stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Leseni ya Udaktari umeipata kwa mkopo au umefoji?Nimepiga Mswak Wangu Safi Mpaka GS Advance Now Ni Daktari, Connection Muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leseni ya Udaktari umeipata kwa mkopo au umefoji?Nimepiga Mswak Wangu Safi Mpaka GS Advance Now Ni Daktari, Connection Muhimu
Waajiriwa wote wanakula mil 2 ?Arsenal 3-2 Mwamtesa United
Aliesoma akifanikiwa kuajiliwa mshahara wake unasoma 2M kwa mwezi hapo anapata take home 1.5M inayobaki ni makato ya Kodi na Nssf, unaonaje hapo, wewe mpika maandazi hapo karibu na Airport stand?
1.5M × 12 = ?
Usione wanaosomesha ni mafala kenge wewe,
Nazungumzia Private Mimi kazi nimefanya KAMPUNI binafsi sio Serikalini, private ndio wanalipa Pesa ndefu ukibahatika kwenye NGO umetoboaWaajiriwa wote wanakula mil 2 ?
Serikalini Kuna watu wanachukua mishahara ya kushangaza sana hebu fikiria mtu anachukua laki 250k na ana familia ya watu 5!
Sio kila NGOs inalipa pesa ndefu,NGOs nyingne kichefu chefuNazungumzia Private Mimi kazi nimefanya KAMPUNI binafsi sio Serikalini, private ndio wanalipa Pesa ndefu ukibahatika kwenye NGO umetoboa
nipe na mm moya ya mabara ya maji hapo mjini 😂Nimepiga Mswak Wangu Safi Mpaka GS Advance Now Ni Daktari, Connection Muhimu
Yes ndio maana nikasema ukibahatika, maana sio wote wanaolipwa hivyoSio kila NGOs inalipa pesa ndefu,NGOs nyingne kichefu chefu
Miongoni mwa walio faulu kiujanjaujanja huyoWe pimbi hujui wapi utumie "R" na wapi utumie "L"
Ila zipo chache zinahesabika na ukute mkurugenzi ni mzungu mfano PSI dereva anakula 2mYes ndio maana nikasema ukibahatika, maana sio wote wanaolipwa hivyo
International NGO zote wanalipa vizuri, NGO za kiboya ni zile zenye waasisi wabongo. 😀Ila zipo chache zinahesabika na ukute mkurugenzi ni mzungu mfano PSI dereva anakula 2m
Vita kati ya waajiriwa na waganga njaa ni kama Mjapan wa jf na Mjerumani wa jf!International NGO zote wanalipa vizuri, NGO za kiboya ni zile zenye waasisi wabongo. 😀
AMREF, PEPFAR, PSI, JHPIEGO, WORLDVISION huko huwezi kukuta mishahara ya laki laki. Ni 1M na kuendelea.
Braza acha tu, kazi ipo hapaVita kati ya waajiriwa na waganga njaa ni kama Mjapan wa jf na Mjerumani wa jf!
Sasa hiyo G.P.A ya 4.7 umeipata vipi? Na imekusaidia nini? Kingine: Rugha (×) Lugha (√)Unaweza ukawa unajua sana kingeleza au kiswahili Sasa kama hiyo kujua kwako rugha hakukusaidiii kimaisha ni sawa na Bure tu
Sizan (×)Wangekuwa wavivu sizan kama wangeza kupata one mashuleni
Nasema akli zilizowasaidia kufauru ziwasaidie pia kwenye maisha ya mtaani