Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Anakwambia

"And god said he should send his one begotten son to lead the wild into the way of the man"

"follow me"
"eat my flesh flesh and my flesh"
"come with meeeeee haily Mary"

noma sana hiki kichwa


Alipoimba To my unborn child dizain flan kama jamaa alkua ashaambiwa nina mimba yako
 
Unaandika usicho kijua mkuu ngoja nikusaidie Kidogo ebu ingia YouTube andika "Where were you when Tupac got shoot Eminem" Utaona Eminem anamuongeleaje The King him self Tupac shakur
Unaonekana una mapenz ya dhati na 2pac!
Ila ukweli ni kwamba hakuna rapa anayeweza kukufikia levo za Marshall Mathers hapa duniani!
Kwenye iyo clip Mathers ameongelea out of respect tu na sio kua Tupac ni the best.
Ni kama vile Mathers anavomungeleaga Dr Dre!
Aisee em kasikilize 'Stan' afu uniambie kama zile akili ni za dunia hii
 
download.jpg


Wadada wasikate tamaaa kupata mtoto as long as wanaishi,
 
Unaonekana una mapenz ya dhati na 2pac!
Ila ukweli ni kwamba hakuna rapa anayeweza kukufikia levo za Marshall Mathers hapa duniani!
Kwenye iyo clip Mathers ameongelea out of respect tu na sio kua Tupac ni the best.
Ni kama vile Mathers anavomungeleaga Dr Dre!
Aisee em kasikilize 'Stan' afu uniambie kama zile akili ni za dunia hii
hujui mziki,Eminem mtoto wa jana ,usifananishe Legends na wanamuziki Famous hapo utalost
 
Back
Top Bottom