Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mtoto sina hakika kama alimchukua Msimbazi Centre nasikia alimchukua kutoka familia ya Kimasai huko kwao, alisomea udaktari na ni daktari mzuri sana . Alirudi Tanzania na kufanya kazi Muhimbili na ndiye aliyenizalisha ( Asante sana Dr. Toure) kuna wakati ni kama aligombea wadhifa fulani sikumbuki lakini mwenye contact yake naomba ili nimpigie simu kumshukuru zaidi as wakati huo sikujua sana kuhusu hatari ya kujifungua.Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Mungu ni mkubwa walimpa mapenzi, malezi na elimu. Sifahamu kama rais Seko Ture bado yuko hai au ameshatangulia mbele za haki lakini kwa kitendo hiki Mungu atamlipa popote alipo.Huyo mtoto sina hakika kama alimchukua Msimbazi Centre nasikia alimchukua kutoka familia ya Kimasai huko kwao, alisomea udaktari na ni daktari mzuri sana . Alirudi Tanzania na kufanya kazi Muhimbili na ndiye aliyenizalisha ( Asante sana Dr. Toure) kuna wakati ni kama aligombea wadhifa fulani sikumbuki lakini mwenye contact yake naomba ili nimpigie simu kumshukuru zaidi as wakati huo sikujua sana kuhusu hatari ya kujifungua.
Ume-copy na ku-paste bila kusoma, Janet Jackson hayupo kwenye hiyo list.1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Janet Jackson na Tyra Banks wana watoto tyari mkuu1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Oprah [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ata Oprah ana mimba sasa ivi
Si ndiyo huyo siku hizi mnamwita Patrice Lumumba!!Rais Sekoture wa Guinea alitembelea Tanzania enzi za utawala wa Nyerere na aliondoka na mtoto wa kiume kutoka Msimbazi Centre. Rais Sekoture na mkewe hawakujaliwa mtoto. Sifahamu habari za yule mtoto baada ya hapo.
Inasemekana hawakuwa wake alisaidiwa tuHastings Kamuzu Banda alkua na watoto 3....no research no right 2 speak!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Pimbi hana mtoto wala mkeNa yule mzee wanamuitaga "Lodi Lofa" nasikiaga eti naye hanaga mtoto thijui ni kweli?
Janet ana mtoto kwa sasa1. Dolly Parton
2. George Clooney
3. Janet Jackson
4. Condoleezza Rice
5. Cameron Diaz
6. Oprah Winfrey
7. Jay Leno
8. Tyra Banks
9. Queen Latifah
10. Jennifer Aniston
11. Mickey Rourke
Lumumba ana mtoto bna tena ni binti nilimuona kwenye documentally moja hivi
Duh ,hiyo ya kuzaa na mramba imekaaje mkuu ? Ilikua b4 ndoa ? AuKwa Mkapa mnakosea ana watoto wawili aliozaa na Anna nawafahamu vizuri tu. Anna pia kazaa na Basil Mramba mtoto wa kike