Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Yani hili bango umelishikilia kama mlikuwa wote. Ila ni kawaida ya mashoga kulazimisha kila mtu maarufu aonekane naye shoga. Humu kuna Cocastic yeye hata kama mtu hamjui wala hajawahi kumsikia, ukimtaja ni shoga anakurupuka anasema 'kwani umejua leo'. Kujifariji tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan uliona usiponitaja hutaridhika? Haya nambie hapa n nani nilisema ni shoga na sio shoga? Samahani sana huyo Hitler hata sijawahi kumjua na kumfahamu, wala hilo ya yeye kuwa gay sijui.

Wote ambao nikiwataja ujue ni kweli na mwishoe wanaumbuka pia, kaa kwa kutulia, hizo hasira zako muwekee aliyekuambia kuwa kipenzi chako Hitler ni gay,

Unikome msieeeeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndugu sina interest yoyote na Adolf Hitler, kaa na wanazuoni wakueleze na jitahidi kujitafutia maarifa zaidi.

Jisomee sana utaijua vizuri historia yake wala hakuna haja ya kuvunjiana heshima.

Adolf Hitler was homosexual thats all.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan badala ya mmalizane wenyewe anakuja kunivaa mie, lol
 
Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hhuyo mtoto yupo Arusha anaitwa Dk Toure alikuwa mganga mkuu wa hispitali ya mkoa ya Mt Meru hapa Arusha pia aliwahi kugombea ubunge wa jimbo la Arusha mjini ameshastaafu kwa sasa
 
Naona kashanyoosha mikono juu, kwa alivyokuwa na hela ndani na nje ya nchi kadhahangaika sana
Asijali yeye wala asiende mbali wanaume ambao hatutaki mambo ya kulipa ada za shule mara sijui mtoto mvuta bangi tupo hapa anipe chance tuu nimpende tuenjoy maisha
 
Back
Top Bottom