambua,na matukio yao.
Kama Musolini na Hitler uki waita mashujaa,Idd Amin na Bokassa nao waitwe hivyo? sikujua kama makatili na wauaji ndio unao lenga.
 
men who build amerca,jp morgan na wenzake,,,leo tuna mafuta ,,,mabenk,bridges ,rails,,traini,,na mengine mengi na baba yao washingoton kwa kuweka misingi mizuri kwa katiba ya marekan
 
KIM IL SUN
KIMJONG UN
HUGO TEVES
FIDEL CASTOR
MUAMMAL QUADHAFI
SADAM USEIN
MURAH OMAR
DR. ZAWAHIL
Hawa ni wanaume wanao weza kusimama na kueleza kitu wanakitaka bila kuangalia wanae mwambia ni nani.
 
Back
Top Bottom