MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
ACHA KUFURU, WALIKUWEPO WARUMI walitawala dunia kwa karne kama tatu hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idle minds hizoACHA KUFURU, WALIKUWEPO WARUMI walitawala dunia kwa karne kama tatu hivi
Marekanj wameua watu wangapi mkuu na wao huu mfumo ndii waliotufundisha wameua hadi secretary general wa united nations alivyokuwa congo ,na viongozi wengi tu duniani wasiwataka waoKuna tofauti kati ya ukosoaji na kutaka kupindua nchi. Ingeuwa hivyo trump au waziri mkuu wa uingereza au ujerumani wangekuwa wanatandika risasi wakosoaji kila siku. Mara kue unakosolewa mpaka mda mwingine unajiudhuru. Magufuli was foolish
Wanaua kutetea maslahi yao lakini siyo wao kwa wao. Sisi tunauana sisi kwa sisi tena kwa sababu ya kipumbavu etMarekanj wameua watu wangapi mkuu na wao huu mfumo ndii waliotufundisha wameua hadi secretary general wa united nations alivyokuwa congo ,na viongozi wengi tu duniani wasiwataka wao
Wale wanatetea maslahi yao. Sisi tinauana sisi kwa sisi huu ndo utafauti. Hata we kamuue trump tuone kama unawezaMarekanj wameua watu wangapi mkuu na wao huu mfumo ndii waliotufundisha wameua hadi secretary general wa united nations alivyokuwa congo ,na viongozi wengi tu duniani wasiwataka wao
HAta magufuli alikuwa anatetea maslahi ya watanzania siyo ya kwake yeye kwani ugomvi wao si ulianzia kwenye mikataba ya migodi na makinikia , sasa migodi ni ya magufuli? Si alikuwa anatetea revenue share ya nchi?Wale wanatetea maslahi yao. Sisi tinauana sisi kwa sisi huu ndo utafauti. Hata we kamuue trump tuone kama unaweza
Aliua watu wake. Kwani lisu na akina ben saa nane siyo watanzania? Mmarekani anaua watu wasio wake ili kutete maslahi ya marekaniHAta magufuli alikuwa anatetea maslahi ya watanzania siyo ya kwake yeye kwani ugomvi wao si ulianzia kwenye mikataba ya migodi na makinikia , sasa migodi ni ya magufuli? Si alikuwa anatetea revenue share ya nchi?
Gatabhanya alikuwa rafiki yangu Herujuu.Shenzi wewe.
Nimekwambia kuwa Bharti Group ambayo ni sehemu ya mmiliki wa Oneweb anatoa huduma kama za StarLink. Oneweb anazo satelite zake mwenyewe anazoziendesha na kuzisimamia.Wale wananua kule bando halafu wanakuuzia wewe. Intetnet ni satellite za wamerekani ambaso hao airtel au yas hawana
Yesu alisema mtakapoliona chukizo la uharibifu lililonenwa na Daniel limesimama patakatifu, mjue yu karibu sana kurudi kuwachukua watu wake.ACHA KUFURU, WALIKUWEPO WARUMI walitawala dunia kwa karne kama tatu hivi
wTukae kwa kujiandaa kuwa anytime Marekani akitaka chochote at any time t anachukua mana tumeazimwa tu.
Hata hii hewa tunayovuta ni mali ya mmarekani.
Hata hii intetnet tunayotumia ni mali yake siku mkimuudhi tu anqzima saver za africa mnaanza kufa kama nzige nyie kwa nyie mana mtakuwa hamuonani.
Hata google ni mali ambapo mnagoogle kila kitu halafu mnahifanya wasomi tena wababevu wa mchongo
Hata condom au ARVs zinatoka huko nyie tombaneni tu lakini mmarekani anawalinda vilivyo.
Endeleni kufuyatua tu mitume, mapadre, manabii wa mchongo. Wengine wanafikiri daily
wewe unatoka dunia ngan??Idle minds hizo
Hii hii ulimo wewew
wewe unatoka dunia ngan??
Huyo Yesu hajawahi kusema chochote.Yesu alisema mtakapoliona chukizo la uharibifu lililonenwa na Daniel limesimama patakatifu, mjue yu karibu sana kurudi kuwachukua watu wake.
Ulikuwa unaishi heru mtaa gani mkuu.Gatabhanya alikuwa rafiki yangu Herujuu.
Hadi hewa? Acha kumtukana Mungu aseeTukae kwa kujiandaa kuwa anytime Marekani akitaka chochote at any time t anachukua mana tumeazimwa tu.
Hata hii hewa tunayovuta ni mali ya mmarekani.
Hata hii intetnet tunayotumia ni mali yake siku mkimuudhi tu anqzima saver za africa mnaanza kufa kama nzige nyie kwa nyie mana mtakuwa hamuonani.
Hata google ni mali ambapo mnagoogle kila kitu halafu mnahifanya wasomi tena wababevu wa mchongo
Hata condom au ARVs zinatoka huko nyie tombaneni tu lakini mmarekani anawalinda vilivyo.
Endeleni kufuyatua tu mitume, mapadre, manabii wa mchongo. Wengine wanafikiri daily
"upigwe kwa Jina la Yesu" pigwa gizaaa!Huyo Yesu hajawahi kusema chochote.
Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
KEnnedy alikuwa raisi siyo mwanasiasa wa wa kawaida , the president of america ila akala shaba na uchunguzi wa kifo chake ukawa siri ya ikulu hadi leoAliua watu wake. Kwani lisu na akina ben saa nane siyo watanzania? Mmarekani anaua watu wasio wake ili kutete maslahi ya marekani