Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
Wema hayupo kwenye kundi ilo kwa sababu alipata akaitoa so yule afaa aitwe mama wa marehemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wema hayupo kwenye kundi ilo kwa sababu alipata akaitoa so yule afaa aitwe mama wa marehemu
Wewe kama mimi nampenda sana 1Pac japo ni marehem angelikuwa hai sijui ingekuwaje namfill kama yupo haiHichi kichwa huwa nakosaga majibu nikimfikiria dah Anyway R.I.P The GOAT
Hamishia tu huo upendo kwangu maana hata mimi namuelewa sana PacWewe kama mimi nampenda sana 1Pac japo ni marehem angelikuwa hai sijui ingekuwaje namfill kama yupo hai
Duhh, watu mkiziona fursa mnazikamata hapopapo. HahaaaaaHamishia tu huo upendo kwangu maana hata mimi namuelewa sana Pac
Kweli. Kwa hiyo tunahesabu. Anamsaidia marehemu kulea.Zari akizaa mtoto sasa hivi baada ya jamaa yake kufa,atakuwa wake diamond
from Katesh using Siemens C55
ndio mana lipo short tempered!!!!Yule anaetukana watu wote kuwa ni wapumbavu mwenye akili ni yeye tu?
Ata Oprah ana mimba sasa ivi
[QUOTE="Sky Eclat, post: 22617359, member: 106478"binadamu.koture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
huyu angeweza kupata mtoto we sema alikuwa busy na practical zake hakupata muda wa kuwa na mwanamkeIsaac Newton