Watu maarufu duniani wenye asili ya Tanzania

Hamtaki kusemwa?
Nao walisemwa na watu wa wakati huo. Halafu Kama ni jambo baya basi haliwezi kuhalalishwa sababu tu ni la zamani.
Hapana mkuu mm sio upinde
Nimeuliza tuu kwa wakati wenu Hali ilikuwa km hii hii ya sasa ambayo inakera na kufanya tusitamani kusikia wayafanyayo!
 
Hapana mkuu mm sio upinde
Nimeuliza tuu kwa wakati wenu Hali ilikuwa km hii hii ya sasa ambayo inakera na kufanya tusitamani kusikia wayafanyayo!
Shida kubwa ni
1. Mental health
2. Utandawazi hii ni kwa wakati huu maana likifanyika Dar wakati huu huu tunalipata huku mwanza.
Kwahiyo Sasa hivi unaweza ona Kama wanasema sana ila ni sababu tupo live kila mahali
 
Shida kubwa ni
1. Mental health
2. Utandawazi hii ni kwa wakati huu maana likifanyika Dar wakati huu huu tunalipata huku mwanza.
Kwahiyo Sasa hivi unaweza ona Kama wanasema sana ila ni sababu tupo live kila mahali
Ok nimekupata vyema mkuu 👊....... Shukrani
 
Ile muvi ya spartucus scripts manager ni mjomba wangu kabisa ametokea kanda ya ziwa. Akikubali nitaweka picha kabisa.
 
Taraji penda henson
Talib kweli ( rafiki WA jay z)
 
Upinde ulikuwa toka zamani? Mbn mnawasema vijana wa sasa ?
Kwahiyo unataka kusema ulikuwepo toka zamani ndio vijana wa sasa waruhusiwe acha uzwazwa ni kweli ulikuwepo toka zamani lkn haujaachwa kukemewa toka enzi hizo kuanzia vitabu vya dini mitume, manabii, viongozi wa dini pamoja na waungwana wa kawaida
 
Acheni kudandia raia wa nchi nyingine kwa mbele, wabongo mnajipendekezq kwa watu hata ambao hawana mahusiano na nyie . Director wa FBI wazaz wote wametoka india, yeye ni mzaliwa wa Marekani. Kaaje mtanzania?

Punguzeni kujipendekeza
 
Hapo kwenye upinde inatosha kumkana kwamba sio ndugu yetu.
 
Acheni kudandia raia wa nchi nyingine kwa mbele, wabongo mnajipendekezq kwa watu hata ambao hawana mahusiano na nyie . Director wa FBI wazaz wote wametoka india, yeye ni mzaliwa wa Marekani. Kaaje mtanzania?

Punguzeni kujipendekeza
Hao ni ndugu zetu kabisa. Mtu anajipendekezaje kwa nduguye!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…