Watu tuliopata A, B na C hatuna haja ya kuajiriwa

Watu tuliopata A, B na C hatuna haja ya kuajiriwa

International NGO zote wanalipa vizuri, NGO za kiboya ni zile zenye waasisi wabongo. [emoji3]

AMREF, PEPFAR, PSI, JHPIEGO, WORLDVISION huko huwezi kukuta mishahara ya laki laki. Ni 1M na kuendelea.
"International NGO zote wanalipa vizuri, NGO za kiboya ni zile zenye waasisi wabongo."

[emoji115]
Halafu kaka extrovert hivi Wabongo tuna gundu au? Tunasagiwa kunguni locally na internationally.

Why sisi tu?

Tunapoteza uaminifu kwa kasi kimataifa!
 
Ila zipo chache zinahesabika na ukute mkurugenzi ni mzungu mfano PSI dereva anakula 2m
Hivi mabosi wazungu wana nini mpaka wapendwe na mabosi wa kiafrika wana nini mpaka wasipendwe hata na watu wao?
 
"International NGO zote wanalipa vizuri, NGO za kiboya ni zile zenye waasisi wabongo."

[emoji115]
Halafu kaka extrovert hivi Wabongo tuna gundu au? Tunasagiwa kunguni locally na internationally.

Why sisi tu?

Tunapoteza uaminifu kwa kasi kimataifa!
Wabongo tatizo lenu ni lile lile tu, ubinafsi, majungu na fitina.

Hizo NGO wabongo wanaowekwa kwenye management wana tabia ya kujimwambafy unakuta wanalipwa vizuri ila lazma watengeneze mazingira ya unyonyaji. Wengine uchawa anakuwa kibaraka wa mzungu ili awagandamize nyie wakati yeye akilipwa vizuri.
 
Wabongo tatizo lenu ni lile lile tu, ubinafsi, majungu na fitina.

Hizo NGO wabongo wanaowekwa kwenye management wana tabia ya kujimwambafy unakuta wanalipwa vizuri ila lazma watengeneze mazingira ya unyonyaji. Wengine uchawa anakuwa kibaraka wa mzungu ili awagandamize nyie wakati yeye akilipwa vizuri.
Yaani analipwa vizuri ila tabia yake ya asili ya majungu na fitna haiachi, si ndiyo?
 
Hivi mabosi wazungu wana nini mpaka wapendwe na mabosi wa kiafrika wana nini mpaka wasipendwe hata na watu wao?
Wazungu wana Humanity na wanatambua ethics za kazi. Huwezi fananisha na wabongo wenzetu, wahindi ama wachina.

Japo kwa level yao wanaonaga mishahara wanatulipa midogo ila ni handsome amounts kibongo bongo. On top of that wanakupa na benefits nje ya mshahara ili usikwame katika lolote. Mzungu anathamini sana muda wa mtu yani na professionalism nafikiri sababu wao malipo ni on timely basis.
 
Yaani analipwa vizuri ila tabia yake ya asili ya majungu na fitna haiachi, si ndiyo?
Ndio changamoto ya mbongo hio.

Mzungu anakuja na proposed budget inayowezesha kulipa maofisa $50 kwa siku. Maboss $100 kwa siku.

Wabongo wanaipitisha hio budget hela inaingizwa, kwenye mkataba wana edit vipengele badala ya upokee $1,500 kwa mwezi wao wanakuchorea $900 hapo kuna $600 wamezilamba kibingwa.

Huyo mtu anaefanya hivyo yeye ana mshahara wa $,3000 na benefits zote. Analipiwa kodi ya nyumba, mafuta ya gari, bima kubwa familia nzima na vacation za mwisho wa mwaka.

Hapo ndio uone wabongo walivyo hawana maana.
 
Ndio changamoto ya mbongo hio.

Mzungu anakuja na proposed budget inayowezesha kulipa maofisa $50 kwa siku. Maboss $100 kwa siku.

Wabongo wanaipitisha hio budget hela inaingizwa, kwenye mkataba wana edit vipengele badala ya upokee $1,500 kwa mwezi wao wanakuchorea $900 hapo kuna $600 wamezilamba kibingwa.

Huyo mtu anaefanya hivyo yeye ana mshahara wa $,3000 na benefits zote. Analipiwa kodi ya nyumba, mafuta ya gari, bima kubwa familia nzima na vacation za mwisho wa mwaka.

