Buza Kwa Mpalange
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 268
- 156
Ngassa na Adebayor watoe hapo1.Mrisho Ngasa
2.Adebayor
3.Alexander the great (Shah Alexander wa macedoni/shah asia)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngassa na Adebayor watoe hapo1.Mrisho Ngasa
2.Adebayor
3.Alexander the great (Shah Alexander wa macedoni/shah asia)
Mtoto yuko Magomeni DSM,kawa Kama chizi hiviRais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
inasemekana Dre alikuwa ana michepuko mitatu.demu akishinda anaondoka na trillion 1.nadhani Dre now anajuta kuoa.Mungu amsaidieKuna states ukimtaliki mwanamke, na wewe ukiwa na kipato kikubwa, unatakiwa kulipa kitu kinaitwa alimony.
Yani ni hela fulani ya kumfanya huyo mwanamke aweze kuendelea kuishi kama alivyoishi nawe bila kutetereka.
Kuna sehemu unaweza kutakiwa kumlipa hivyo mpaka anafariki, kama hajaolewa tena.
Na kama mke ana kipato zaidi, yeye anaweza kutakiwa kumlipa mume.
Kwenye case law kuna kesi moja maarufu wanapenda kuitumia Lepes vs. Lepes ya New Jersey State 1980.
Sr. Dre anapelekana puta na mkewe kesi ya kupiga panga mali kwenye talaka.
Yule ni kiburi tu, ila mayai anayo na anableed kila mwezi ni utoto tu anaendekeza.Salama Jabir je?
Aiseee. DahKuna dada mmoja ni msomaji habari kwenye TV Uingereza anaitwa Anthea Turner. Yeye alitaka perfect life, Ali fanya kazi sana kupata kazi nzuri, nyumba, gari, wakati amekamilisha yote hayo yuko 37. Alipo anza kutafuta mtoto aliambiwa hana uwezo wa kupata mtoto. Alikua na pesa aliamua kufanya IVF aliambiwa mwili wake hauwezi kubeba uja uzito.
Alisema vyote nilivyo navyo sasa havina maana.
Pale kazi ipo. Yule dada kwa nilicho notice ni wale wanawake wajuaji. Ukimuona unaweza sema ni mkimya na mpole sio muongeaji, ila hapana nawajua ile sampuli.kidoti hana mtoto??? au anasubiri kuolewa kwanza
Hivi huyu mwamba kweli alikuwa anapata muda wa kugegedaIsaac Newton
Watoto sio wake wale aliadopt kwa kuchukua mbegu za watu wengineMichael Jackson alikuwa hana mtoto??
Lady J dee nadhani alishaweka bayana kuwa ana matatizo ya kupata ujauzito ndio maana ana hasira hasira...
Janet Jackson ana mtoto1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Mtoto wa surrogacy sio wa adoption, anakuwa ni damu yako kabisa na anakuwa na DNA yako na mume wako....huyo wa Tyra banks sio wa kujifungua mwenyewe, ni wa surrogate. ni kama adopted child
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yupo na jiwePale kazi ipo. Yule dada kwa nilicho notice ni wale wanawake wajuaji. Ukimuona unaweza sema ni mkimya na mpole sio muongeaji, ila hapana nawajua ile sampuli.
Ukiona mwanamke wanaume hawagusi jua kuna tatizo kubwa sana la tabia analo.
Kuna siku alikuwa anaongea kwenye talks show moja nikamsikia anavyoongea na the way anazungumza kwa mawenge nikapata jimbu why yupo single...
ngoja ntafuatiliaWatoto sio wake wale aliadopt kwa kuchukua mbegu za watu wengine
Unakumbuka!Huyo mtoto alikuja kuwa daktari nadhani aligombea ubunge Monduli 2010Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Mkuu umewahi bahatika kuzaa katika maisha yako? Kama bado nikuweke kwa list wewe ni mtu maarufu.Unakumbuka!Huyo mtoto alikuja kuwa daktari nadhani aligombea ubunge Monduli 2010
Kumbee...huyu basi atanifaa mie ambaye sitaki watoto.Lady J dee nadhani alishaweka bayana kuwa ana matatizo ya kupata ujauzito ndio maana ana hasira hasira...
Hitler was gay!!Inaaminika Adolf Hilter alikuwa na watoto wawili. Aliwaona hawatakuwa jasiri km yeye akawaua
Hitler was a gay!Ni uongo jamaa hakua na mtoto na wenzie kama vile speer,gorman na himmler walipomuuliza kuhusu ndoa na mtt alijibu hvi "i must never marry,am only married to the german state" "there is no need for me to bring a child in this world"hapo walikua BERGHOF nyumbani kwa hitrel source;youtube documentaries
Sent using Jamii Forums mobile app