Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

Watu maarufu ambao hawakuwahi kupata Watoto Maishani mwao

General Mattis "the mad dog"
Waziri wa ulinzi wa Marekani chini ya Trump ,hajawahi kuoa wala kuwa na mwanamke na wala mtoto ,anachopenda yeye katika maisha yake ni kuuwa kupiga risasi adui
Sitoshangaa nikisikia ni shoga.
 
Kha! Kwani Yesu ni mtu au Mungu? Mtoa mada kasema watu maarufu.
Yesu ñi nabii au mtume na sio mungu,,,
Huwa siwaelewi mnapomuita mungu

Na pale mnapobishana kama alikufa msalabani au la,,,,all in all alipokua msalabani hakufa kama binadamu,huenda angepona,,,alichofanya alimuomba mungu achukue nafsi yake,
 
Back
Top Bottom