Hapo ndio uone wabongo walivyo hawana maana.
Daaaah huo ni uuaji siyo upigaji kaka.[emoji24][emoji24]
Na ndiyo maana Wabongo wengi wanafurahia sana kufanya kazi na mabosi Wazungu siyo Wabongo.

Niwe mkweli hata nikipata NGO yangu Wabongo watafanya kazi chini ya uangalizi mkali. Hawana huruma kabisa na wenzao[emoji24][emoji24][emoji24] kaka extrovert umeniliza mno na komenti yako hii
 
Wazungu wana Humanity na wanatambua ethics za kazi. Huwezi fananisha na wabongo wenzetu, wahindi ama wachina.

Japo kwa level yao wanaonaga mishahara wanatulipa midogo ila ni handsome amounts kibongo bongo. On top of that wanakupa na benefits nje ya mshahara ili usikwame katika lolote. Mzungu anathamini sana muda wa mtu yani na professionalism nafikiri sababu wao malipo ni on timely basis.
Mungu awabariki sana aisee Wazungu
 
Daaaah huo ni uuaji siyo upigaji kaka.[emoji24][emoji24]
Na ndiyo maana Wabongo wengi wanafurahia sana kufanya kazi na mabosi Wazungu siyo Wabongo.

Niwe mkweli hata nikipata NGO yangu Wabongo watafanya kazi chini ya uangalizi mkali. Hawana huruma kabisa na wenzao[emoji24][emoji24][emoji24] kaka extrovert umeniliza mno na komenti yako hii
Ndio style zao hizo mzee. Hivi kampuni gani ya kibongo itakulipa $1,500 na benefits kama Bima kubwa ya familia, Overtime, Vacation, house allowance, Transport allowance, Simu.

Ndio maana watu wanasema NGO ni nzuri sana kwa maslahi mfanyakazi. Hasa international NGO.
 
Nyie ndo wale mnaofaulu kwa rushwa. Neno "harafu" ndo nini? Halafu jifunze jinsi ya kutumia alama za uandishi. L na R kwako bado ni tatizo mkuu. Kama kweli una G.P.A ya 4.7 na hali yenyewe ndo hii, bora wanangu wasije kusoma kabisa nikajua moja. Nina elimu ya darasa la nne, ila niko vizuri kwenye lugha ya kiswahili
Kujua lugha ya kiswahili kusikuvimbishe kichwa kaka,

Nakutaarifu tu muda wowote kuanzia Sasa kiswahili kitaondolewa kwenye mashuleni kitabaki kimombo tu

Kwahiyo usijivunie kiswahili hakina muda kitakuwa kama kihaya au kinyakyusa
 
Unakomaa kusahihisha maneno ya kiswahili wakati kwenye account yako huna hata milioni 50 ww nakuona mjinga tu

Unatoa wap ujasiri wa kumkosoa mtu ambae anakuzidi kipato, ifike kipindi tuheshimiane kulingana na uwezo tulionao


Kama maisha yamekupiga usiwe na hasira

Tulia tukupatie dawa
 
a
Hivi mabosi wazungu wana nini mpaka wapendwe na mabosi wa kiafrika wana nini mpaka wasipendwe hata na watu wao?
Kuna NGOs fulani jina kapuni mwanzo ilikuwa ikiongozwa na mzungu mtu wa chini alikuwa anapewa 1.5mil ..baada ya mzungu kufariki na mtu mweusi kushika usukani aisee yule jamaa alishusha mishahara mshahara wa chini ulikuwa laki 5.
Hebu fikiria kutoka mil 1.5 mpaka laki 5!!
 
Unakomaa kusahihisha maneno ya kiswahili wakati kwenye account yako huna hata milioni 50 ww nakuona mjinga tu

Unatoa wap ujasiri wa kumkosoa mtu ambae anakuzidi kipato, ifike kipindi tuheshimiane kulingana na uwezo tulionao


Kama maisha yamekupiga usiwe na hasira

Tulia tukupatie dawa
Una tatizo mahali ni miongoni mwa watu waliofeli unakuja kujipa moyo tu,ndugu aliyesoma na asiyesoma ni vitu viwili tofauti
 
Back
Top Bottom