Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Mtoto yuko Magomeni DSM,kawa Kama chizi hivi
 
inasemekana Dre alikuwa ana michepuko mitatu.demu akishinda anaondoka na trillion 1.nadhani Dre now anajuta kuoa.Mungu amsaidie
 
Aiseee. Dah
 
kidoti hana mtoto??? au anasubiri kuolewa kwanza
Pale kazi ipo. Yule dada kwa nilicho notice ni wale wanawake wajuaji. Ukimuona unaweza sema ni mkimya na mpole sio muongeaji, ila hapana nawajua ile sampuli.

Ukiona mwanamke wanaume hawagusi jua kuna tatizo kubwa sana la tabia analo.

Kuna siku alikuwa anaongea kwenye talks show moja nikamsikia anavyoongea na the way anazungumza kwa mawenge nikapata jimbu why yupo single...
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yupo na jiwe
 
Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Unakumbuka!Huyo mtoto alikuja kuwa daktari nadhani aligombea ubunge Monduli 2010
 
Hitler was a gay!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…