Watu kitu wasichojua ni kwamba hata hii dunia ni mali ya Marekani. Hata Mungu analijua hilo

Alieficha dawa za huyu azirudishe haraka kabla hajazidiwa zaidi maana naona vidudu vyake vimeanza kutafuna ubongo wa mbele!
Huwa kuna mawingu flani karibia na msimu wa mvua pale nzige wanapita tz kutoka msumbiji kuelekea kenya, wakati huu vichaa wengi huchangamka! Saa zingine mtu anaazima simu anarusha bomu jf kama hili na kutokomea malangali huko kijijijini iyayi
 
Akili ya kuku
 
Acha kumkufuru Mungu aliye muumba wa vyote. Shindwa na ulegee🙏
 
Acha kumuhusisha Mungu na mawazo ya kibeberu!
 
Acha kihele mswede.... sasa kukosa Internet kunasababishaje kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…