Lini diamond na Zuchu walifanya show Mbagala?Mbagala alipigishwa show bure na akazomewa, yeye na Zuchu wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini diamond na Zuchu walifanya show Mbagala?Mbagala alipigishwa show bure na akazomewa, yeye na Zuchu wake
wewe ndio una shida mahala Diamond karanga ilikua ya kwake ama alipewa tu ubalozi?HAO WASANII WENU HAWANA FEDHA MSIDANGANYWE.
MBONA MNAKUWA WAPUMBAVU KIASI HICHO??????
HIVI MTU MWENYE HELA
1. Kwanini asijenge hata hotel ya Nyota tatu au Tano Dar es salaam.
2. Kwanini Asiwe hata na kumbi za starehe au night KLABU Dar se salaam au hata kuwa na branch mikoani.
3. Kwanini Asiwe hata na maji, Biscuit karanga etc.
4. Kwanini Asiwe na mashamba estate tukaziona????
5. KWANINI ASIWE NA UWEKEZAJI WOWOTE NA KUUTANGAZA BIASHARA ZAKE.
Mimi miradi ya JD naijua
JD ndio msanii mwenye Fedha na UWEKEZAJI zaidi Tanzania.
DIAMOND KARANGA TU ZILIMSHINDA.
FICHENI UJINGA.
WAPELEKENI WATOTO WENU SHULE.
HUYO MSANII WENU NI KAPUKU.
Binafsi sijawahi kusikia diamond na Zuchu wamefanya show Mbagala maana nakumbuka show ya mwisho kufanya diamond dar ni ile aliyofanya hoteli ya Ramada Tena ni Mwaka janaWatu wana wivu sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣wewe ndio una shida mahala Diamond karanga ilikua ya kwake ama alipewa tu ubalozi?
una elewa nn maana ya endorsement deals?
wasafi Fm & wasafi TV ame ajili vijana na wazee na kila mwezi ana walipa mishahara na kodi zote stahiki za TRA na mamlaka nyinginezo ana lipa kila mwezi wewe kapuku una etumia fake name una kuja kuropoka umu kua Diamond ni maskini ni Tz tu pekee ndo utakutana na waduanzi wa namna hii
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Si ndo hivyo mkuu, ni kuchafuana tu kishamba hamna lolote hapoBinafsi sijawahi kusikia diamond na Zuchu wamefanya show Mbagala maana nakumbuka show ya mwisho kufanya diamond dar ni ile aliyofanya hoteli ya Ramada Tena ni Mwaka jana
💯💯wewe ndio una shida mahala Diamond karanga ilikua ya kwake ama alipewa tu ubalozi?
una elewa nn maana ya endorsement deals?
wasafi Fm & wasafi TV ame ajili vijana na wazee na kila mwezi ana walipa mishahara na kodi zote stahiki za TRA na mamlaka nyinginezo ana lipa kila mwezi wewe kapuku una etumia fake name una kuja kuropoka umu kua Diamond ni maskini ni Tz tu pekee ndo utakutana na waduanzi wa namna hii
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Diamond Mara ya mwisho kufanya show dar ni ile show yake aliyofanya hoteli ya Ramada Tena ilikuwa ni Mwaka jana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aliwakosea nini ha ha ha wabongo jamani
Mie najua basi hizo mambo? Mie nikiona tu kwenye TV basiDiamond Mara ya mwisho kufanya show dar ni ile show yake aliyofanya hoteli ya Ramada Tena ilikuwa ni Mwaka jana
Yaani [emoji46][emoji46][emoji46]Watu wana wivu sana
Si kila jambo la kuamini humu jf kiukweli jamaa kanishangaza Sana sijui uongo wake lengo lake ni nini? Sijui kwanini wabongo tuna hii tabia Diamond haijawahi kufanya show Mbagala tangu 2019 hadi mwaka HuuMie najua basi hizo mambo? Mie nikiona tu kwenye TV basi
Uswahili wetu kujua ya mtuMtandao wa Africa facts zone umeripoti kuwa Msanii Diamond Platnumz (Simba) kumiliki nyumba 11, hoteli, TV station pamoja na radio station pia kisiwa chenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.8.
View attachment 2640927
Pia Afrika Face Zone wameripoti kuwa Diamond Platnumz huwa analipwa zaidi ya milioni 236 kwa show moja, huku akiingiza zaidi ya milioni 70 kwa mwezi kupitia endorsements.
Tunajivunia mafanikio yake kama MtanzaniaMtandao wa Africa facts zone umeripoti kuwa Msanii Diamond Platnumz (Simba) kumiliki nyumba 11, hoteli, TV station pamoja na radio station pia kisiwa chenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.8.
View attachment 2640927
Pia Afrika Face Zone wameripoti kuwa Diamond Platnumz huwa analipwa zaidi ya milioni 236 kwa show moja, huku akiingiza zaidi ya milioni 70 kwa mwezi kupitia endorsements.
🤣🤣🤣🤣🤣Sorry jinsia yako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiii.Ndege kanunu sema tiyaraeii ndio wamemkwamisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
(aliskika mlevi mmoja wa chibuku akiongea [emoji23])
Hapendi show offAnamiliki continent. Sema ndio ivo.
Kichuchunge! Sasa tuseme nini hata kama ni yake wewe inakuhusu nini sasa. Pia mbona wewe pia unamiliki vitu lukuki ikiwemo ujinga ila tumekaa kimyaMtandao wa Africa facts zone umeripoti kuwa Msanii Diamond Platnumz (Simba) kumiliki nyumba 11, hoteli, TV station pamoja na radio station pia kisiwa chenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.8.
View attachment 2640927
Pia Afrika Face Zone wameripoti kuwa Diamond Platnumz huwa analipwa zaidi ya milioni 236 kwa show moja, huku akiingiza zaidi ya milioni 70 kwa mwezi kupitia endorsements.
Station hujaziona zilizotajwa au c uwekezaji huoHAO WASANII WENU HAWANA FEDHA MSIDANGANYWE.
MBONA MNAKUWA WAPUMBAVU KIASI HICHO??????
HIVI MTU MWENYE HELA
1. Kwanini asijenge hata hotel ya Nyota tatu au Tano Dar es salaam.
2. Kwanini Asiwe hata na kumbi za starehe au night KLABU Dar se salaam au hata kuwa na branch mikoani.
3. Kwanini Asiwe hata na maji, Biscuit karanga etc.
4. Kwanini Asiwe na mashamba estate tukaziona????
5. KWANINI ASIWE NA UWEKEZAJI WOWOTE NA KUUTANGAZA BIASHARA ZAKE.
Mimi miradi ya JD naijua
JD ndio msanii mwenye Fedha na UWEKEZAJI zaidi Tanzania.
DIAMOND KARANGA TU ZILIMSHINDA.
FICHENI UJINGA.
WAPELEKENI WATOTO WENU SHULE.
HUYO MSANII WENU NI KAPUKU.