Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.

mtoto wake mmoja wakulea aliwahi olewa na Kasim Hanga. Walizaa watoto wawili, Mmoja yupo U.S na mwengine amepotezwa na Wasiojuulikana hivi karibuni.
 
huyo wa Tyra banks sio wa kujifungua mwenyewe, ni wa surrogate. ni kama adopted child
Tofautisha Surrogate na adopted.
Surrogate ni unatoa mbegu zako wewe mwanamke unatungisha mimba ndani ya chupa kwa mbegu ya mwanamme mwingine ata kama humjui ile mimba anaingiziwa mwanamke mwingine anakuzalia mtot hata kinyume chake yaani mwanaume.Sasa yule mbebaji anaitwa surrogate mother

Adopted unamchukua mtoto asiye wako japo unaweza jua wazazi wake au ni yatima kisha unamlea
 
Tujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.

Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:

1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba

Unaweza ukaendelea na wewe...
Kamala Haris
 
Tujikumbushe watu maarufu kama wanasiasa, wanamuziki, wacheza filamu nk ambao hawakuwahi kupata watoto wa kuwazaa katika maisha yao hapa Duniani.

Wanaweza wakawa ni kutoka hapa Bongo au nje ya Bongo. Naanza na hawa:

1. Kamuzu Banda - Rais wa kwanza Malawi
2. Omar Al Bashir - Rais wa Sudan
3. Steven Kanumba

Unaweza ukaendelea na wewe...
Stive Nyerere
 
Back
Top Bottom