Watu tuliopata A, B na C hatuna haja ya kuajiriwa

Watu tuliopata A, B na C hatuna haja ya kuajiriwa

Je, na wale wenye PhD harafu zao harafu wamegeuka kuwa chawa wa mama, unawashauri nn ? Tafadhari tia neno
 
Arsenal 3-2 Mwamtesa United

Aliesoma akifanikiwa kuajiliwa mshahara wake unasoma 2M kwa mwezi hapo anapata take home 1.5M inayobaki ni makato ya Kodi na Nssf, unaonaje hapo, wewe mpika maandazi hapo karibu na Airport stand?

1.5M × 12 = ?

Usione wanaosomesha ni mafala kenge wewe,
Ofisi gan mtu anaanza na 1.5M acha kujidanganya,

Kuajiriwa ni mwanzo wa kuwa chawa wa mwajiri.
 
Kwanza uyo mtu katoka familia gan,kama ni familia ya uwezo ni rahs mtu kujiajir coz backup ya capital iko. je kwa aliyetoka famili masikin ni shida kupata hta mtaji bad TRA hawa hapa.
Unataka kusema wote waliojiajiri wametoka familia zenye uwezo?
 
Ofisi gan mtu anaanza na 1.5M acha kujidanganya,

Kuajiriwa ni mwanzo wa kuwa chawa wa mwajiri.
😂 Ndio ubaya wa kua kilaza endelea kuchoma chips na maandazi na kababu kenge we, kumbe haujui kitu watu wanalaza mpaka 4M up to 10M per month nini 1.5M per month, bogus brain kumbe najadiliana na asiejua kitu bora ufunge uzi tu
 
Arsenal 3-2 Mwamtesa United

Aliesoma akifanikiwa kuajiliwa mshahara wake unasoma 2M kwa mwezi hapo anapata take home 1.5M inayobaki ni makato ya Kodi na Nssf, unaonaje hapo, wewe mpika maandazi hapo karibu na Airport stand?

1.5M × 12 = ?

Usione wanaosomesha ni mafala kenge wewe,
Mkuu Man utd kosa letu nini hapa?
 
mbona unadhalilisha jesh la police!inamaana polisi ni vilaza au?[emoji23]
Sijasema ni vilaza lakin Kwan Kuna ulazima wa gan wa mtu mwenye dgree kuwa polisi!!? Kazi kubwa ya polisi ni kulinda usalama na mali za raia Sasa ww na degree yako unaona ni sawa kwenda kulinda mali za watu !???
 
Uzuri wa hii mada ukichukia na kutoa povu kwa mleta hoja ni sawa na Bure ukweli lazima usemwe ww una dgree harafu unalialia mtaani hakuna unachoweza,

Ww ni Bure kabisa.
 
Kuna wazazi wamesomesha watoto kwa shida sana, kijana unasifika una akli darasani haya Sasa umemaliza degree, onesha akli yako kwa vitendo huwez

Ww ni Bure kabisa
 
Nafikir kosa Moja tu mtu haliwezi kumfanya kilaza kukosea tu neno "AKILI" haiondoi uhalisia wa hoja iliyopo mezani
Kuna KAMPUNI nilikua nafanya kazi mshahara nilikua napokea 1.2M per month, sasa nimeacha kazi, usimchukulie poa mtu aliesoma anything can happen and anytime anaweza akakuacha 1000 kilometers ukabaki umeduwaa, imekuakuaje? Education is a key aliesema hivyo hakua fala
 
Sijasema ni vilaza lakin Kwan Kuna ulazima wa gan wa mtu mwenye dgree kuwa polisi!!? Kazi kubwa ya polisi ni kulinda usalama na mali za raia Sasa ww na degree yako unaona ni sawa kwenda kulinda mali za watu !???
Kwahiyo hujui kwamba wapo Polisi hawajui kabisa kulinda wala kukamata?

Au unadhani Polisi hakuna accountants? Hakuna IT? Hakuna mechanics?
 
Kwahiyo hujui kwamba wapo Polisi hawajui kabisa kulinda wala kukamata?

Au unadhani Polisi hakuna accountants? Hakuna IT? Hakuna mechanics?
Unajenga hoja na mtu mwenye kichwa kizito ni sawa na kupoteza muda wako tu hajui kitu huyo, uwezo wake wa kufikiri na kupambanua Mambo ni mdogo sana nimeshamwelewa
 
Back
Top Bottom