Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
Anao 2, Ziggy Marley na Damian Marley tena wazuri kichiziBob Marley
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anao 2, Ziggy Marley na Damian Marley tena wazuri kichiziBob Marley
Si anao w2 na anawawish birthday kila mwakamakonda aka bashite
Nitafsirie mkuu icho kingeNi uongo jamaa hakua na mtoto na wenzie kama vile speer,gorman na himmler walipomuuliza kuhusu ndoa na mtt alijibu hvi "i must never marry,am only married to the german state" "there is no need for me to bring a child in this world"hapo walikua BERGHOF nyumbani kwa hitrel source;youtube documentaries
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu alibaka mwana ccm mwenzake, mtoto alifariki miaka michache iliyopita.
anasema,ni lazima nisioe,nimefunga ndoa na taifa la ujerumani"Nitafsirie mkuu icho kinge
Anao
Pole pole atasikia mwenyewe.
Speaker wa kwanza Tanzania mwanamkeTujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.
Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:
1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba
Unaweza ukaendelea na wewe...
Huyu mwamba ni pengo kwa dunia.
Alitokea wap huyo?Sherman hemsley alikufa bila mke wala mtoto ,wala hakua hata na ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani viongozi huwa wanafanya uchakataji kwenye ziara zao?Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Njoo Dm nikusimulie kisa hiki😋Alitokea wap huyo?
HahahaNjoo Dm nikusimulie kisa hiki😋